Rais Samia: Mafuru, alivyoinusuru nchi na changamoto ya uhaba wa Dola ya Marekani

Rais Samia: Mafuru, alivyoinusuru nchi na changamoto ya uhaba wa Dola ya Marekani

Kifo cha Mafuru kimeibua mambo mengi kwa kweli kwenye eneo la uchumi.

Huyu Mzee alifanya yake kwenye kipindi cha changamoto wa upatikanaji wa dola. Pumzika kwa amani

Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza namna, Lawrence Mafuru, alivyoinusuru nchi na changamoto ya uhaba wa Dola ya Marekani hatua ambayo imechochea nchi kujiimarisha.

Amesema wakati wa changamoto hiyo, Mafuru alikuwa miongoni wa wajumbe wa kamati wa kushughulikia changamoto ya Dola na aliifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.

“Tulipopata changamoto ya Dola niliunda kamati ya kushughulikia suala hilo, kamati iliongozwa na Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu akisaidiwa na wengine akiwemo Mafuru.

“Nakumbuka siku ya kutoa wasilisho lao, Mafuru aliniambia tukiufuata huo mkakati tutaondokana kabisa na hiyo changamoto ya dola na hicho ndicho kilichotokea,” amesema Rais Samia.

Soma Pia:
Kando na hilo, pia Rais Samia amegusia namna Mafuru alivyokuwa akitoa ushauri katika mambo mbalimbali ambayo yaliisaidia nchi kujikwamua.

Rais Samia amebainisha hayo leo Alhamisi Novemba 14, 2024 alipoongoza viongozi mbalimbali kuaga mwili wa Lawrence Mafuru, aliyefariki Novemba 9, 2024 nchini India, hafla iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

Udhibiti wa fedha za kigeni (juu ya viwango vya kubadilisha fedha, ujazo) ni moja ya majukumu ya msingi ya Benki Kuu.

Napata ukakasi kuelewa hiyo kamati ya Mafuru iliathiri vipi miongozo ya kisera inayotolewa na Benki Kuu...

Na je, Bi Mkubwa ana imani ya kutosha juu ya ufanisi wa Benki Kuu????..
 
Aache upumbavu na kuleta propaganda mfu huyu mama kibwetele ,hii nchi export ni kidogo ,tuna import sana ,
Kupatikana Kwa dollar na Kwa rate ndogo ni suala linalotegemea riba zinazopangwa na US federal reserve au benki kuu ya Marekani na si utashi wa mbumbumbu flani kutoka shithole country hii
Juzi hapa federal reserve ya Marekani wametoa report ya kushusha interest rate ,hivyo mabenki na taasisi za kifedha nyingine yanakuwa incentivised kusambaza mitaji interms of us dollars kwenye mzunguko wa uchumi duniani na vice versa

Hizi elimu za kata za kudumaza akili za watu ,na majitu hayafikiri ,yapo tu kupiga mapambio kwa propaganda mfu bila kutumia akili kutafakari mambo

Dollar imehadimika Kwa zaidi ya mwaka sasa ,na kuna kipindi mabenki walikuwa wanauza dollar 100 Tu Kwa mtu kwa siku ,sasa unaweza pata picha hapo , black market huko ndio ilikuwa si chini ya 2900-3000

Hivi vitu mbona ni easy sana kugrasp hata ambao tumesoma vitu tofauti na uchumi tunagrasp hizi concepts ? , sasa hawa vilaza na hizo kamati uchwara za huyo mama walikuwa wanajadili na kupiga mahesabu gani hayo ya kusababisha upatikanaji wa dollar ,wakati kila taahira mtaani anajua kuwa dollar ilikuwa kizungumkuti hata sasa hivi hali haijawa fully stable kwenye exchanges za sarafu yetu vs dollar au ndio kamati mshenzi za kutafuna pesa za umma kwa kulipana posho na mishahara minono kipuuzi tu ?
 
Effective measure ya kupambana na hili suala la instability katika exchange na kushuka sana kwa thamani ya fedha yetu + foreign reserve kama dollar kuadimika ni kudevelop industries mbalimbali ambazo zinazalisha products na huduma kwa ubora na kwa bei shindani na kuziuza kimataifa na si vinginevyo ,huu upuuzi wa kukaa na kutengeneza kamati za kipuuzi mbaya zaidi kwa watu wale wale na mawazo yale yale ni rubbish Tu
 
Ukiangalia trend kila mara federal reserve wanabadilisha hizi interest rates ,sasa hizi kamati za kukaa na kujadili upuuzi sijui huyu Maza na mabumunda wake humo kwenye cabinet watakuwa wanatengeneza hizi kamati kila federal reserve wakibadili interest rate na uhaba kuwa mkubwa na rate kupaa na kutokuwa stahimilivu ?
Hapa ndio unapata picha ya udumavu akili na kukosa common sense kwa hawa tunaowaita policy makers ,visionaries na viongozi humu nchini .

Maana hata huu mwaka hauishi ,nina hakika feds watapandishwa tena rate na tutarudi kule kule ,maana wanapambana na jini linaloitwa inflation humo kwao Marekani kwa miaka miwili sasa na trend imekuwa hii huu kutokana na stimulus packages za kipindi cha covid
 
Back
Top Bottom