beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Akiwa katika uwekaji Jiwe la Msingi Mradi wa Miundombinu ya Kusafisha na Kutibu Maji Wilaya ya Bunda, Mkoani Mara amesema, "Kwa Serikali ndoo moja ya maji ya lita 20 inauzwa kwa Tsh. 37. Wananchi mnaonunua maji ni mashahidi dumu moja la lita 20 mnanunua Tsh. 1,000 na kwenda mbele"
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Maafisa Maji kupeleka gharama (bili) kwa Wananchi jinsi wanavyotumia, kusiwe na ubambikizaji
Aidha, amewataka Wananchi kulipa gharama za maji wanazoletelewa kwani wasipofanya hivyo mradi utashindwa kujiendesha na kupelekea wakose huduma ya Maji
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Maafisa Maji kupeleka gharama (bili) kwa Wananchi jinsi wanavyotumia, kusiwe na ubambikizaji
Aidha, amewataka Wananchi kulipa gharama za maji wanazoletelewa kwani wasipofanya hivyo mradi utashindwa kujiendesha na kupelekea wakose huduma ya Maji