Philipo Mwakibinga
Senior Member
- May 13, 2013
- 110
- 175
CCM HUWA IMARA ZAIDI INAPOTISHWA KIFO
Na Philipo Mwakibinga.
0758910403.
Ndugu zangu Wana wa CCM Kidumu Chama Cha Mapinduzi! Nawasalimu kwajina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naomba niendelee kusisitiza kuwa lazima tuendelee kusimama imara kama sote tunaamini Mungu na tunapokea kila atoalo Mungu na kulipa jina jema la "Baraka." Kamwe tusiwe kama Mpanda gazi hata tukasahau kama kunashuka baada ya Kupanda. Sisi ni Chama Dolla lazima tuwe makini kutokuruhusu kuvunja mila na desturi za CCM.
Ndugu zangu Wana Wa CCM , Baba wa Taifa alikuwa na Jicho kubwa la Tatu hata akaamua kulihali yeye na Wenziwe kuhakikisha RAIS ANAKUA MWENYEKITI WETU. Hii ni muhimu sana kwenye uhai wa Chama,Kwa maana ya Ulinzi na Jeuri ya kuongoza iko hapo. Tusidanganywe kamwe kutawanya kofia hizo mbili kwa vichwa viwili lasivyo tutakua tunalamba asali kwa ncha ya Kisu. Vyama vichanga vinapaswa kutuiga sisi siyo sisi kutafuta busara ya uongozi kwao wakati tunajua kuwa wao walishashindwa hata kabla ya kuanza kushindana.
Ndugu zangu Wana Wa CCM ni bahati sana sana kuwa na Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wetu kwani tunaweza kukutana naye mara mbili wakati wenzetu wanakutana naye mara moja tu. Mosi utakutana naye kama Rais pili Utakutana naye kwenye vikao vya Chama wakati wengine watakutana naye kwenye mosi tu. Yawezekana hatujui umuhimu wa hili sasa lakini tutajuta siku tukipoteza hili. Tuungane pamoja kutetea uhai wa CCM unapotishiwa kukatizwa na hii ndiyo mila na desturi ya CCM hii ambayo kila wakati YAJENGA NCHI.
Ndugu zangu Wana Wa CCM. Makundi na ujuaji usio na maana vitakatisha ndoto za Vizazi vyetu vijavyo kuiona Tanzania yenye maziwa na Asali. Lazima tulinde mazuri na mema waliyotuachia Wazee wetu. Tuhakikishe kuwa mapema sana Rais Wetu Mama Samia anapewa hadhi yake na heshima yake iliyotukuka ndani ya Chama chetu. Mama ndiye Mwenyekiti wetu na anastahili kupewa baraka zetu zote ili kazi iendelee.
Ndugu zangu Wana Wa CCM Rais Mama Samia atakapopewa uenyekiti wa CCM taifa siyo kwaajili yake binafsi ni kwaajili ya CHAMA CHETU. Naomba nieleweke kuwa SISI TUNA MUHITAJI RAIS KUWA MWENYEKITI WETU KULIKO YEYE PENGINE KWAKUA YEYE HAJAOMBA KWAAJILI YA MASLAHI YAKE BINAFSI BALI MILA NA DESTURI ZETU ZINAMPA KWAAJILI YA MASLAHI MAPANA YA TAIFA LETU. TUMPE TUVUKE SALAMA SALIMINI.
CCM tusiingie kwenye mtego waajabu kujifanya tunataka tuende tofauti na tulivyozoea kuwa tutakwama mapema sana. Urais tumeutafuta kwa jasho, kwa kazi na kwaimani kubwa haiwezekani kamwe tukataka utingishwe na CHAMA badala ya kulindwa na CHAMA.
Twende na Mama Rais wetu wa JMT ndiye Mwenyekiti wetu. Watanzania wanajua, Mila na Dasturi zinajua, kamwe tusijechekwa na wajinga kwakutaka kujalibu mifumo ya vyama ambavyo vilishakufa wakati siye tungali hai.
Nawatakia kheri na Fanaka katika kumsimika Mama yetu mpendwa Rais wa JMT Mh SSH kuwa Mwenyekiti Mpya wa CHAMA KIKUBWA CHAMA DUME CHAMA TAWALA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Salaam zangu kwa WANA MARUANI msidanganywe na akina KIGOGO wanalipwa pesa kwa kutunga uongo na uzandiki hata hawana uchungu na UWEPO AU KUTOKUWEPO KWA UTULIVU. Hayo Maujinga yalishapitwa na Wakati. Mihemko na Roho mbaya za korosho hazinatija. Mlizingua kwa JK tukawazingua, Mkazingua kwa JPM tukawazingua sasa mnataka kujaribu kuzingua kwa SSH hapa nasema UKIZINGUA TUNAKUZINGUA HALAFU TUNAKUSALIMU KWAJINA LA JMT.
CCM hoyeee!
Na Philipo Mwakibinga.
0758910403.
Ndugu zangu Wana wa CCM Kidumu Chama Cha Mapinduzi! Nawasalimu kwajina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naomba niendelee kusisitiza kuwa lazima tuendelee kusimama imara kama sote tunaamini Mungu na tunapokea kila atoalo Mungu na kulipa jina jema la "Baraka." Kamwe tusiwe kama Mpanda gazi hata tukasahau kama kunashuka baada ya Kupanda. Sisi ni Chama Dolla lazima tuwe makini kutokuruhusu kuvunja mila na desturi za CCM.
Ndugu zangu Wana Wa CCM , Baba wa Taifa alikuwa na Jicho kubwa la Tatu hata akaamua kulihali yeye na Wenziwe kuhakikisha RAIS ANAKUA MWENYEKITI WETU. Hii ni muhimu sana kwenye uhai wa Chama,Kwa maana ya Ulinzi na Jeuri ya kuongoza iko hapo. Tusidanganywe kamwe kutawanya kofia hizo mbili kwa vichwa viwili lasivyo tutakua tunalamba asali kwa ncha ya Kisu. Vyama vichanga vinapaswa kutuiga sisi siyo sisi kutafuta busara ya uongozi kwao wakati tunajua kuwa wao walishashindwa hata kabla ya kuanza kushindana.
Ndugu zangu Wana Wa CCM ni bahati sana sana kuwa na Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wetu kwani tunaweza kukutana naye mara mbili wakati wenzetu wanakutana naye mara moja tu. Mosi utakutana naye kama Rais pili Utakutana naye kwenye vikao vya Chama wakati wengine watakutana naye kwenye mosi tu. Yawezekana hatujui umuhimu wa hili sasa lakini tutajuta siku tukipoteza hili. Tuungane pamoja kutetea uhai wa CCM unapotishiwa kukatizwa na hii ndiyo mila na desturi ya CCM hii ambayo kila wakati YAJENGA NCHI.
Ndugu zangu Wana Wa CCM. Makundi na ujuaji usio na maana vitakatisha ndoto za Vizazi vyetu vijavyo kuiona Tanzania yenye maziwa na Asali. Lazima tulinde mazuri na mema waliyotuachia Wazee wetu. Tuhakikishe kuwa mapema sana Rais Wetu Mama Samia anapewa hadhi yake na heshima yake iliyotukuka ndani ya Chama chetu. Mama ndiye Mwenyekiti wetu na anastahili kupewa baraka zetu zote ili kazi iendelee.
Ndugu zangu Wana Wa CCM Rais Mama Samia atakapopewa uenyekiti wa CCM taifa siyo kwaajili yake binafsi ni kwaajili ya CHAMA CHETU. Naomba nieleweke kuwa SISI TUNA MUHITAJI RAIS KUWA MWENYEKITI WETU KULIKO YEYE PENGINE KWAKUA YEYE HAJAOMBA KWAAJILI YA MASLAHI YAKE BINAFSI BALI MILA NA DESTURI ZETU ZINAMPA KWAAJILI YA MASLAHI MAPANA YA TAIFA LETU. TUMPE TUVUKE SALAMA SALIMINI.
CCM tusiingie kwenye mtego waajabu kujifanya tunataka tuende tofauti na tulivyozoea kuwa tutakwama mapema sana. Urais tumeutafuta kwa jasho, kwa kazi na kwaimani kubwa haiwezekani kamwe tukataka utingishwe na CHAMA badala ya kulindwa na CHAMA.
Twende na Mama Rais wetu wa JMT ndiye Mwenyekiti wetu. Watanzania wanajua, Mila na Dasturi zinajua, kamwe tusijechekwa na wajinga kwakutaka kujalibu mifumo ya vyama ambavyo vilishakufa wakati siye tungali hai.
Nawatakia kheri na Fanaka katika kumsimika Mama yetu mpendwa Rais wa JMT Mh SSH kuwa Mwenyekiti Mpya wa CHAMA KIKUBWA CHAMA DUME CHAMA TAWALA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Salaam zangu kwa WANA MARUANI msidanganywe na akina KIGOGO wanalipwa pesa kwa kutunga uongo na uzandiki hata hawana uchungu na UWEPO AU KUTOKUWEPO KWA UTULIVU. Hayo Maujinga yalishapitwa na Wakati. Mihemko na Roho mbaya za korosho hazinatija. Mlizingua kwa JK tukawazingua, Mkazingua kwa JPM tukawazingua sasa mnataka kujaribu kuzingua kwa SSH hapa nasema UKIZINGUA TUNAKUZINGUA HALAFU TUNAKUSALIMU KWAJINA LA JMT.
CCM hoyeee!