masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #61
Huna haja ya kujionyesha kwa yeyote, tembea uone nchi ili uweze kujipima na wngine jinsi ulivyo nyuma kimaendeleona wakati wenzio wanatumia kodi zako kwa maendeleo yao.Nitoke nyuma ya keyboard ili risasi zenu zipate wa kumdhuru? Mbona wewe haujajionesha wazi....
Unapambana na matokeo ya tatizo badala ya kudeal na chanzo
Ndo maana umetumbuliwaNyie mlio katika sinking boat, hamna choice, hutaki maendeleo na Tulia, kunywa maji ya betri.
Kwa hiyo wapumbavu walimchagua mpumbavu mmoja wao!Mwakaleli hatutaki wapumbavu, Samia tunakushukuru sana
Hawezi kufanya bila cheo cha uwaziri? Kama jibu ni ndiyop basi tatizo siyo rais bali ni katiba.Nimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!
Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.
Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.
Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.
Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.
Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
Ni uwakilishi mkuu katika cabinet na ngazi za juu.Hawezi kufanya bila cheo cha uwaziri? Kama jibu ni ndiyop basi tatizo siyo rais bali ni katiba.
Mimi siamini kama aliyempokonya kura mwabukusi ni mwakibete,Bali ni yule marehemu kupitia Ngilangwa ,huyu ndio aliharibu nchi nzima kwenye uchaguziMwakibete ni asshole tu ffs. Hakuna cha maana amefanya hapa Busokelo. Mtu kama Mwabukusi anaachwa anapewa ubunge mtu ambaye hata kuongea bungeni anaogopa
Ni kweli mkuu 😂.. jamaa hastahili kabisa kuwa mbungeMimi siamini kama aliyempokonya kura mwabukusi ni mwakibete,Bali ni yule marehemu kupitia Ngilangwa ,huyu ndio aliharibu nchi nzima kwenye uchaguzi
Lakini msimamo wangu ni huu tungeweka parachichi na mwakibete,ningechagua parachichi, parachichi ni muhimu sana Kwa afya
Kwann vijana mnapenda sana kujitoa ufahamu? Huyo Freddy mlimchagua kuwa mbuge wenu siyo waziri. Hayo maendeleo aliyaleta kwenu kama mbuge. Waziri anapaswa kupeleka maendeleo nchi nzima, na si kwenye Jimbo lake pekee. Sasa huoni kama amepunguziwa mzigo, ili ajikite kuwatumikia nyinyi peke yenu? Kwa bandiko lako inaonyesha ubinafsi alionao huyu mbuge wenu, kwamba alitumia nafasi ya uwaziri kunufaisha Jimbo lake. UnamuaribiNimekatishwa tamaa, nimefadhaishwa!
Mbunge wetu kijana, Freddy Mwakibete, mbunge wa Busokelo, Rungwe ameachwa kwenye mabadiliko ya mawaziri ya juzi.
Sisi wakazi wa Rungwe tumesononeshwa, maana huyu kijana alikuwa kiungo muhimu cha matatizo ya wana Rungwe.
Tulianza kuona mwanga kuwa miradi muhimu ya miundombinu iliyoahidiwa toka Awamu ya Pili, kuwa sasa itakamilika.
Hii barabara ya Busokelo hadi Katumba inatutesa toka enzi ya ukoloni.
Rais Samia hebu tuonee huruma huyu kijana alikuwa muwakilishi na mtetezi wetu mzuri.
Wewe kwenu ukipiga kura lazima itaharibika tu!Kwann vijana mnapenda sana kujitoa ufahamu? Huyo Freddy mlimchagua kuwa mbuge wenu siyo waziri. Hayo maendeleo aliyaleta kwenu kama mbuge. Waziri anapaswa kupeleka maendeleo nchi nzima, na si kwenye Jimbo lake pekee. Sasa huoni kama amepunguziwa mzigo, ili ajikite kuwatumikia nyinyi peke yenu? Kwa bandiko lako inaonyesha ubinafsi alionao huyu mbuge wenu, kwamba alitumia nafasi ya uwaziri kunufaisha Jimbo lake. Unamuaribi