THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Friends and Enemies,
Rais Samia,Usiwaruhusu wakufanye uwe mjinga kama jamaa yule kwenye suala hili la demokrasia,
Au pia usiwaruhusu wao wakufundishe namna gani ya kuifanya hii demokrasia ili hali wao wenyewe wanadai katiba mpya na demokrasia ili hali kwenye vyama vyao wameshindwa kuihubiri,kama wameshindwa kwenye vyama vyao wataweza vipi siku wakishika dola??mamlaka ni matamu nani asiejua??
Rais Samia,wewe una ubongo wako,fikra zako,washauri wako,vision na mission zako ya kwa namna gani utalihudumia hili taifa kwa haki bila upendeleo,so let them go to hell if what they are thinking to do is right...
Upendo na amani hauwezi kukuacha utembee pekeyako,lazima vitembee na wewe.
Ni kweli kwamba walikimbia nchi kwa mkono wa chuma ambao ulikuja kufanya exchange ya demokrasia kwa kigezo cha kufanya maendeleo,ya kwamba demokrasia inachelewesha maendeleo.
Wewe umekuja kuvifanya vyote,kurudisha demokrasia na kuendeleza maendeleo leo wanasahau wanataka kuufanya uongozi wako uhisi kuwa kumbe yule jamaa alikuwa sahihi kuwanyoosha hawa,la hasha wasikurudishe huko.
Kwenye Giza lazima kuna nuru mbele yake inakuja,tumetoka gizani na sasa tuko kwenye nuru hatuwezi kukubali wachache waturudishe tena Gizani abadani.
Kama wameshindwa demokrasia kwenye vyama vyao,kama wameshindwa kujadili kwa hoja na sasa wanataka shari na kutamani kule walipotokea,na kwamba wameyamiss sana yale maisha ni kimpango wao.
Hatuthubutu kujaribu sumu kwa kuionja,tunalinda kwanza kizuri tulichonacho kisha tutasonga mbele kwa kujiamini.
Rais Samia,Usiwaruhusu wakufanye uwe mjinga kama jamaa yule kwenye suala hili la demokrasia,
Au pia usiwaruhusu wao wakufundishe namna gani ya kuifanya hii demokrasia ili hali wao wenyewe wanadai katiba mpya na demokrasia ili hali kwenye vyama vyao wameshindwa kuihubiri,kama wameshindwa kwenye vyama vyao wataweza vipi siku wakishika dola??mamlaka ni matamu nani asiejua??
Rais Samia,wewe una ubongo wako,fikra zako,washauri wako,vision na mission zako ya kwa namna gani utalihudumia hili taifa kwa haki bila upendeleo,so let them go to hell if what they are thinking to do is right...
Upendo na amani hauwezi kukuacha utembee pekeyako,lazima vitembee na wewe.
Ni kweli kwamba walikimbia nchi kwa mkono wa chuma ambao ulikuja kufanya exchange ya demokrasia kwa kigezo cha kufanya maendeleo,ya kwamba demokrasia inachelewesha maendeleo.
Wewe umekuja kuvifanya vyote,kurudisha demokrasia na kuendeleza maendeleo leo wanasahau wanataka kuufanya uongozi wako uhisi kuwa kumbe yule jamaa alikuwa sahihi kuwanyoosha hawa,la hasha wasikurudishe huko.
Kwenye Giza lazima kuna nuru mbele yake inakuja,tumetoka gizani na sasa tuko kwenye nuru hatuwezi kukubali wachache waturudishe tena Gizani abadani.
Kama wameshindwa demokrasia kwenye vyama vyao,kama wameshindwa kujadili kwa hoja na sasa wanataka shari na kutamani kule walipotokea,na kwamba wameyamiss sana yale maisha ni kimpango wao.
Hatuthubutu kujaribu sumu kwa kuionja,tunalinda kwanza kizuri tulichonacho kisha tutasonga mbele kwa kujiamini.