#COVID19 Rais Samia kuzindua na kupata Chanjo ya COVID-19 Julai 28, 2021

#COVID19 Rais Samia kuzindua na kupata Chanjo ya COVID-19 Julai 28, 2021

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Chanjo ya COVID19 Ikulu Dar, Saa tatu asubuhi Julai 28, 2021

Tanzania ilijiunga na Mpango wa COVAX Juni 15, 2021 na imepokea shehena ya Chanjo Julai 24, 2021

Wizara ya Afya imesema Chanjo ni nyongeza ya njia za kupambana na Corona. Njia nyingine ni kunawa mikono, kuvaa barakoa na njia za asili

View attachment 1869425View attachment 1869426
Uharaka wa Rais wetu kuchanjwa chanjo ya UIVIKO 19 unatoka wapi? Je! Ni kutokana na masharti ya mkopo wa World Bank? Je! Ni kutokana na masharti ya mabeberu ili aonekane yupo kinyume na misimamo ya mwendazake? Je! Yeye naye ni sehemu muhimu ya kutekeleza mipango ya NWO? Je! Anafanya hivyo kwa msukumo binafsi wa kutaka kupata umaarufu mbele ya jumuiya ya kimataifa pasipo kujali athari za kiafya juu ya maamuzi yake katika siku zijazo?

Mimi bado nipo upande wa wale wanaotaka tujipe kwanza " benefit of doubt" kabla ya kuanza matumizi rasmi ya chanjo hizi. Kwa maana ktk hali ya kawaida tu huwezi kuamua kukimbilia chanjo ambazo matumizi yake yamekataliwa nchini USA na Canada, halafu leo eti zinaletwa na USA hiyo hiyo kama msaada kwa nchi yetu.
 
View attachment 1869433
Rais Samia Suluhu Hassan Julai 28, 2021 atazindua zoezi la utoaji chanjo, uzinduzi utakaofanyika Ikulu Dar es Salaam kwa yeye kuchanjwa. Baada ya hapo wizara ya afya itaendelea na usambazaji wa chanjo & kutoa utaratibu wa uchanjwaji wananchi katika vituo vilivyoandaliwa.
Chanjo gani atakayo chanjwa?
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Chanjo ya COVID19 Ikulu Dar, Saa tatu asubuhi Julai 28, 2021

Tanzania ilijiunga na Mpango wa COVAX Juni 15, 2021 na imepokea shehena ya Chanjo Julai 24, 2021

Wizara ya Afya imesema Chanjo ni nyongeza ya njia za kupambana na Corona. Njia nyingine ni kunawa mikono, kuvaa barakoa na njia za asili

View attachment 1869425View attachment 1869426
Uzinduzi utatumika kujibu mengi na pengine tutapashwa mpaka tupashike
 
Uharaka wa Rais wetu kuchanjwa chanjo ya UIVIKO 19 unatoka wapi? Je! Ni kutokana na masharti ya mkopo wa World Bank? Je! Ni kutokana na masharti ya mabeberu ili aonekane yupo kinyume na misimamo ya mwendazake? Je! Yeye naye ni sehemu muhimu ya kutekeleza mipango ya NWO? Je! Anafanya hivyo kwa msukumo binafsi wa kutaka kupata umaarufu mbele ya jumuiya ya kimataifa pasipo kujali athari za kiafya juu ya maamuzi yake katika siku zijazo?

Mimi bado nipo upande wa wale wanaotaka tujipe kwanza " benefit of doubt" kabla ya kuanza matumizi rasmi ya chanjo hizi. Kwa maana ktk hali ya kawaida tu huwezi kuamua kukimbilia chanjo ambazo matumizi yake yamekataliwa nchini USA na Canada, halafu leo eti zinaletwa na USA hiyo hiyo kama msaada kwa nchi yetu.
Hivi mna nini watanzania? Wewe kuna mtu amekushikia panga uchanje kwa nguvu? Kwanini isiachwe kwa anayetaka sawa na asiyetaka sawa?
 
Uharaka wa Rais wetu kuchanjwa chanjo ya UIVIKO 19 unatoka wapi? Je! Ni kutokana na masharti ya mkopo wa World Bank? Je! Ni kutokana na masharti ya mabeberu ili aonekane yupo kinyume na misimamo ya mwendazake? Je! Yeye naye ni sehemu muhimu ya kutekeleza mipango ya NWO? Je! Anafanya hivyo kwa msukumo binafsi wa kutaka kupata umaarufu mbele ya jumuiya ya kimataifa pasipo kujali athari za kiafya juu ya maamuzi yake katika siku zijazo?

Mimi bado nipo upande wa wale wanaotaka tujipe kwanza " benefit of doubt" kabla ya kuanza matumizi rasmi ya chanjo hizi. Kwa maana ktk hali ya kawaida tu huwezi kuamua kukimbilia chanjo ambazo matumizi yake yamekataliwa nchini USA na Canada, halafu leo eti zinaletwa na USA hiyo hiyo kama msaada kwa nchi yetu.
Ndio ku sakrifaisi maisha yake kwa ajili ya watanzania
 
Nimeamua mimi na familia yangu hakuna atakaye choma hiyo chanjo.

Azindue asizindue hainihusu.
 
achanjwe tu!, ikiwezekana na nduguze wachanjwe...sisi tupo fresh...tunajifukiza, malimao tangawizi michaichai kwa sana, ndimu vitunguu swaumu. hata ikija covid-19 ya kumi bado haitatuweza kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom