Rais Samia lazima awe Mwenyekiti CCM

Rais Samia lazima awe Mwenyekiti CCM

Philipo Mwakibinga

Senior Member
Joined
May 13, 2013
Posts
110
Reaction score
175
CCM HUWA IMARA ZAIDI INAPOTISHWA KIFO

Na Philipo Mwakibinga.
0758910403.

Ndugu zangu Wana wa CCM Kidumu Chama Cha Mapinduzi! Nawasalimu kwajina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Naomba niendelee kusisitiza kuwa lazima tuendelee kusimama imara kama sote tunaamini Mungu na tunapokea kila atoalo Mungu na kulipa jina jema la "Baraka." Kamwe tusiwe kama Mpanda gazi hata tukasahau kama kunashuka baada ya Kupanda. Sisi ni Chama Dolla lazima tuwe makini kutokuruhusu kuvunja mila na desturi za CCM.

Ndugu zangu Wana Wa CCM , Baba wa Taifa alikuwa na Jicho kubwa la Tatu hata akaamua kulihali yeye na Wenziwe kuhakikisha RAIS ANAKUA MWENYEKITI WETU. Hii ni muhimu sana kwenye uhai wa Chama,Kwa maana ya Ulinzi na Jeuri ya kuongoza iko hapo. Tusidanganywe kamwe kutawanya kofia hizo mbili kwa vichwa viwili lasivyo tutakua tunalamba asali kwa ncha ya Kisu. Vyama vichanga vinapaswa kutuiga sisi siyo sisi kutafuta busara ya uongozi kwao wakati tunajua kuwa wao walishashindwa hata kabla ya kuanza kushindana.

Ndugu zangu Wana Wa CCM ni bahati sana sana kuwa na Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wetu kwani tunaweza kukutana naye mara mbili wakati wenzetu wanakutana naye mara moja tu. Mosi utakutana naye kama Rais pili Utakutana naye kwenye vikao vya Chama wakati wengine watakutana naye kwenye mosi tu. Yawezekana hatujui umuhimu wa hili sasa lakini tutajuta siku tukipoteza hili. Tuungane pamoja kutetea uhai wa CCM unapotishiwa kukatizwa na hii ndiyo mila na desturi ya CCM hii ambayo kila wakati YAJENGA NCHI.

Ndugu zangu Wana Wa CCM. Makundi na ujuaji usio na maana vitakatisha ndoto za Vizazi vyetu vijavyo kuiona Tanzania yenye maziwa na Asali. Lazima tulinde mazuri na mema waliyotuachia Wazee wetu. Tuhakikishe kuwa mapema sana Rais Wetu Mama Samia anapewa hadhi yake na heshima yake iliyotukuka ndani ya Chama chetu. Mama ndiye Mwenyekiti wetu na anastahili kupewa baraka zetu zote ili kazi iendelee.

Ndugu zangu Wana Wa CCM Rais Mama Samia atakapopewa uenyekiti wa CCM taifa siyo kwaajili yake binafsi ni kwaajili ya CHAMA CHETU. Naomba nieleweke kuwa SISI TUNA MUHITAJI RAIS KUWA MWENYEKITI WETU KULIKO YEYE PENGINE KWAKUA YEYE HAJAOMBA KWAAJILI YA MASLAHI YAKE BINAFSI BALI MILA NA DESTURI ZETU ZINAMPA KWAAJILI YA MASLAHI MAPANA YA TAIFA LETU. TUMPE TUVUKE SALAMA SALIMINI.

CCM tusiingie kwenye mtego waajabu kujifanya tunataka tuende tofauti na tulivyozoea kuwa tutakwama mapema sana. Urais tumeutafuta kwa jasho, kwa kazi na kwaimani kubwa haiwezekani kamwe tukataka utingishwe na CHAMA badala ya kulindwa na CHAMA.

Twende na Mama Rais wetu wa JMT ndiye Mwenyekiti wetu. Watanzania wanajua, Mila na Dasturi zinajua, kamwe tusijechekwa na wajinga kwakutaka kujalibu mifumo ya vyama ambavyo vilishakufa wakati siye tungali hai.

Nawatakia kheri na Fanaka katika kumsimika Mama yetu mpendwa Rais wa JMT Mh SSH kuwa Mwenyekiti Mpya wa CHAMA KIKUBWA CHAMA DUME CHAMA TAWALA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Salaam zangu kwa WANA MARUANI msidanganywe na akina KIGOGO wanalipwa pesa kwa kutunga uongo na uzandiki hata hawana uchungu na UWEPO AU KUTOKUWEPO KWA UTULIVU. Hayo Maujinga yalishapitwa na Wakati. Mihemko na Roho mbaya za korosho hazinatija. Mlizingua kwa JK tukawazingua, Mkazingua kwa JPM tukawazingua sasa mnataka kujaribu kuzingua kwa SSH hapa nasema UKIZINGUA TUNAKUZINGUA HALAFU TUNAKUSALIMU KWAJINA LA JMT.

CCM hoyeee!
 
Yawezekana story za kwenye vijiwe zina ukweli wake make hii habari inazid kunikanganya ....hivi ni kweli kuna ambao wanaleta nongwa ?
 
Kifo cha CCM kiko pale pale! Hata mumrudishe JK kuwa Mwenyekiti! Bado kitakufa tu. Subiri 2025 ifike halafu uone namna hayo makundi yenu hasimu yatakavyo tifuana!

Aliye wamudu alikuwa ni Magufuli peke yake! Hakuna mwingine wa kuzuia mpasuko na hatimaye kifo rasmi cha chama, baada tu ya kuondoka kwake.
 
Magufuli alifanya nini kukijenga chama? Ukiangalia utaona alikuwa amejijenga yeye badala ya Chama
Uko sahihi! Na hata hiyo CCM yenyewe iligeuka na kuwa mali yake baada tu ya kuhakikisha amewaziba midomo wapinzani wake wote.

Leo hii hayupo, CCM imerudi kule kule kwenye makundi na kushughulikiana.
 
Toka we mataga uisaliti chadema ndpo nlipogundua kumbe ni kwanini mbowe hapaswi kuuacha uenyekiti kwasasa kama vjana wenyewe ndo nyie mlikuwa mnaandaliwa kuwa viongoz wa chama na taifa ndo nyie kna mwakibinga.

Ndo maana CCM hawampendi mbowe.

Leo mwakibinga yule wa UDOM ndo wakusema CCM oyee. Kazi ipo
 
Chama cha waoga na wazandiki, nadhani tayari m/kiti mtarajiwa alishapanga anataka apite kwa asilimia ngapi, 90%, 95% au 100%.
 
After a very peaceful transition of power following the untimely departure of the fifth phase president of Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli, Tanzania now under the first female president, Samia Suluhu Hassan, who has assured wananchi not to worry, the nation is in safe hands, is optimistically looking for a bright future.

While Africa and the world are watching with special interest to see if the concept which was well articulated by Cheikh Anta Diop in his series of essays in the 1940s through 1960s and which was invigorated in the land of Mwalimu Nyerere by the late John Magufuli, if it will endure under President Samia Suluhu Hassan, Tanzanians are very enthusiastic.

The essays collected in the book “Towards the African Renaissance: Essays in culture and development, 1946 – 1960,” enlightens on the necessity of African people and nations to overcome the current challenges confronting the continent to achieve cultural, scientific, and economic renewal by themselves.

Yes, African solutions for African problems. The African freedom fathers struggled for political freedom in order to begin the work of overcoming poverty, ignorance and disease, which have been our constant enemies even after independence. With President on the helm, Tanzania is promising to put a good fight against these traditional enemies.

Attending the President’s Forum in Claremont, California on 16th, May 1999, only five months before he embarked on the better world, Mwalimu Nyerere said economic liberation was the challenge for the new generation of the African leaders and that they have to succeed in that mission.

“It’s time for cleaning up the remaining elements of irresponsible and non- accountable leaders. It’s time for good governance and for new leadership to be able to say No! to those meddling in the internal affairs of Africa.”

In the first days in office, President Samia is showing all signs of a leader Tanzania and Africa needs at this moment. Though soft spoken as opposed to her predecessor, she is very firm on key issue that matters to the nation.

She already ordered the enhanced security in protecting the precious mineral, Tanzanite, which as she said, there are signs of some unfaithful staff robbing the nation at Mererani.

Samia has shown all the signs that she will walk the talk and the expectation of the first generation of the African leaders. After political independence, economic and mental emancipation are remaining key challenges for Africa today, and Mama Samia Suluhu Hassan is taking them head on.

That is why it’s imperative, that as it is with Chama Cha Mapinduzi respected tradition to honor her victoriously with the party chairpersonship, so she can be in a good position to pilot the implementation of the CCM 2020 – 2025 manifesto.

With Mama Samia on the driving seat, Tanzanians, in the same way it used to be the reliable rear base for the liberation struggles, it’s once again holding the key for African emancipation from economic captivity, under the first ever female president.

THANK YOU SAMIA
 
After a very peaceful transition of power following the untimely departure of the fifth phase president of Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli, Tanzania now under the first female president, Samia Suluhu Hassan, who has assured wananchi not to worry, the nation is in safe hands, is optimistically looking for a bright future.

While Africa and the world are watching with special interest to see if the concept which was well articulated by Cheikh Anta Diop in his series of essays in the 1940s through 1960s and which was invigorated in the land of Mwalimu Nyerere by the late John Magufuli, if it will endure under President Samia Suluhu Hassan, Tanzanians are very enthusiastic.

The essays collected in the book “Towards the African Renaissance: Essays in culture and development, 1946 – 1960,” enlightens on the necessity of African people and nations to overcome the current challenges confronting the continent to achieve cultural, scientific, and economic renewal by themselves.

Yes, African solutions for African problems. The African freedom fathers struggled for political freedom in order to begin the work of overcoming poverty, ignorance and disease, which have been our constant enemies even after independence. With President on the helm, Tanzania is promising to put a good fight against these traditional enemies.

Attending the President’s Forum in Claremont, California on 16th, May 1999, only five months before he embarked on the better world, Mwalimu Nyerere said economic liberation was the challenge for the new generation of the African leaders and that they have to succeed in that mission.

“It’s time for cleaning up the remaining elements of irresponsible and non- accountable leaders. It’s time for good governance and for new leadership to be able to say No! to those meddling in the internal affairs of Africa.”

In the first days in office, President Samia is showing all signs of a leader Tanzania and Africa needs at this moment. Though soft spoken as opposed to her predecessor, she is very firm on key issue that matters to the nation.

She already ordered the enhanced security in protecting the precious mineral, Tanzanite, which as she said, there are signs of some unfaithful staff robbing the nation at Mererani.

Samia has shown all the signs that she will walk the talk and the expectation of the first generation of the African leaders. After political independence, economic and mental emancipation are remaining key challenges for Africa today, and Mama Samia Suluhu Hassan is taking them head on.

That is why it’s imperative, that as it is with Chama Cha Mapinduzi respected tradition to honor her victoriously with the party chairpersonship, so she can be in a good position to pilot the implementation of the CCM 2020 – 2025 manifesto.

With Mama Samia on the driving seat, Tanzanians, in the same way it used to be the reliable rear base for the liberation struggles, it’s once again holding the key for African emancipation from economic captivity, under the first ever female president.

THANK YOU PPRESIDENT SAMIA

SAMIABUNGENI.jpg
 
Kwa jina la Tanzania, salumu nakutumia,
Uendelee kwa nia, kuijenga Tanzania,
Kitini umekalia, kuliongoza taifa,
Heko Rais Samia, CCM iongoze.

Hizi ni zama za kheri, kwa Taifa Tanzania,
Zama za kutafakari, hatma ya Tanzania.
Kwa makini tufikiri, na kwa zote mizania,
Karibu Mama Samia, CCM iongoze.

Wajumbe bara Unguja, wote mnamfahamu,
Ni shupavu kwa hakika, kushikilia hatamu,
Wote twawategemea, wajibu mwaufahamu,
Wajumbe msipepese, kura zote kwa Samia.


Twajua tuna majonzi, kupoteza jemedari,
Wetu Rais kipenzi, Magufuli yu hodari.
Hakika tutamuenzi, yeye kwetu ni johari,
Rais wetu Samia, iongoze CCM.


John alituhubiri, kutetea wananchi,
Na katu hakuahiari, hujuma za walanchi,
Ubeberu wa Kamari, ndiye joka mlanchi
Rais wetu Samia, CCM iongoze.


Alipinga unyonyaji, wa mtaji na akili,
Hulka za ufujaji, alizitia kufuli,
Mwekezaji mfujaji, alimnyima kibali,
Mola ampe amani, ampumzishe pema.


Zama mpya meingia, nyonyo zina tumaini,
Wajumbe changamkia, Mama tumpe imani,
Usukani shikilia, chama kitunze amani,
Rais wetu Samia, CCM iongoze.

Mpeni kura za ndiyo, Rais wetu Samia,
Kijiti cha ndefu mbio, mpeni Mama Samia,
Aongoze kwenda mbio, aivushe Tanzania,
Wajumbe msipepese, kura zote kwa Samia,

JK Convesheni, ukumbi ujae shangwe,
Wajumbe wote tieni, kwa hoi hoi na mbwembwe,
Kura zote mpatieni, na Dodoma iwe shangwe,
Wajumbe msipepese, Mama azibebe zote.


Lililia la mgambo, wote makaitikia,
Mlijua lenu jambo, Taifa kupigania,
Sasa twaiona ng’ambo, haifai kuzinzia,
Wajumbe msipepese, kura zote kwa Samia.


ASANTE SAMIA
 
Umesahau jina na namba ya simu mkuu, kuna wastaafu watarajiwa kama kina Chalamila ungeweza ukaziba gap
 
... hebu mpeni muda kwanza. Yasije yakawa yale yale ya Obama kutunukiwa Nobel mwanzoni kabisa mwa utawala wake akaja kuboronga hadi aibu!
 
Back
Top Bottom