Rais Samia kuyaaga mashindano kwenye kinyang'anyiro cha Urais? Kakosea na kumuita waziri Mh. Rais, apata kigugumizi

Rais Samia kuyaaga mashindano kwenye kinyang'anyiro cha Urais? Kakosea na kumuita waziri Mh. Rais, apata kigugumizi

Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
Mdomo unaumba
 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
Mshana Jr tukio la rais kumpa mtu mwingine ( mtoto) akalie kiti chake katika ulimwengu wa roho ikoje?

Tunajua pia simba ni mtawala, je kitendo cha rais kumwita Lissu simba pia imekaa je?
 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
Itakuwa alimuona JPM pembeni yake
 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
Chawa mnapumua vizuri au tuwaletee mashine za oksijeni?:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
 
Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kilio cha familia, ndugu, jamaa, marafiki, chama kikuu cha upinzani juu ya kesi ya Ali Mohamed Kibao kiongozi mwandamizi
1740672820391.jpeg
 
Chawa wa mama salamaaa?

Bwana Rais Samia akakosea kumuita waziri na kumuita Mh. Rais wakati anahutubia baada ya kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa maji, Mkinga-Tanga.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Sijawahi msikia Rais Samia akikosea hili hata mara moja, yaami mpaka ameweweseka kidogo kwa muda.

Kumbe moyoni anajua kabisa ameshayaaga mashindano mpaka subconscious automatically imemwambia sikia, wewe siyo Rais bana, safari hii mwingine atachukua kijiti na mkicheza vibaya wapinzani wanabeba ndoo😂😂😂

Chawa ukija na povu hakikisha umejipanga, usije ukafa kwa presha😂
Tanganyika hakuna kiongozi magogoni, ni gauni limetundikwa huko,kutuongoza!
 
Back
Top Bottom