Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Nunua stabilizerumeme ni kuwaka na kuzima vitu vinaharibika,hatuna raha tumejaa hofu mtu unawaza ukiwasha TV yako ya 8 M ikapigwa shoti ikaungua utafanyaje then unaamua kutokuiwasha 😎 MAISHA YA MASHAKA...WHY THIS ???????
TUNAACHAJE KUMKUMBUKA RAIS MAGUFULI.
Ushajibiwa huko na Samia haupo mradi utasimama wala kusitishwa kwa wenye roho mbaya mnywe sumuSasa January ndiyo nyaya za umeme?
Kura za mchongo mkuu,yeye pamoja na KinanaHivi Makamba ni mbobezi katika masuala gani?maana unakatika kweli kweli!!
Wapigaji ni wengi sn tena wakubwa haswa kwenye nchiIlilaaniwa na ^Lo-war-sir,^ siyo?
Wewe ndo mwezi wa kwanza? Jinga kabisaHakuna ukweli wala ushahidi juu ya hii tuhuma uliyoiweka hapa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Unategemea atoe kauli gani mama wa watu? Ndugai unamsikia kishaanza kulia na kudoda kwa Dodoma yake?Ushajibiwa huko na Samia haupo mradi utasimama wala kusitishwa kwa wenye roho mbaya mnywe sumu
January ni Waziri wa Nishati, siyo fundi wa TanescoKwa nyendo zako za sasa yaani unapiga mulemule na hongera sana!
Tatizo ni huyo January Waziri wa nishati anakuharibia kwa wananchi.Muda wote Tanesco wanakata umeme na hilo ni tatizo la Nchi nzima.
Mfute kazi huyo mtu ili uwe upande wa wananchi.
Mwisho wa siku naye atajifukuzaKwa nyendo zako za sasa yaani unapiga mulemule na hongera sana!
Tatizo ni huyo January Waziri wa nishati anakuharibia kwa wananchi.Muda wote Tanesco wanakata umeme na hilo ni tatizo la Nchi nzima.
Mfute kazi huyo mtu ili uwe upande wa wananchi.
Halafu amrudishe msukuma mwenzenu Karimane, kenge nyinyi,Kwa nyendo zako za sasa yaani unapiga mulemule na hongera sana!
Tatizo ni huyo January Waziri wa nishati anakuharibia kwa wananchi.Muda wote Tanesco wanakata umeme na hilo ni tatizo la Nchi nzima.
Mfute kazi huyo mtu ili uwe upande wa wananchi.
Hii misukule ya dikteta kichaa imevurugwa Sana mkuuJanuary ni Waziri wa Nishati, siyo fundi wa Tanesco
Kufa umfuate huyo diktetaumeme ni kuwaka na kuzima vitu vinaharibika,hatuna raha tumejaa hofu mtu unawaza ukiwasha TV yako ya 8 M ikapigwa shoti ikaungua utafanyaje then unaamua kutokuiwasha 😎 MAISHA YA MASHAKA...WHY THIS ???????
TUNAACHAJE KUMKUMBUKA RAIS MAGUFULI.
Hawa mbwa sukuma gang inakoendea watasaula nguo tuwapige miti,washavurugwa mbwa hawaSasa January ndiyo nyaya za umeme?
Sumu mtakunywa nyie kenge wa dikteta kichaaUshajibiwa huko na Samia haupo mradi utasimama wala kusitishwa kwa wenye roho mbaya mnywe sumu
Hata kama bas wawekwe wizara ya habari huko na mambo ya jinsia sijui... wizara nyeti watuaachieAtafanyaje Bi Mkubwa wakati alisogezewa note inasema: ^Wale vijana wetu wawili lazima nao wawemo^?
Mulemule kwenye legacy?! Rais SSH atakuwa hajafanya maamuzi sahihi kama anacheza ngoma ya mwendazake na akina Bashite.Kwa nyendo zako za sasa yaani unapiga mulemule na hongera sana!
Tatizo ni huyo January Waziri wa nishati anakuharibia kwa wananchi.Muda wote Tanesco wanakata umeme na hilo ni tatizo la Nchi nzima.
Mfute kazi huyo mtu ili uwe upande wa wananchi.