Rais Samia: Mbaazi sasa siyo mboga ni zao la biashara

Rais Samia: Mbaazi sasa siyo mboga ni zao la biashara

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya wanaJF,

Mbaazi siyo mboga ni zao la biashara ila kuna muda Mama anajiona kila kitu kashamaliza. Anaona maskini hawezi kufanya chochote ndiyo maana kila kitu akijisikia kuongea anaongea tu.

Anyway, ni Rais wetu na sisi ni wapiga kura, ajaribu kuwa na staha hata kidogo atusitiri japo kidogo tu.

Mbaazi sisi wengine ndizo zimetukuza mpaka hapa tulipo.

Nawasilisha kwenu Jamhuri.

---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa ya Kusini kuondokana na dhana kuwa mbaazi ni mboga pekee na kuliona kwamba ni zao la biashara na kuwataka walime zao hilo kwa wingi kwakuwa soko lake ni la uhakika.

“Mbaazi sasa sio mboga ni zao la biashara kwahiyo wekeni jitihada kwenye kilimo kikubwa cha mbaazi soko lipo tumeshaweka mikataba na Nchi zinazonunua kwahiyo soko la uhakika lipo”

“Kama ilivyopanda bei mwaka huu bei zitaendelea kuwa hivyo kwahiyo kalimeni sana mbaazi, ufuta na korosho, jinsi tunavyoongeza thamani ya zao letu ndivyo bei zitakavyopanda”
Hapo alichokosea nini?
 
---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa ya Kusini kuondokana na dhana kuwa mbaazi ni mboga pekee na kuliona kwamba ni zao la biashara na kuwataka walime zao hilo kwa wingi kwakuwa soko lake ni la uhakika.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huenda taarifa yako ikawa na source ya kuendeshwa
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya wanaJF,

Mbaazi siyo mboga ni zao la biashara ila kuna muda Mama anajiona kila kitu kashamaliza. Anaona maskini hawezi kufanya chochote ndiyo maana kila kitu akijisikia kuongea anaongea tu.

Anyway, ni Rais wetu na sisi ni wapiga kura, ajaribu kuwa na staha hata kidogo atusitiri japo kidogo tu.

Mbaazi sisi wengine ndizo zimetukuza mpaka hapa tulipo.

Nawasilisha kwenu Jamhuri.

---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa ya Kusini kuondokana na dhana kuwa mbaazi ni mboga pekee na kuliona kwamba ni zao la biashara na kuwataka walime zao hilo kwa wingi kwakuwa soko lake ni la uhakika.

“Mbaazi sasa sio mboga ni zao la biashara kwahiyo wekeni jitihada kwenye kilimo kikubwa cha mbaazi soko lipo tumeshaweka mikataba na Nchi zinazonunua kwahiyo soko la uhakika lipo”

“Kama ilivyopanda bei mwaka huu bei zitaendelea kuwa hivyo kwahiyo kalimeni sana mbaazi, ufuta na korosho, jinsi tunavyoongeza thamani ya zao letu ndivyo bei zitakavyopanda”
Sasa hapo si amewashauri walime kwa wingi kwa ajili ya kuuza na hela wanayopata itawasaidia katika maendeleo mengine kama kujenga nyumba nzuri za kuishi, kusomesha watoto. Au wewe umeelewa vipi hapo?
 
Tatizo lenu mnashindwa kuelewa mambo rahisi.... Hapo anachomaanisha ni kwamba waache kulima kwa kiasi kidogo (subsistence farming) na kutumia kama mboga pekee ila wa-advance na kuanza kulima in large scale (commercial farming) ili waweze kuuza pia.
 
Bro una mtindio wa akili?.

Aliposema sio mboga pekee, hii inaashiria kuqa anatambua kuwa ni mboga ljn pia ni zao la biashara.
Nchi ya malalamiko
Si kila anayeongea kiswahili ana uwezo wa kukielewa.
 
Hapo alichokosea nini?
Mimi mwenyewe nashangaa watu wanavyolalamika juu ya kauli ya mama. Kwamba ni kosa kuwahimiza watu walime mbaazi kwa wingi? Kwamba kwa sasa mbaazi sio mboga tu kama enzi za jiwe? Kwamba kwa sasa mbaazi pia ni zao la kibiashara??? Mbona jf siku hizi ina watu wa hovyo sana?

Yaani kila kitu ni kulaumu na kulalamika tu. Kwa hali hii watu watakuwa masikini mpaka mwisho wa dunia kama mnajifanya kujua kuchambua kila kitu hata chenye heri.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya wanaJF,

Mbaazi siyo mboga ni zao la biashara ila kuna muda Mama anajiona kila kitu kashamaliza. Anaona maskini hawezi kufanya chochote ndiyo maana kila kitu akijisikia kuongea anaongea tu.

Anyway, ni Rais wetu na sisi ni wapiga kura, ajaribu kuwa na staha hata kidogo atusitiri japo kidogo tu.

Mbaazi sisi wengine ndizo zimetukuza mpaka hapa tulipo.

Nawasilisha kwenu Jamhuri.

---
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa ya Kusini kuondokana na dhana kuwa mbaazi ni mboga pekee na kuliona kwamba ni zao la biashara na kuwataka walime zao hilo kwa wingi kwakuwa soko lake ni la uhakika.

“Mbaazi sasa sio mboga ni zao la biashara kwahiyo wekeni jitihada kwenye kilimo kikubwa cha mbaazi soko lipo tumeshaweka mikataba na Nchi zinazonunua kwahiyo soko la uhakika lipo”

“Kama ilivyopanda bei mwaka huu bei zitaendelea kuwa hivyo kwahiyo kalimeni sana mbaazi, ufuta na korosho, jinsi tunavyoongeza thamani ya zao letu ndivyo bei zitakavyopanda”
Kwani kosa lake liko wapi?
 
Back
Top Bottom