Rais Samia kwenda Kenya kimyakimya: Je, ni sahihi kwa Usalama wake? Kwanini Usalama wa Taifa wametuficha ziara ya Rais wetu kwenda Kenya?

Rais Samia kwenda Kenya kimyakimya: Je, ni sahihi kwa Usalama wake? Kwanini Usalama wa Taifa wametuficha ziara ya Rais wetu kwenda Kenya?

Je ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?

Je mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?

Source: Raila Odinga na BBC.
Si maji tu alikuwa anawananga majirani......!!!
 
Je ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?

Je mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?

Source: Raila Odinga na BBC.
Wewe kama nani kwenye "protocol" na usalama wa Rais hata ujulishwe safari zake zote?
.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Je ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?

Je mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?

Source: Raila Odinga na BBC.

Ww kila unakokwenda unawaaga watoto wako?

Wabongo mnapenda kujipa haki ambazo wala sio zenu
 
Je ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?

Je mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?

Source: Raila Odinga na BBC.
=kujulishwa =kusuluhisha.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

 
Huyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.

Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
Labda deep state ya kwenye PlayStation, Samia ni Rais mpaka 2030 hutaki chimba shimo ujifukie.
 
Ndio nasikia hapa kwenye news citizen ..secret travel 2 days Kwa ndege ya jeshi Tena hotel huko porini. Raisi ni mtu nyeti hizi safari za design hii si salama kwake.....halafu trip yenyewe Rutto kampuuza vibaya according to Raila speech..ndio Sasa Rutto anakuja kesho Tanzania kuongea nae halafu akirudi Kenya ndio wakae chini na odinga.

Samia Trip yake Kenya ya Siri imekuwa ya dharau Sana Bora hata asingeenda..na why huende kabla ya confirmation ya uhakika ya kukutana na wahusika unaoneda kuonana nao?
Mbona taarifa hii inashangaza?

Hivi karibuni aliwatupia vijembe hao hao Kenya kuhusu uwekezaji mwingi unaokuja Tanzania kwa vile Kenya kuna moto!

Utasuluhisha vipi watu unaowapiga vijembe?
Huenda ndiyo maana Ruto kamdharau.
 
Je ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?

Je mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?

Source: Raila Odinga na BBC.
Alikuwa ana tafuta umaarufu aonekane amepatanisha watu mwishowe kaumbuka😂😂😂😂😂🤣
 
Huyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.

Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
Ebu andika hiyo kauli ya kinana
 
Huyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.

Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
Mmmh ccm hi hi ione haya never watamuweka yoyote
 
She played cheap politics. Alienda Kenya kwa mualiko wa Uhuru Kenyatta na Raila Odinga, akadhani Siasa za Kenya ni kama za CCM na Chadema akadhani atakua na ushawishi wa kumsihi Rutto afanye mazungumzo na Odinga kwa bahati mbaya Rutto akamuwekea tinted, hakuwa na namna ikabidi arudi nyumbani kimya kimya. What a shame. BTW Rutto kesho yuko TZ kwa official duties. Sema walevi huwa tunapeana matumaini sana.
mtapata sonona maana kila kitu afanyacho rais mnapinga. mnatia huruma maskini
 
Tofautisha R na L ni wapi zinatumika.

Samahani kama nitakukwaza.
Ni ngumu sana.

Ungewasaidia wengi hapa kama kuna mwongozo wowote unaoelekeza matumizi ya hizo herufi kwa usahihi.
Vinginevyo, ni kuchukulia maana aliyolenga kuiwasilisha mleta hoja.

Sikatai, matumizi sahihi ya lugha ni muhimu, lakini kwenye kumbi kama hizi usitegemee kuliona hilo likitokea.
 
Wewe kama nani kwenye "protocol" na usalama wa Rais hata ujulishwe safari zake zote?
.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
[emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2] huwa hii ndio kauli mbiu yako " eti shule tumekwenda kusomea ujinga " wee kizee una dharau mno
 
Back
Top Bottom