Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Mimi kama kuna jambo linalonishangaza kuhusu uongozi wa sasa ni ukimya wa Rais wa nchi, mambo mengi yanaendelea watu wana maswali mengi, tunapata habari tofauti, kwa nini Rais wa nchi hasimami na kuweka mambo sawa?
Kama hili la Wamasai kuondolewa kwa nini Mkuu wa nchi hatoki na kusema kuna hiki na kile, kwa nini watu wanaiongelea Serikali?
Kuna watu wanaamini kabisa Wamasai wanaondolewa kwa nguvu wakati Serikali inasema ni hiari, sasa kwa nini Rais hasimami na kuongea kumaliza mjadala?
Kama hili la Wamasai kuondolewa kwa nini Mkuu wa nchi hatoki na kusema kuna hiki na kile, kwa nini watu wanaiongelea Serikali?
Kuna watu wanaamini kabisa Wamasai wanaondolewa kwa nguvu wakati Serikali inasema ni hiari, sasa kwa nini Rais hasimami na kuongea kumaliza mjadala?