Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we jamaa muhuni sana, nimecheka comment zako zoote!😀Kwa hiyo na nyie manjeree mnataka tuwaconserve Kama mifugo sio? Mnakuwa mmejikuta pundamilia au nguruwe pofu sio? Basi haina noma
Kusisitiza jina Mmasai ni kurudisha Ukabila Tanzania.Kwa heshima na taadhima, Mhe Rais kuna kila dalili za upigaji katika Mamlaka hii. Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa NCAA imewalipa waandishi wa habari pesa nyingi wakiongozwa na Maulid Kitenge chini ya Uratibu wa mmiliki wa gazeti la Jambo la habari ndugu Mchange. Nguvu wanayotumia ni kubwa sana waandishi hawa ili kuhalalisha maamuzi ya watu wachache kutaka kuihamisha Jamii ya Wamasai ndani ya hifadhi hiyo.
Hili suala Waziri analijua fika yupo kimya na pia kuna tetesi kuwa ametoa baraka zote kwa shughuli hii kufanyika. Kiukweli kabisa inaonekana wamelipwa pesa nyingi kwa kazi hii, kama hivyo hii bajeti imetoka wapi na kwa ridhaa ya nani? Mhe Rais mchunguze Waziri huyu na watendaji wote wa juu Wizara akiwemo Karibu mkuu na watendaji wa Mamlaka.
Haiwezekani na haitowezekana kumuondoa Mmasai kwenye eneo lake la asili, zaidi kinachotafutwa ni ugomvi na migogoro isiyoisha baina ya serikali na jamii ya Wamasai Waziri na watendaji wake wanataka kuamsha migogoro hii hatutofika. Maana ya hifadhi ya Ngorongoro ni pamoja na uwepo wa jamii ya Wamasai na mifugo yao na siyo wanyama pori tu.
Wizara hii ina tatizo Mama imulike kwa jicho kali, kuna uwezekano mkubwa wa pesa za umma kuliwa hapa.
Umesahau kwamba tunakula kwa urefu wa kamba zetuKwa heshima na taadhima, Mhe Rais kuna kila dalili za upigaji katika Mamlaka hii. Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa NCAA imewalipa waandishi wa habari pesa nyingi wakiongozwa na Maulid Kitenge chini ya Uratibu wa mmiliki wa gazeti la Jambo la habari ndugu Mchange. Nguvu wanayotumia ni kubwa sana waandishi hawa ili kuhalalisha maamuzi ya watu wachache kutaka kuihamisha Jamii ya Wamasai ndani ya hifadhi hiyo.
Hili suala Waziri analijua fika yupo kimya na pia kuna tetesi kuwa ametoa baraka zote kwa shughuli hii kufanyika. Kiukweli kabisa inaonekana wamelipwa pesa nyingi kwa kazi hii, kama hivyo hii bajeti imetoka wapi na kwa ridhaa ya nani? Mhe Rais mchunguze Waziri huyu na watendaji wote wa juu Wizara akiwemo Karibu mkuu na watendaji wa Mamlaka.
Haiwezekani na haitowezekana kumuondoa Mmasai kwenye eneo lake la asili, zaidi kinachotafutwa ni ugomvi na migogoro isiyoisha baina ya serikali na jamii ya Wamasai Waziri na watendaji wake wanataka kuamsha migogoro hii hatutofika. Maana ya hifadhi ya Ngorongoro ni pamoja na uwepo wa jamii ya Wamasai na mifugo yao na siyo wanyama pori tu.
Wizara hii ina tatizo Mama imulike kwa jicho kali, kuna uwezekano mkubwa wa pesa za umma kuliwa hapa.
Unaacha wizara ya nishati umesharukia maliasili. Bas wizara zote zipigwe tochiKwa heshima na taadhima, Mhe Rais kuna kila dalili za upigaji katika Mamlaka hii. Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa NCAA imewalipa waandishi wa habari pesa nyingi wakiongozwa na Maulid Kitenge chini ya Uratibu wa mmiliki wa gazeti la Jambo la habari ndugu Mchange. Nguvu wanayotumia ni kubwa sana waandishi hawa ili kuhalalisha maamuzi ya watu wachache kutaka kuihamisha Jamii ya Wamasai ndani ya hifadhi hiyo.
Hili suala Waziri analijua fika yupo kimya na pia kuna tetesi kuwa ametoa baraka zote kwa shughuli hii kufanyika. Kiukweli kabisa inaonekana wamelipwa pesa nyingi kwa kazi hii, kama hivyo hii bajeti imetoka wapi na kwa ridhaa ya nani? Mhe Rais mchunguze Waziri huyu na watendaji wote wa juu Wizara akiwemo Karibu mkuu na watendaji wa Mamlaka.
Haiwezekani na haitowezekana kumuondoa Mmasai kwenye eneo lake la asili, zaidi kinachotafutwa ni ugomvi na migogoro isiyoisha baina ya serikali na jamii ya Wamasai Waziri na watendaji wake wanataka kuamsha migogoro hii hatutofika. Maana ya hifadhi ya Ngorongoro ni pamoja na uwepo wa jamii ya Wamasai na mifugo yao na siyo wanyama pori tu.
Wizara hii ina tatizo Mama imulike kwa jicho kali, kuna uwezekano mkubwa wa pesa za umma kuliwa hapa.
Kwa heshima na taadhima, Mhe Rais kuna kila dalili za upigaji katika Mamlaka hii. Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa NCAA imewalipa waandishi wa habari pesa nyingi wakiongozwa na Maulid Kitenge chini ya Uratibu wa mmiliki wa gazeti la Jambo la habari ndugu Mchange. Nguvu wanayotumia ni kubwa sana waandishi hawa ili kuhalalisha maamuzi ya watu wachache kutaka kuihamisha Jamii ya Wamasai ndani ya hifadhi hiyo.
Hili suala Waziri analijua fika yupo kimya na pia kuna tetesi kuwa ametoa baraka zote kwa shughuli hii kufanyika. Kiukweli kabisa inaonekana wamelipwa pesa nyingi kwa kazi hii, kama hivyo hii bajeti imetoka wapi na kwa ridhaa ya nani? Mhe Rais mchunguze Waziri huyu na watendaji wote wa juu Wizara akiwemo Karibu mkuu na watendaji wa Mamlaka.
Haiwezekani na haitowezekana kumuondoa Mmasai kwenye eneo lake la asili, zaidi kinachotafutwa ni ugomvi na migogoro isiyoisha baina ya serikali na jamii ya Wamasai Waziri na watendaji wake wanataka kuamsha migogoro hii hatutofika. Maana ya hifadhi ya Ngorongoro ni pamoja na uwepo wa jamii ya Wamasai na mifugo yao na siyo wanyama pori tu.
Wizara hii ina tatizo Mama imulike kwa jicho kali, kuna uwezekano mkubwa wa pesa za umma kuliwa hapa.
Anafungua nchiHistoria itamtambua Samia kama Rais aliyeruhusu Wamasai waondolewe Ngorongoro.