Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika na hapo ndo watu watachoma pasi kupenda.Naked truth tujiandae ndugu zangu kubanwa kwenye kupata huduma
Ukwepaji kodi utaongezeka!Hakika na hapo ndo watu watachoma pasi kupenda.
Huwa nawaza tu mfano pale TRA ndo waseme labda hamna huduma utapata pasi kuwa na kadi ya kuonyesha umechanja unadhania ni wangapi itabidi wafanye hivyo. [emoji848]
Hakika japo kuna wengine ndo watakuwa hawana jinsi mfano madereva kwenda kurenew leseni.Ukwepaji kodi utaongezeka!
Nje ya mada: huwa na husudu sana michango yako humu.
Naweka wazi tena natamani siku itokee nikuone mama.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Weye Mjinga Sana Ukipenda usipende huyu ndie Raisi wetu Mpendwa Hizo chuki zako kitakusakama kijiba cha roho looo hasbiya llah.hakuna raisi hapo;
Inshaallah!Hakika japo kuna wengine ndo watakuwa hawana jinsi mfano madereva kwenda kurenew leseni.
Shukrani Mkuu. [emoji120][emoji120]
Tuombe uzima wani deyi yesi. [emoji3]
Cheza na mtu yyote usicheze na serikali ina mkono mkubwa ikitaka jambo lake liwe basi litakuwa kwa hiari au kwa nguvu mulikuwa hamjachanja munaweza kufanyiwa mkakati mkubwa wa kusitisha miamala yyote na kusafiri ndio kabisa usiweze kwenda ppote .Chanjo zimekuja million moja waliochanjwa Ni laki 2..foleni zimekata. Hizo mill 17walizoagiza lazima itakuwa lazima kuchanja
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu njoo Hams tower hapa opposite na geti la Mak tubadilshane mawazoNipo zangu Uganda nakula papuchi ...wa tz nawachora na mama enu