Rais Samia Kuzindua Miradi Nane Kizimkazi Day"

Rais Samia Kuzindua Miradi Nane Kizimkazi Day"

Samia Suluhu ambaye ni rais wa kurithi Tanzania baada ya kifo cha Rais Magufuli amesifu tamasha linalofanyika kijijini kwake kule Kizimkazi kwa kupongeza uwingi wa watu wanao hudhuria.

"....kwa sasa maboti yanavyojaa kutokea Bara kuja Kizimkazi hadi raha. Tudumishe tamasha hili."

rais Samia.
Azungumze hayo maneno tukishamfurusha 2025!

Arejee Gbadolite.....Chato na Mkuranga!! Wakati ni hakimu wa yote.
 
Nyuzi zingine muwachia wahusika
😀😀😀
Mama abubujikwa na machozi ya furaha baada ya kuona boti za wabara zikijaa kizimkazi

Au
Au wabara watokwa na machozi ya furaha baada ya kufika kijijini kwa jemadari wa wao Mama dkt........
 
Back
Top Bottom