Rais Samia, Mbunge wetu Freddy Mwakibete kakosa nini?

Rais Samia, Mbunge wetu Freddy Mwakibete kakosa nini?

Wanyakyusa sisi siyo wajinga hivi
Ni kwa sababu ya ujinga wenu, barabara muhimu hazijafuatiliwa kwa zaidi ya miaka 40.
Kila rais tokea Mwinyi, ameahidi ujenzi wa barabara kwa mfano Busokelo-Katumba, lakini hadi leo ni patupu.
Wananchi wa Mwakaleli hawana barabara ya lami tokea enzi za ukoloni.
Nikiona mchango kama huu wa msanii ndo naoa tulivyo wajinga wakati wenzetu hata wakichagua pumba kama vibajaji, wanamuunga mbunge wao ili ujumbe ufike haraka na kirahisi zaidi kule kulik kusudiwa.
 
Ni kwa sababu ya ujinga wenu, barabara muhimu hazijafuatiliwa kwa zaidi ya miaka 40.
Kila rais tokea Mwinyi, ameahidi ujenzi wa barabara kwa mfano Busokelo-Katumba, lakini hadi leo ni patupu.
Wananchi wa Mwakaleli hawana barabara ya lami tokea enzi za ukoloni.
Nikiona mchango kama huu wa msanii ndo naoa tulivyo wajinga wakati wenzetu hata wakichagua pumba kama vibajaji, wanamuunga mbunge wao ili ujumbe ufike haraka na kirahisi zaidi kule kulik kusudiwa.
Mumchague SENGA wa mpombo awe mbunge wenu
 
Huu ugonjwa wa kupigiana debe na kuombeana vyeo kwenye jamii forum haufai,mtu hujiuza mwenyewe kwa maadili na utendaji kazi wake, watu wa usalama upande wa vetting ndiyo kazi yao kufanya scouting na kupata watu wazuri. Tuzungumze sera kwenye jukwaa hili,wenye kushughulika na vyeo wapo serikalini.
 
Mwakibete ni asshole tu ffs. Hakuna cha maana amefanya hapa Busokelo. Mtu kama Mwabukusi anaachwa anapewa ubunge mtu ambaye hata kuongea bungeni anaogopa
 
Huu ugonjwa wa kupigiana debe na kuombeana vyeo kwenye jamii forum haufai,mtu hujiuza mwenyewe kwa maadili na utendaji kazi wake, watu wa usalama upande wa vetting ndiyo kazi yao kufanya scouting na kupata watu wazuri. Tuzungumze sera kwenye jukwaa hili,wenye kushughulika na vyeo wapo serikalini.
Kuna ugonjwa mbaya zaidi wa kumpigia debe Mbowe na Lissu humu mtandaoni kwa ajili ya urais.
Sembuse mbunge wetu?
 
Hizi I'd fake hovyo kabisa, wewe siyo wa kwanza kutemwa uwaziri, komaa na ubunge maana ndo uliogombea na ukatoa ahadi ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Bila lile LC 200 vx v8 la uwaziri ataendaje kuwaona wananchi wake?... Maana kile ki-Passo chake kinachagua barabara za kupita.
Tumuombe mama ampe hata uwenyekiti wa bodi ya DPWorld Tanzania
 
Ni kwa sababu ya ujinga wenu, barabara muhimu hazijafuatiliwa kwa zaidi ya miaka 40.
Kila rais tokea Mwinyi, ameahidi ujenzi wa barabara kwa mfano Busokelo-Katumba, lakini hadi leo ni patupu.
Wananchi wa Mwakaleli hawana barabara ya lami tokea enzi za ukoloni.
Nikiona mchango kama huu wa msanii ndo naoa tulivyo wajinga wakati wenzetu hata wakichagua pumba kama vibajaji, wanamuunga mbunge wao ili ujumbe ufike haraka na kirahisi zaidi kule kulik kusudiwa.
Kwa hiyo mbunhe akipewa uwaziri ndo inakuwa suluhisho la hizo kero?


Mbunge asiyejitambua ndiye anayesubiria kupata uwaziri ili alete maendeleo kwao. Bajeti inapopotishwa kwa kuunga mkono asilimia 100% bila kuwemo na vipaumbele vya majimbo wanayotoka ndo upumbavu wenyewe.

Akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi alishindwa nini kuingiza mahitaji ya jimbo na wilaya ktk mfuko wa bajeti?

WAnahitajika vijana wanaoishi na waliokulia Busokelo waliwakilishe jimbo lao Bungeni maana hao ndo wanajua uhalisia wa kimbembe wanachopitia. Hawa wasomi wameshindwa kabisa, wabakie kwenye utumishi wa umma upande wa ajira.

Kuhusu Busokelo, hilo ni kosa la wananchi kuendelea kuamini CCM italeta maendeleo eneo hilo. Tupate Mbunge kutoka chama mbadala atuwakilishe Bungeni mtaona maendeleo yatakavyokuja kwa kasi.

CC
Gwappo Mwakatobe
 
Watatokea wa kusema wewe ndiye Mwakibete mwenyewe. Unalia lia kutia huruma.

Turudi kwenye uzi;
Uongozi ni sawa vijiti vya kupokezana. Mwakibete alipopata, kuna aliyeachishwa. Na alipopotez yeye, kuna aliyepata.

Atulie, kuna wenzake wengi tu waliwekwa kando baadae wakarudi kwa kishindo.

Kuhusu miradi, serikali inapaswa kutekeleza si kwa sababu fulani ni Waziri. Bali kwa sababu kuna ulazima wa kufanya hivyo.
Mkuu mambo siyo bure.
Nenda Kisarawe leo, mji mzima lami tupu. Sehemu nyingine za mitaa kuna yumba za udongo.
Ukiwa karibu na jungu kubwa hukosi ukoko.
 
U
Kwa hiyo mbunhe akipewa uwaziri ndo inakuwa suluhisho la hizo kero?


Mbunge asiyejitambua ndiye anayesubiria kupata uwaziri ili alete maendeleo kwao. Bajeti inapopotishwa kwa kuunga mkono asilimia 100% bila kuwemo na vipaumbele vya majimbo wanayotoka ndo upumbavu wenyewe.

Akiwa Naibu Waziri wa Ujenzi alishindwa nini kuingiza mahitaji ya jimbo na wilaya ktk mfuko wa bajeti?

WAnahitajika vijana wanaoishi na waliokulia Busokelo waliwakilishe jimbo lao Bungeni maana hao ndo wanajua uhalisia wa kimbembe wanachopitia. Hawa wasomi wameshindwa kabisa, wabakie kwenye utumishi wa umma upande wa ajira.

Kuhusu Busokelo, hilo ni kosa la wananchi kuendelea kuamini CCM italeta maendeleo eneo hilo. Tupate Mbunge kutoka chama mbadala atuwakilishe Bungeni mtaona maendeleo yatakavyokuja kwa kasi.

CC
Gwappo Mwakatobe
Unaongea nadharia za chama chako zisizo na mashiko.
Toka nyuma ya keyboard, kwa mfano nenda Kisarawe, ukifika utafunguka macho na kuelewa ninachoongelea.
 
Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!

Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.

Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.

Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.

Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.

Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
kijana mdogo ana wake wawili, kisa ubunge, maccm mna laana kubwa sana.
 
Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!

Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.

Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.

Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.

Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.

Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
Kwanza hajui kuongea Wala haeleweki Huwa anafanya nini.

Ukimsikiliza Bungeni unashindwa kuelewa mlimchaguaje mtu ambae hawezi kujieleza.

Kwa.wabunge wote wa Mbeya huyo ndio naona hamnazo,Bora Rais kamtoa.
 
Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!

Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.

Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.

Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.

Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.

Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
Hii mada iko chini ya kiwango kabisa, sijui uwezo wa kufikiri wa mroa hoja. Kwenye Katiba pendekezwa wananchi wanataka wabunge wasiwe mawaziri ili waajibike kwa wapiga kura wao.

Wewe unagombea mbunge wako aendelee kuwa naibu waziri. Aliki yako imejaa ugali tu
 
Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!

Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.

Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.

Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.

Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.

Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
1. Kwani yeye aligombea ubunge au unaibu waziri?

2. Ana hati miliki ya unaibu waziri?

3. Na wengine walioachwa makosa yao unayajua isipokuwa Mwakibete?

NB:- Mbeya kazi IPO!
 
Back
Top Bottom