Rais Samia: Mafuru, alivyoinusuru nchi na changamoto ya uhaba wa Dola ya Marekani

Obsession ya Waziri wa Fedha itaisha lini … Ameshindwa kabisa hata KUMZIKA?? ; inajulikana wazi kuwa alikuwa anamuona tishio kwa kazi yake … hatujamuona kabisa … ka post picha moja tu kinafiki

TUNAJUA …
 
Mbona Kila siku walikuwa wanasema hakuna changamoto yoyote ya dollar tuna reserve ya kuhudumia east Africa kwa kipindi cha miezi sita..........!
Technically ilikua ni kupunguza taharuki kwa jamii! Na imefaulu kwa kiasi chake!!
 
Technically ilikua ni kupunguza taharuki kwa jamii! Na imefaulu kwa kiasi chake!!
Huu ndio ungedere wenyewe sasa aka apedonia ,huwezi solve tatizo kwa kuchimbia kichwa kwenye mchanga ukijidanganya kwa kusema kwamba tatizo halipo wakati tatizo lipo .
Hizi ni akili za bata .
Taaruki taaruki gani ? ,Hii nchi serikali inafanya wananchi kama misukule ,kufanya mambo kama waganga wa kienyeji .
Kila mtu kitaa anajua siku zote dollar haipatikani ni mwaka sasa na hata sasa hali bado haijawa nzuri ,sasa wanaficha nini

Rubbish
 
Hii kauli maana yake ni kuwa Waziri wa fedha hana msaada na siku zake zinahesabika 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…