January yupo kwenye hiyo wizara Untill 2030! Ni kati ya watu wachache wenye akili waliobakia chamani na serikalini! Hayo majungu yenu yataishia mitandaoni humu, and uzuri Rais anamfahamu vizuri January kwani alifanya naye kazi kwa ukaribu walipokuwa wote Muungano! Kutolewa kwa Kalemani S Gang imewauma kwelikweli! Mjue sasa jinsi gani inakera pale mtu mnayemchukia nyinyi lakini anaaminiwa na Rais, Karma, kama vile mlivyokuwa mnawatukana watu waliokuwa wanapiga kelele Bashite na Sabaya watolewe, na nyinyi mlinywe la January! Bora ya huyu, Yule mwingine alikuwa akitoka kusoma JF mashinikizo ya kumtoa Bashite kesho yake alikuwa anakurupuka na kusema HAPANGIWI! Msimpangie na Samia basi Urais wake hauna ubia na mtu