Pre GE2025 Rais Samia: Kwa wale wasiojua, baba yangu alikuwa mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu!

Pre GE2025 Rais Samia: Kwa wale wasiojua, baba yangu alikuwa mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndg
Ndg walimu ndio wameongoza na wanaendelea kuongoza hii nchi, Baba wa Taifa, mzee Mwinyi, Magufuli, Majaliwa, Mpango(lecturer), n.k
Miongoni mwa uliowataja nasikia ndo babake mzazi🤣🤣🤣
 
Hayo ni maneno tu.

Mwendazake alikuwa mwalimu.

Kuna kipi cha maana alichowafanyia walimu?

Zaidi amefanya wamejaa mitaani mpaka wameanzisha umoja wao wa NETO.

Wakuu,

Huko Korogwe mkoani Tanga, Rais Samia akiwa anazungumza na wananchi amegusia na maslahi ya walimu ambapo alisema kuwa anaelewa vizuri changamoto za walimu kwa sababu pia baba yake alikuwa ni mwalimu

"Mi mwenzenu walimu nawapenda sana. Na ninawapenda kwa sababu wanasaidia kuelimisha umma wetu. Wanatusaidia kuelimisha umma wa watanzania. Walimu wana kazi nzito sana. Walimu asanteni sana"
Na kwa wale wasiojua mimi pia baba yangu ni mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu"



Mbona smemkamata Kihana watu.... Au hilo halijui wala hsjalisikia...!?
 
Hata Mke wa kikwete alipata kiki kupitia waalimu. Siasa bana kila mtu anajiweka kwa waalimu ila hata hapoganii maslah yao
 
Watu tunataka ajira tumesomea ualimu ajira hatujapata,tuko mitaani tukijua kuwa mzee wetu alikuwa mwalimu haitupi pesa ya kununulia chumvi.
 
Wakuu,

Huko Korogwe mkoani Tanga, Rais Samia akiwa anazungumza na wananchi amegusia na maslahi ya walimu ambapo alisema kuwa anaelewa vizuri changamoto za walimu kwa sababu pia baba yake alikuwa ni mwalimu

"Mi mwenzenu walimu nawapenda sana. Na ninawapenda kwa sababu wanasaidia kuelimisha umma wetu. Wanatusaidia kuelimisha umma wa watanzania. Walimu wana kazi nzito sana. Walimu asanteni sana"
Na kwa wale wasiojua mimi pia baba yangu ni mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu"


Kwamba mtoto wa mwalimu
 
Wakuu,

Huko Korogwe mkoani Tanga, Rais Samia akiwa anazungumza na wananchi amegusia na maslahi ya walimu ambapo alisema kuwa anaelewa vizuri changamoto za walimu kwa sababu pia baba yake alikuwa ni mwalimu

"Mi mwenzenu walimu nawapenda sana. Na ninawapenda kwa sababu wanasaidia kuelimisha umma wetu. Wanatusaidia kuelimisha umma wa watanzania. Walimu wana kazi nzito sana. Walimu asanteni sana"
Na kwa wale wasiojua mimi pia baba yangu ni mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu"


Tumefikaje hapa? Kila akifungua mdomo utadhani tuko jikoni. Bila kuwa na rais mwenye vision nchi itaendelea kuzota.
 
Watu tunataka ajira tumesomea ualimu ajira hatujapata,tuko mitaani tukijua kuwa mzee wetu alikuwa mwalimu haitupi pesa ya kununulia chumvi.
 

Attachments

  • IMG_6267.jpeg
    IMG_6267.jpeg
    130.1 KB · Views: 2
WaTz wapuuzi sana yaani kujiita masikini mnajivunia kabisa. Ndiyo maana mnashindwa kutumia akili, mtu na akili zako umemaliza chuo unalala kitandan kwa mume wa dada yako unalalamika ajira hakuna...?!?🤣💩 Mkiambiwa ukweli mna nuna na mashavu yamewatuna.
Mtaunda hadi umoja wa jobless na mtaishia kutumika tu kama toilet papers... Vijana tumieni akili sio makalio
Asante sana kwa dharau.Wote wasio na kazi kwa kuwa wewe umependelewa na mfumo huu ovu kabisa kupata kazi, unawaona wajinga.Sawa,watoto wa wakulima wajinga,ila hili ni bomu ambalo hatimaye litawalipukia,NETO ni wawingu.

Shemeji yako au rafiki wa baba yako au hata mkataba ovu kabisa wa Mwitongo umekuwezesha kupata kazi kwa upendeleo,nyamaza usijione wewe mjanja kuliko wengine.
 
Suluhu was born in the Sultanate of Zanzibar on 27 January 1960 to a teacher and his wife. Four years later, Zanzibar unified with Tanganyika to form the nation of Tanzania.[1] She completed her secondary education in 1977,[2] and she began working as an office clerk.[1] She married agriculturalist Hafidh Ameir the following year. Together they had three sons and one daughter.[
Kwa hiyo hana hata ka-diploma?Duh!
 
Wakuu,

Huko Korogwe mkoani Tanga, Rais Samia akiwa anazungumza na wananchi amegusia na maslahi ya walimu ambapo alisema kuwa anaelewa vizuri changamoto za walimu kwa sababu pia baba yake alikuwa ni mwalimu

"Mi mwenzenu walimu nawapenda sana. Na ninawapenda kwa sababu wanasaidia kuelimisha umma wetu. Wanatusaidia kuelimisha umma wa watanzania. Walimu wana kazi nzito sana. Walimu asanteni sana"
Na kwa wale wasiojua mimi pia baba yangu ni mwalimu, kwa hiyo nayajua mazito ya walimu"


Baba Yuko Oman!
 
Wale wanaojua kuhusu shida waliximaliza?
Nimesema hamna kitu samia anajua kuhusu shida. Hiyo habari ya kuzimaliza utajua wewe huko na machawa wenzako. Halafu acha kuweka X badala ya Z. Inafanya uoneoane bado litoto. Japo hata hivyo sijui kama umekomaa.
 
Back
Top Bottom