Samia Suluhu ambaye ni rais wa kurithi Tanzania baada ya kifo cha Rais Magufuli amesifu tamasha linalofanyika kijijini kwake kule Kizimkazi kwa kupongeza uwingi wa watu wanao hudhuria.
"....kwa sasa maboti yanavyojaa kutokea Bara kuja Kizimkazi hadi raha. Tudumishe tamasha hili."
rais Samia.