Rais Samia kwenye Sekta ya Michezo

Rais Samia kwenye Sekta ya Michezo

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeweka mikakati ili kukuza sekta ya michezo nchini. Serikali inaamini kuwa michezo ni Ajira kwa vijana wengi. Mikakati ya Rais Samia ni:
  • Kukarabati Viwanja 7 kwa gharama ya Tsh Bilioni 10
  • Kuratibu na Kusimamia UMITASHUMTA na UMISETA
  • Kuratibu Usimamizi wa Shule 56 maalum za Michezo ikiwemo uwepo wa miundombinu na vifaa.
  • Kusimamia uendeshaji wa michezo ya kipaumbele (Soka, Netiboli, Kikapu, Wavu na Riadha)
  • Ushirikishwaji wa watu wenye mahitaji maalum katika michezo.
 
Aboreshe mchezo wa ki-baba na mama mashuleni, vijàna wamekuwa legelege sana, mabinti na wenyewe show zao ni mbovu balaa
 
Aboreshe mchezo wa ki-baba na mama mashuleni, vijàna wamekuwa legelege sana, mabinti na wenyewe show zao ni mbovu balaa
 
Mikakati na utekelezaji ni mbingu na ardhi, mfano mkakati wa ongezeko la mshahara la 23% vs utekelezaji.
 
Back
Top Bottom