Mahakimu kawaongezea posho now wanakula posho nzuri na budget ijayo wanaongezwa mshahara. Walimu anawapa tu ahadiHayo ni maneno tu.
Mwendazake alikuwa mwalimu.
Kuna kipi cha maana alichowafanyia walimu?
Zaidi amefanya wamejaa mitaani mpaka wameanzisha umoja wao wa NETO.
Ni zaidi ya ukatili.Mahakimu kawaongezea posho now wanakula posho nzuri na budget ijayo wanaongezwa mshahara. Walimu anawapa tu ahadi
Yani serikali iliona wenza wa viongozi wanapata tabu kwa kutembelea v8 na ac na kuwa na bima first class wanastahili mishahara ila walimu kuongezewa mishahara hapanaNi zaidi ya ukatili.
Hii nchi wenye mamlaka wanajisahau sana.Yani serikali iliona wenza wa viongozi wanapata tabu kwa kutembelea v8 na ac na kuwa na bima first class wanastahili mishahara ila walimu kuongezewa mishahara hapana
Hao NYETO ni kikundi cha wahuni tu wasiojitambua. Hivi kila kada ingeanzisha umoja wa wasiokua na ajira hii nchi si ingekuwa na vikundi vingi vya wahuni?Hayo ni maneno tu.
Mwendazake alikuwa mwalimu.
Kuna kipi cha maana alichowafanyia walimu?
Zaidi amefanya wamejaa mitaani mpaka wameanzisha umoja wao wa NETO.
Ndg walimu ndio wameongoza na wanaendelea kuongoza hii nchi, Baba wa Taifa, mzee Mwinyi, Magufuli, Majaliwa, Mpango(lecturer), n.kHayo ni maneno tu.
Mwendazake alikuwa mwalimu.
Kuna kipi cha maana alichowafanyia walimu?
Zaidi amefanya wamejaa mitaani mpaka wameanzisha umoja wao wa NETO.
CCM waliwai kuwakejeli walimu..wakawauliza HUKO SHULENI WALIMU WANAZALISHA NINI??!Mahakimu kawaongezea posho now wanakula posho nzuri na budget ijayo wanaongezwa mshahara. Walimu anawapa tu ahadi
Na jambo jengine ni kuwa walimu wanaisaidia CCM kuiba kura nyakati za chaguzi mbalimbaliWakuu,
Huko Korogwe mkoani Tanga, Rais Samia akiwa anazungumza na wananchi amegusia na maslahi ya walimu ambapo alisema kuwa anaelewa vizuri changamoto za walimu kwa sababu pia baba yake alikuwa ni mwalimu
"Mi mwenzenu walimu nawapenda sana. Na ninawapenda kwa sababu wanasaidia kuelimisha umma wetu. Wanatusaidia kuelimisha umma wa watanzania. Walimu wana kazi nzito sana. Walimu asanteni sana"
Na kwa wale wasiojua mimi pia baba yangu ni mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu"
Kumbe nilichosikia ni kweli kuna mtu aliniambia sikuamini akaniambia nenda Wikipedia kaangalia kama kuna jina la baba yake kama maraisi wengine waliopita sikupata akasema basi aminiAli Hassan Mwinyi pia alikuwa Mwalimu
Aisee kuna kitu hakiko sawa kwako.Naomba nikuambie hivii, haya uliyoandika ni anti-mwananchi wa kawaida,kwa kuwa hao vijana wanatoka kwenye familia maskin.Kwa comment yako hii, wewe si mtoto wa maskini na inaonyesha wazi dharau iliyopo kwa the common man by the rich in Tanzania..Sawa,wenye akili tumekusoma.Hao NYETO ni kikundi cha wahuni tu wasiojitambua. Hivi kila kada ingeanzisha umoja wa wasiokua na ajira hii nchi si ingekuwa na vikundi vingi vya wahuni?
Kusomea ualimu sio guarantee kwamba lazima upate ajira serikalini, na kwa utafiti uliopo watu walio kata tamaa ya maisha ktk kada nyinginezo walitaka kuharibu kada ya ualimu walienda kusomea ualimu ili warudi kuajiriwa serikali na kuleta ubabaishaji...
Interview zimefanyika watu wameshindwa kupata nafasi wanalazimisha kiajiriwa kwa kutia huruma kitu ambacho hakiwezekani, mtu ana ajiriwa na uwezo wake wa kiakili na vitendo...
Kwahio hao NYETO ni useless
Samia asizuge Watanzania.Angekuwa anapenda waalimu angesimamia matumizi na rasilimali za taifa ili zisitumike vibaya badala yake zitumike kuwapa vijana wetu wote ajira,sio waalimu tu.Kwa sasa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa yanazuia uwezekano huo.Wakuu,
Huko Korogwe mkoani Tanga, Rais Samia akiwa anazungumza na wananchi amegusia na maslahi ya walimu ambapo alisema kuwa anaelewa vizuri changamoto za walimu kwa sababu pia baba yake alikuwa ni mwalimu
"Mi mwenzenu walimu nawapenda sana. Na ninawapenda kwa sababu wanasaidia kuelimisha umma wetu. Wanatusaidia kuelimisha umma wa watanzania. Walimu wana kazi nzito sana. Walimu asanteni sana"
Na kwa wale wasiojua mimi pia baba yangu ni mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu"
1. MwalimuHata muasisi wa Taifa hili alikuwa Mwalimu.
WaTz wapuuzi sana yaani kujiita masikini mnajivunia kabisa. Ndiyo maana mnashindwa kutumia akili, mtu na akili zako umemaliza chuo unalala kitandan kwa mume wa dada yako unalalamika ajira hakuna...?!?π€£π© Mkiambiwa ukweli mna nuna na mashavu yamewatuna.Aisee kuna kitu hakiko sawa kwako.Naomba nikuambie hivii, haya uliyoandika ni anti-mwananchi wa kawaida,kwa kuwa hao vijana wanatoka kwenye familia maskin.Kwa comment yako hii, wewe si mtoto wa maskini na inaonyesha wazi dharau iliyopo kwa the common man by the rich in Tanzania..Sawa,wenye akili tumekusoma.
Suluhu was born in the Sultanate of Zanzibar on 27 January 1960 to a teacher and his wife. Four years later, Zanzibar unified with Tanganyika to form the nation of Tanzania.[1] She completed her secondary education in 1977,[2] and she began working as an office clerk.[1] She married agriculturalist Hafidh Ameir the following year. Together they had three sons and one daughter.[Kumbe nilichosikia ni kweli kuna mtu aliniambia sikuamini akaniambia nenda Wikipedia kaangalia kama kuna jina la baba yake kama maraisi wengine waliopita sikupata akasema basi amini
Yeye anamaanisha Mwl Suluhu hassan! πππ! Hata hivyo hajataja shule aliyofundisha baba yake!Ali Hassan Mwinyi pia alikuwa Mwalimu