#COVID19 Rais Samia kuzindua na kupata Chanjo ya COVID-19 Julai 28, 2021

Chanjo zimezuiliwa USA na Canada? Hivi nyie watu ni nani aliyewaroga?
Canada waliikataa hiyo j&j, na USA wameisitisha tangu Tuesday, naona wamarekani ndo wakaamua waitupe kwetu kwa majaribio zaidi:
 
Kuna mdau anasema baada ya kuchoma alimtyomba wife wake masaa matatu mfululizo,yaani dozi inaongeza nguvu za kiume,mshipa kusimama na kupumua vizuri.
 
Kwisha kwisha mama habari yako.

She will follow the same way as her predecessor
 
Utasikia tunamwimbia na yeye Umelala yoo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Imefanyiwa utafiti nchini na chombo gani cha nchi yetu ili tuamini kuwa ni salama?
Hahaha!!!
Mzigo milioni 1 plus umefika, halafu bado mnaaminishwa kutakuwa na utafiti?

Yaani USA atoe bundle lote lile ili liingie maabara?

Ule mzigo ni straight kuingia kwenye damu za watu kama ulivyo, sahau habari za sijui utafiti n.k
 
Anachanjwa yenyewe au ya magumashi kutuzaga tujae kwenye 18 mabeberu watutoe kafara afu aendelee kula maisha na mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…