MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
alizungumzia nini?Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno na hata Wewe CDF mpya Umefeli kwani kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini ni HATARI mno na wenye Akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na Kumzuia asilijadili huko Kwenu bali ajikite zaidi katika Mada za Kimedani ( Kijeshi ) hasa Mikakati, Ulinzi na Usalama ila siyo Siasa ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.
Rais Samia nakushauri Ajiri Watu wenye Akili sana kuwa Washauri ( Wasaidizi ) wako hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani ulionao sasa hamna Kitu Wanakupotosha na watakuja Kukuponza.
Ukiona nakusema jua Ninakupenda.
Fuatulia acha Kunichosha na Uvivu wakoalizungumzia nini?
Kila nikimtizama huyu CDF mpya naona amewekwa Mfukoni mwa mwenye Mamlaka ya Kikatiba nchini.Kwa mara ya kwanza tumepata amri jeshi mkuu asiyekuwa na kauli ya mamlaka
Rubbish!Fuatulia acha Kunichosha na Uvivu wako
Mwana kulitafuta mwanakulipata.Fuatulia acha Kunichosha na Uvivu wako
Unasababisha bangi iendelee kuharamishwa.Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.
Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.
Ukiona nakusema jua ninakupenda.
Foolish.Rubbish!
I'm not Him / Her I'm MINOCYCLINE okay?Gentamcycine [emoji106]
Wewe ni Genta tu mtutsi uchwara mkurya. Long live Pascal Mayalla , long live our commander in chief mama Yetu Samia.I'm not Him / Her I'm MINOCYCLINE okay?
We bana wewe....I'm not Him / Her I'm MINOCYCLINE okay?
Naunga mkono hoja.Jeshi ni kitu cha kipekee sana.Wasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.
Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.
Ukiona nakusema jua ninakupenda.
NincompoopFoolish.
Simple tuu,life is politicsWasaidizi wa sasa wa Mheshimiwa Rais mnafeli mno, na hata wewe CDF mpya umefeli. Kwanini kuruhusu Mama kuzungumzia Siasa Jeshini? Ni hatari mno, na wenye akili kuwazidi tulidhani mngeliona hili na kumzuia asilijadili huko kwenu. Bali ajikite zaidi katika mada za kimedani (kijeshi), hasa mikakati, ulinzi na usalama ila siyo siasa, ambako MINOCYCLINE naamini huko hakukuwa mahala pake sahihi.
Rais Samia nakushauri ajiri watu wenye akili sana kuwa washauri (wasaidizi) wako, hasa huku katika Medani za Ulinzi, Mikakati na Usalama kwani uliyonao sasa hamna kitu. Wanakupotosha na watakuja kukuponza.
Ukiona nakusema jua ninakupenda.
Sasa unakurupuka tu na mada bila ushahid kana kwamba wote tumesikia alichosema...Fuatulia acha Kunichosha na Uvivu wako
Dawa ya gono hiyo....Yule mwenzio ni dawa ya chikungunya.nyote ni antibiotics tuI'm not Him / Her I'm MINOCYCLINE okay?