J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 16, 2022 #121 JokaKuu said: ..tuanze na tume huru. ..migogoro ikitokea tuitatue, na tuiboreshe zaidi tume yetu. Click to expand... Kama hii ya Chebukati iliyopasuka katikati kama msamba?
JokaKuu said: ..tuanze na tume huru. ..migogoro ikitokea tuitatue, na tuiboreshe zaidi tume yetu. Click to expand... Kama hii ya Chebukati iliyopasuka katikati kama msamba?
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Aug 16, 2022 #122 johnthebaptist said: Kama hii ya Chebukati iliyopasuka katikati kama msamba? Click to expand... ..tuunde tume bora zaidi ya tume za Mahera na Chebukati.
johnthebaptist said: Kama hii ya Chebukati iliyopasuka katikati kama msamba? Click to expand... ..tuunde tume bora zaidi ya tume za Mahera na Chebukati.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 16, 2022 #123 JokaKuu said: ..tuunde tume bora zaidi ya tume za Mahera na Chebukati. Click to expand... Akiunda ndio itakuwa Huru?
JokaKuu said: ..tuunde tume bora zaidi ya tume za Mahera na Chebukati. Click to expand... Akiunda ndio itakuwa Huru?
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Aug 16, 2022 #124 johnthebaptist said: Akiunda ndio itakuwa Huru? Click to expand... IPO haja ya MAHELA aitishe PRESS aeleze umma kipi alichoambulia ktk Uchaguzi Ule🙃🙃🙃
johnthebaptist said: Akiunda ndio itakuwa Huru? Click to expand... IPO haja ya MAHELA aitishe PRESS aeleze umma kipi alichoambulia ktk Uchaguzi Ule🙃🙃🙃
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Aug 16, 2022 #125 johnthebaptist said: Akiunda ndio itakuwa Huru? Click to expand... ..Sema Watz tukiunda... ..Tunapaswa kushirikiana ktk kuunda tume huru ya uchaguzi. ..Tume iwe bora kuliko tume za Mahera na Chebukati.
johnthebaptist said: Akiunda ndio itakuwa Huru? Click to expand... ..Sema Watz tukiunda... ..Tunapaswa kushirikiana ktk kuunda tume huru ya uchaguzi. ..Tume iwe bora kuliko tume za Mahera na Chebukati.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 16, 2022 #126 JokaKuu said: ..Sema Watz tukiunda... ..Tunapaswa kushirikiana ktk kuunda tume huru ya uchaguzi. ..Tume iwe bora kuliko tume za Mahera na Chebukati. Click to expand... Watanzania wataiunda kupitia chombo gani? Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe? Maridhiano ya Chadema na Serikali? Au Bunge?
JokaKuu said: ..Sema Watz tukiunda... ..Tunapaswa kushirikiana ktk kuunda tume huru ya uchaguzi. ..Tume iwe bora kuliko tume za Mahera na Chebukati. Click to expand... Watanzania wataiunda kupitia chombo gani? Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe? Maridhiano ya Chadema na Serikali? Au Bunge?
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Aug 16, 2022 #127 johnthebaptist said: Watanzania wataiunda kupitia chombo gani? Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe? Maridhiano ya Chadema na Serikali? Au Bunge? Click to expand... ..kupitia michango na mawazo na ushauri wa vyombo vyote ulivyovitaja.
johnthebaptist said: Watanzania wataiunda kupitia chombo gani? Kikosi kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe? Maridhiano ya Chadema na Serikali? Au Bunge? Click to expand... ..kupitia michango na mawazo na ushauri wa vyombo vyote ulivyovitaja.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Aug 16, 2022 #128 JokaKuu said: ..kupitia michango na mawazo na ushauri wa vyombo vyote ulivyovitaja. Click to expand... Uteuzi wa mwenyekiti na makamishina utafanywa na nani?
JokaKuu said: ..kupitia michango na mawazo na ushauri wa vyombo vyote ulivyovitaja. Click to expand... Uteuzi wa mwenyekiti na makamishina utafanywa na nani?