Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Kwa nyendo zako za sasa yaani unapiga mulemule na hongera sana!
Tatizo ni huyo January Waziri wa nishati anakuharibia kwa wananchi.Muda wote Tanesco wanakata umeme na hilo ni tatizo la Nchi nzima.
Mfute kazi huyo mtu ili uwe upande wa wananchi.
Tatizo ni huyo January Waziri wa nishati anakuharibia kwa wananchi.Muda wote Tanesco wanakata umeme na hilo ni tatizo la Nchi nzima.
Mfute kazi huyo mtu ili uwe upande wa wananchi.