Rais Samia: Mganga Mkuu kasimamie mambo ya milipuko, Nchi iwe salama

Rais Samia: Mganga Mkuu kasimamie mambo ya milipuko, Nchi iwe salama

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino Dodoma, leo tarehe 22 Januari, 2025.

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma, tarehe 22 Januari, 2025. Majaji walio apa ni :
▪Mhe. Jaji George Mcheche Masaju.
▪Mhe. Jaji Dkt. Ubena John Agatho.
▪Mhe. Jaji Dkt. Deo John Nangela.
▪Mhe. Jaji Latifa Alhinai Mansoor.


Rais Samia Suluhu Hassan amempa maelekezo Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Elias Magembe aliyechukua nafasi ya Prof. Tumaini Joseph Nagu ambaye alitenguliwa, kusimamia masuala ya mlipuko wa magonjwa ili Nchi iwe salama.

Amesema hayo wakati akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino, leo Januari 22, 2025.

Ikumbukwe, Januari 20, 2025, Rais Samia alitangaza uwepo wa maambukizi ya Virusi vya Marburg kuwa mtu mmoja amekutwa na maambukizi hayo Wilayani Biharamulo, Kagera.

WhatsApp Image 2025-01-22 at 12.47.04_a2dfa9b4.jpg

WhatsApp Image 2025-01-22 at 12.47.51_c7ca24b0.jpg

WhatsApp Image 2025-01-22 at 12.48.57_9553e24c.jpg

WhatsApp Image 2025-01-22 at 12.49.45_e8f430cc.jpg

WhatsApp Image 2025-01-22 at 12.53.39_71f53343.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kuwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 22 Januari, 2025.​
 
Prof Nagu alifeli wapi kusimamia miripuko ya magonjwa??
 
Kipindupindu kinatembea kimyakimya alafu kama vile wameziba masikio pamba
 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino Dodoma, leo tarehe 22 Januari, 2025.


Rais Samia Suluhu Hassan amempa maelekezo Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Elias Magembe aliyechukua nafasi ya Prof. Tumaini Joseph Nagu ambaye alitenguliwa, kusimamia masuala ya mlipuko wa magonjwa ili Nchi iwe salama.

Amesema hayo wakati akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino, leo Januari 22, 2025.

Ikumbukwe, Januari 20, 2025, Rais Samia alitangaza uwepo wa maambukizi ya Virusi vya Marburg kuwa mtu mmoja amekutwa na maambukizi hayo Wilayani Biharamulo, Kagera.

nchi ya maigizo sasa huyo mganga mkuu waliyemtoa si wewe huyohuyo kesho yake umetangaza kuwepo kwa Malburg sasa which is which , tatizo la Tanzania mna politicize kila kitu nakumbuka yule mkurugenzi mkuu wa maabara kuu ya taifa kipindi cha jiwe alitumbuliwa kwa kusema ukweli, sasa wee mama umetoa profesa kisa ugonjwa ambao WHO waliripoti baada ya siku chache wewe mwenyewe unauambia umma kuwa ni kweli ugonjwa upo , yaani unajitekenya then unajicheka mwenyewe.
 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino Dodoma, leo tarehe 22 Januari, 2025.


Rais Samia Suluhu Hassan amempa maelekezo Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Elias Magembe aliyechukua nafasi ya Prof. Tumaini Joseph Nagu ambaye alitenguliwa, kusimamia masuala ya mlipuko wa magonjwa ili Nchi iwe salama.

Amesema hayo wakati akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino, leo Januari 22, 2025.

Ikumbukwe, Januari 20, 2025, Rais Samia alitangaza uwepo wa maambukizi ya Virusi vya Marburg kuwa mtu mmoja amekutwa na maambukizi hayo Wilayani Biharamulo, Kagera.

Kumbe kuna Mganga Mkuu alifukuzwa lakini nchi haijui?
 
Back
Top Bottom