Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It was not a natural death.Swali zuri sana, umeonyesha una uwezo mkubwa sana wakufikiri
Nilishaanga sana , viongozi wote wako pale lna maana Jana, ilikuwa ni siku ya kumpumzika, au Kuna kitu walikuwa wanaficha ?It was not a natural death.
Obsession ya Waziri wa Fedha itaisha lini … Ameshindwa kabisa hata KUMZIKA?? ; inajulikana wazi kuwa alikuwa anamuona tishio kwa kazi yake … hatujamuona kabisa … ka post picha moja tu kinafikiKifo cha Mafuru kimeibua mambo mengi kwa kweli kwenye eneo la uchumi.
Huyu Mzee alifanya yake kwenye kipindi cha changamoto wa upatikanaji wa dola. Pumzika kwa amani
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza namna, Lawrence Mafuru, alivyoinusuru nchi na changamoto ya uhaba wa Dola ya Marekani hatua ambayo imechochea nchi kujiimarisha.
Amesema wakati wa changamoto hiyo, Mafuru alikuwa miongoni wa wajumbe wa kamati wa kushughulikia changamoto ya Dola na aliifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.
“Tulipopata changamoto ya Dola niliunda kamati ya kushughulikia suala hilo, kamati iliongozwa na Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu akisaidiwa na wengine akiwemo Mafuru.
“Nakumbuka siku ya kutoa wasilisho lao, Mafuru aliniambia tukiufuata huo mkakati tutaondokana kabisa na hiyo changamoto ya dola na hicho ndicho kilichotokea,” amesema Rais Samia.
Soma Pia:
Kando na hilo, pia Rais Samia amegusia namna Mafuru alivyokuwa akitoa ushauri katika mambo mbalimbali ambayo yaliisaidia nchi kujikwamua.
- Rais Samia atoa pole ya kifo Lawrence Nyasebwa Mafuru
- TANZIA - Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia
Rais Samia amebainisha hayo leo Alhamisi Novemba 14, 2024 alipoongoza viongozi mbalimbali kuaga mwili wa Lawrence Mafuru, aliyefariki Novemba 9, 2024 nchini India, hafla iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Technically ilikua ni kupunguza taharuki kwa jamii! Na imefaulu kwa kiasi chake!!Mbona Kila siku walikuwa wanasema hakuna changamoto yoyote ya dollar tuna reserve ya kuhudumia east Africa kwa kipindi cha miezi sita..........!
Kwa nini unasema hivyo!!??It was not a natural death.
Huu ndio ungedere wenyewe sasa aka apedonia ,huwezi solve tatizo kwa kuchimbia kichwa kwenye mchanga ukijidanganya kwa kusema kwamba tatizo halipo wakati tatizo lipo .Technically ilikua ni kupunguza taharuki kwa jamii! Na imefaulu kwa kiasi chake!!