Rais Samia kuzungumzia Siasa kwenye Chuo cha Kijeshi unataka kutuaminisha nini Watanzania?

Rais Samia kuzungumzia Siasa kwenye Chuo cha Kijeshi unataka kutuaminisha nini Watanzania?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.

Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.

Ukiona nakusema jua ninakupenda.
 
Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno na hata Wewe CDF mpya Umefeli kwani kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini ni HATARI mno na wenye Akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na Kumzuia asilijadili huko Kwenu bali ajikite zaidi katika Mada za Kimedani ( Kijeshi ) hasa Mikakati, Ulinzi na Usalama ila siyo Siasa ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.

Rais Samia nakushauri Ajiri Watu wenye Akili sana kuwa Washauri ( Wasaidizi ) wako hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani ulionao sasa hamna Kitu Wanakupotosha na watakuja Kukuponza.

Ukiona nakusema jua Ninakupenda.
alizungumzia nini?
 
Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.

Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.

Ukiona nakusema jua ninakupenda.
Unasababisha bangi iendelee kuharamishwa.

Haujaeleza alichokisema sasa tunajuaje kama aliochea siasa Chuo cha Kijeshi?
 
Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.

Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.

Ukiona nakusema jua ninakupenda.
Naunga mkono hoja.Jeshi ni kitu cha kipekee sana.
 
Bakini hivyo hivyo kuzubaishwa na wanasiasa wa CCM.

CCM ipo kuhakikisha inaendelea kushika dola, hivyo hufanya kila aina ya mbinu.

Ukiona jambo la siasa linakatazwa na serikali ni kwa ajili ya wapinzani na siyo CCM. Kwa mfano, inasemwa mtumishi wa umma haruhusiwi kufanya siasa na utumishi wa umma kwa pamoja. Ila hakuna wa kukuuliza ukiwa mtumishi wa umma na kiongozi wa CCM.
 
Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.

Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.

Ukiona nakusema jua ninakupenda.
Simple tuu,life is politics
 
Back
Top Bottom