Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Yani kwa mwendo huu watanzania mungu atutetee tu.. manke hat huy alianz kuonyesh solv y kukoskan kw hela AKaAnZ kuajiri lakin kumbe ilkuw karibu mgeni.. bao l kwanza tuHicho chuo kimeifikisha hapa Tanzania.
Kuhusu kupandisha wafanyakazi madaraja nitamtetea.Hataki kuongeza mishahara na kupandisha madaraja wafanyakazi, hapo hapo anataka akamue tozo kila eneo, hii Tanganyika inahitaji kuongozwa na watanganyika wenyewe. Tusipotezeane uelekeo, tunahitaji katiba mpya sasa.
CCM wafanyie na Remix ya hii nyimbo iwe mbele na na nyuma sasa, wanavyotufanya hatuna tofauti kabisa, na hakuna tutakacho wafanya. Zaidi ni kuhamia Burundi.
Walipa kodi walikua m 2.5 sasa tushakua wengi zaidi ya m 30Tanzania imeendelea kwenye nini Tangu Kodi zianze kutolewa tangu Uhuru?
Kuna wafanyakazi kibao waliostahili kupanda hawakupanda, believe me tena wengine mwaka wa saba huu...Kuhusu kupandisha wafanyakazi madaraja nitamtetea.
Kapandisha madaraja wafanyakazi wote waliotakiwa kupandishwa baada ya kufanyiwa roho mbaya na jiwe
Hilo tatizo litakuwa la maafisa utumishi katika ofisi zaoKuna wafanyakazi kibao waliostahili kupanda hawakupanda, believe me tena wengine mwaka wa saba huu...
Ndo hapo sasa, kwa sababu waziri wa utumishi ameshaonyesha nia ya kufuatilia maswala ya watumishi angetakiwa pia kufanya ziara za kushtukiza huko kwenye taasisi angejionea mwenyewe maafisa utumishi walivyojipa umungu mtu..........haya mambo yanashusha sana morale makazini.......Hilo tatizo litakuwa la maafisa utumishi katika ofisi zao
Hujui huyu ni Mzanzibari anatawala kwingine.Mama Samia kwa nini mnafanya hivi, mbona hii sio fair? Ni wapi tumekukosea?
Kabla nilitegemea ulipoingia ungepunguza ukali wa maisha Ila ukali ndio unazidi.
Mama Samia mbona hakuna aliyekataa kulipa Kodi?
Ndani ya miezi minne kufanya haya mabadiliko makubwa hivi huoni ni kama unatutesa sana?
Hebu tuambie Hawa watangulizi wako mbona walijenga nchi bila hizi tozo?
Mama Samia mboma JK alijenga shule za kata nchi nzima bila kuongeza tozo?
JK alijenga barabara kuunganisha mikoa yote bila tozo hizi
Mbona Magufuli kajenga hizo hospital bila tozo?
Mbona Magufuli kajenga hayo madaraja na flyover bila hizi tozo?
Leo hii kila kitu kimepanda bei hadi nyama buchani imepanda
Mama ni kwamba hujui Watanzania walio wengi wana maisha duni sana?
Watanzania wengi wanategemea kilimo huko napo mbolea imeongezeka Bei Mara mbili.
Swali langu mama mbona ni muda mfupi sana haya mabadiliko ya maisha?
Lipa kodi tu! Wafanyakazi wameonewa sana kwa kuwaendeshea nchi. Sasa kila Mwananchi awajibike kujenga nchiMama Samia kwa nini mnafanya hivi, mbona hii sio fair? Ni wapi tumekukosea?
Kabla nilitegemea ulipoingia ungepunguza ukali wa maisha Ila ukali ndio unazidi.
Mama Samia mbona hakuna aliyekataa kulipa Kodi?
Ndani ya miezi minne kufanya haya mabadiliko makubwa hivi huoni ni kama unatutesa sana?
Hebu tuambie Hawa watangulizi wako mbona walijenga nchi bila hizi tozo?
Mama Samia mboma JK alijenga shule za kata nchi nzima bila kuongeza tozo?
JK alijenga barabara kuunganisha mikoa yote bila tozo hizi
Mbona Magufuli kajenga hizo hospital bila tozo?
Mbona Magufuli kajenga hayo madaraja na flyover bila hizi tozo?
Leo hii kila kitu kimepanda bei hadi nyama buchani imepanda
Mama ni kwamba hujui Watanzania walio wengi wana maisha duni sana?
Watanzania wengi wanategemea kilimo huko napo mbolea imeongezeka Bei Mara mbili.
Swali langu mama mbona ni muda mfupi sana haya mabadiliko ya maisha?
Tena mwingi kwelikweliHamna bhana mama anaupiga mwingi