Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
Wewe ndio huelewi kitu kwenye mambo ya uwindani, watu wanamiliki vitalu tena kwa kulipia pesa nyingi sana, ili kuwinda wanyama kulingana na kibali chake alichopewa, na kibali kinakuwa na masharti labda kutokuua baadhi ya wanyama fulani, sasa kama mamba hazuiliwi kuuawa kosa lake liko wapi? Wanyimeni vibali sasa.
 
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Acha kukurupuka wewe. Kwenye mapori tengefu uwindaji unaruhusiwa kwa vibali maalumu. Hata ukitaka kuanzisha bustani ya wanyamapori ruksa ipo na wanyama utapewa vigezo na masharti kuzingatiwa. Ukitaka pia kuanzisha biashara ya nyamapori ruksa ipo wewe fungua butcher lako tu.
 
1703690953104.png

Wawindaji Maarufu Duniani waitwai Trophy Hunters ambao wamewahi pia kushitakiwa Kwa uwindaji Haramu wameripotiwa kuua mamba mkubwa zaidi Duniani ambae alikuwa Anapatikana Tanzania pekee.

Video iliyokwenda viral ikionesha Jamaa hao Mke na Mume wakijisifia na kujigamba kumuua mamba huyo imezuia sintofahamu Kwa jamii.

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori imedai itatoa taarifa rasmi kuhusiana na jambo Hilo.

View: https://www.instagram.com/p/C1W5hB8okw_/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

Swali.
Je uwindaji wa kiholela unaruhusiwa hata Kwa nyara ambazo Zina umuhimu wa kipekee? Mamlaka mnatupiana mpira kwamba mnawaogopa hao Wazungu au mumevuta mlungula?
-836255135.jpg
1700488189.jpg
 
Wawindaji Maarufu Duniani waitwai Trophy Hunters ambao wamewahi pia kushitakiwa Kwa uwindaji Haramu wameripotiwa kuua mamba mkubwa zaidi Duniani ambae alikuwa Anapatikana Tanzania pekee.

Video iliyokwenda viral ikionesha Jamaa hao Mke na Mume wakijisifia na kujigamba kumuua mamba huyo imezuia sintofahamu Kwa jamii.

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori imedai itatoa taarifa rasmi kuhusiana na jambo Hilo.

View: https://www.instagram.com/p/C1W5hB8okw_/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

Swali.
Je uwindaji wa kiholela unaruhusiwa hata Kwa nyara ambazo Zina umuhimu wa kipekee? Mamlaka mnatupiana mpira kwamba mnawaogopa hao Wazungu au mumevuta mlungula?

Yamkini hawa watu wamepewa kibali cha kuwinda na wametekeleza jambo lao sasa sijui tunachoshangaa nini ,maana tuliambiwa mamba wamezidi
 
Wawindaji Maarufu Duniani waitwai Trophy Hunters ambao wamewahi pia kushitakiwa Kwa uwindaji Haramu wameripotiwa kuua mamba mkubwa zaidi Duniani ambae alikuwa Anapatikana Tanzania pekee.

Video iliyokwenda viral ikionesha Jamaa hao Mke na Mume wakijisifia na kujigamba kumuua mamba huyo imezuia sintofahamu Kwa jamii.

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori imedai itatoa taarifa rasmi kuhusiana na jambo Hilo.

Swali.
Je uwindaji wa kiholela unaruhusiwa hata Kwa nyara ambazo Zina umuhimu wa kipekee? Mamlaka mnatupiana mpira kwamba mnawaogopa hao Wazungu au mumevuta mlungula?

=====

American couple Josh and Sarah Bowmar, notorious for their controversial trophy hunting exploits, have ignited fresh outrage after claiming to have killed the world's biggest crocodile in Tanzania.

When The Citizen reached out to the Tanzania National Parks Authority, we were directed to the Tanzania Wildlife Management Authority (Tawa). Tawa said that they had seen the videos and photos and would soon issue a statement.

It should be noted that the trophy hunters from the US who have shared the videos bragging about the killing were once convicted of illegal poaching in America. However, crocodile trophy hunting is legal in Tanzania.

In a series of videos posted on Josh's Instagram account, the couple posed with the massive crocodile hanging from a tree, boasting it as a potential world record.

Concerns have been raised regarding the sustainability of hunting practices and their potential impact on Tanzania's delicate ecosystem.

While the validity of the Bowmars' claims regarding the crocodile's size remains unverified, the crocodile is said to be the biggest in the world and approximately 100 years old.

Some worry that the incident casts a shadow on Tanzania's wildlife tourism sector, stating that it underscores the need for robust oversight and ethical wildlife management practices.

Citizen
Habari umeleta mwenyewe na hapo juu imeandikwa na the citezetz kuwa (crocodile trophy hunting is legal in Tanzania)

Sasa unauliza tena?
 
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Tuache ujuaji wa ajabu vibali vya kuwinda mamba havikatazi kuwinda mamba wakubwa ,kama ana kibali hakuna jambo la ajabu .
 
Kwa mamba, ndiyo mafanikio ya Royal tour Tanzania maana mamba wamezidi kuwa wengi, ila kuwepo idadi ya mamba wanaoruhusiwa kuvunwa kupitia utalii wa kuwinda ili kuhakikisha kizazi endelevu cha mamba na pia wananchi wawe salama mamba wasizidi sana idadi.

Hivyo gazeti la citizen na editor mhariri li-balance story isiwe linatangaza na kuandika kinachofurahisha mabeberu au washindani wetu kiutalii wa nchi za ukanda huu na kusini mwa Afrika.

We offer Big 5 Hunting in the wildest parts of Africa, where the hunter has unlimited access to game-rich areas that produce quality big game trophies.​







Explore Our Hunting Regions


BOTSWANA
MOZAMBIQUE
NAMIBIA
SOUTH AFRICA
UGANDA
ZIMBABWE

Africa is home to all the dangerous and big game species​

1703688219932.png

 
Back
Top Bottom