uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Alichokisema hapo hakihusiana na kifo cha mtu.
Jesus is Savior.
Akili yako inaitaji kupigwa msasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichokisema hapo hakihusiana na kifo cha mtu.
Jesus is Savior.
Kwa hiyo ziwa victoria nalo limekauka sababu ya ukame? Au unafikiri wote wanategemea maji ya kutoka kwenye mito?Janga gani na wewe? Yaani huoni haya mabadiliko ya tabia ya nchi? Joto kali sana na maeneo mengine kama Morogoro mvua haijanyesha kabisa, na hii ni November inaenda mwishoni. Yeye afanyeje kama maji yamepungua kutokana na sababu hizo? Kazi tu kukariri corus bila ya kufanya tafakari.
Sababu za uongo hizo, hata maji ya mradi wa ziwa Victoria nayo hayatoki. Sijui ziwa nalo limekaukakwahiyo mifugo isipokunywa maji mtoni waje kunywa maji hapo Lumumba?
Ndiyo, ng'ombe anakunywa hizo litaNg'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku 🤣🤣 ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Na Kuna mradi wa maji ziwa Victoria. Sijui nalo limekaukaAnaeleza habari ya Dar kukosa maji, mbona haelezi Mwanza kukosa maji na ziwa lipo hapo jirani?
Mbona haongelei ziwa victoria lenye maji ya kutosha lkn Mwanza hakuna maji?Ungemsikiliza alichosema wala usingevurumisha lawama......[emoji1787]
Amesema Dar ni mfano wa sehemu nyinginezo......
Ni nyingi au kidogo?Ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku [emoji1787][emoji1787] ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Kwa namna ambavyo wanadamu tunaendesha maisha yetu hivi sasa mabadiliko ya tabia ya nchi hayaepukiki, lakini kwa kutumia akili tulizojaliwa na Mwenyezi Mungu tunaweza kupunguza athari zake!Dar es salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.
Wakanywe Ufipa!kwahiyo mifugo isipokunywa maji mtoni waje kunywa maji hapo Lumumba?
Yaani Ng'ombe mmoja anakunywa mdoo 2 za maji Kwa siku? Kumbe Ng'ombe wetu alikuwa na Tabia mbaya.Ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku [emoji1787][emoji1787] ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Tulia wewe!Yaani yeye anajua Dar tu ndiyo kuna mgao wa maji???
Kama taifa tumepigwa.
Msikitini huonekani mvua zinaanzia wapi?Dar es salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji
Katiba imetupigaAnaeleza habari ya Dar kukosa maji, mbona haelezi Mwanza kukosa maji na ziwa lipo hapo jirani?
Ngombe anakunywa lita 4 kwa kila kilo 45, inategemea na ukubwa sasa, ngombe anayefika kilo 500 anamaliza lita 40.Ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku 🤣🤣 ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Aisee wewe jamaa wa ajabu sana. Kwa hiyo ulitegemea Mama Samia awe amefikisha maji ya ziwa victoria Dar na maeneo mengine ndani ya kipindi kifupi alichoshika madaraka? Mbona walaumu bila kuwa na sababu za msingi?Kwa hiyo ziwa victoria nalo limekauka sababu ya ukame? Au unafikiri wote wanategemea maji ya kutoka kwenye mito?
Maji ya mradi wa ziwa Victoria nayo hayatoki Sasa hivi, hebu tupe sababu
Jaribuni kuepuka uongo majukwaani.Ndiyo,ng'ombe anakunywa hizo lita
Trilioni 1.5 za kununua ndege zingemaliza tatizo la maji nchi nzimaHii nchi tuna hali mbaya sana kama kiongozi tulie naye ndio huyu basi kama taifa tuna janga kubwa sana