greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Hao ng'ombe wamezaliwa kipindi magufuli kafa?Nenda Morogoro ukaone mifugo inavyokausha mito!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ng'ombe wamezaliwa kipindi magufuli kafa?Nenda Morogoro ukaone mifugo inavyokausha mito!
😍Janga gani na wewe? Yaani huoni haya mabadiliko ya tabia ya nchi? Joto kali sana na maeneo mengine kama Morogoro mvua haijanyesha kabisa, na hii ni November inaenda mwishoni. Yeye afanyeje kama maji yamepungua kutokana na sababu hizo? Kazi tu kukariri corus bila ya kufanya tafakari.
CCM inaenda na mama hadi 2030Mimi ni ccm ila kwa huyu mama nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha 2025 hatoboi.
Sasa wewe unapendekeza mifugo ndo ikauke?Nenda Morogoro ukaone mifugo inavyokausha mito!
Kwenye kipindi cha kiangazi ng'ombe anaweza kunywa mpaka lita 80 kwa siku...Ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku [emoji1787][emoji1787] ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Jamani watu ni hatari, kwa maana kwa kipindi cha miezi nane ni kama walishauriana kumuangusha Mama na kuvamia mitoni na kupunguza maji. Si hao pia wavugaji sijui waliwahamisha ngombe toka Mwanza na Shinyanga ili kuvamia maji kwa kipindi hiki cha miezi 8.Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku..
Utekelezaji wa maagizo ndicho kinacho takiwa kuzingatiwa .Naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu……… waagize wakasimamie upandaji wa miti kwenye vyanzo vya maji badala ya kwenda kulinda mito tu.
Mama tumewahi kuwa na.ukame na.mifugo ilikuwepo, Hakuna hata wakati mmoja wanyama walimaliza maji. Mifugo inategemea mipango ya wanadamu kuhusu uwepo wao,sasa tumefikia hatua ya kuilaumu mifugo? Basi tumekwama kama Taifa. Ni wapi mliutengea maji yao na sasa wanayaacha na kuja kunywa ya wanadamu?Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku...
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.
Tatu ni ukataji miti hovyo hali inayoharibu ikolojia ya nchi.
Nne ni tatizo la tabia nchi.
Hivyo mgao wa maji hauepukiki
Na kwahiyo naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu.
========
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea mgao wa maji na upungufu wa umeme
Amesema hiyo imetokana na mambo mawili makubwa ambayo ni Ubishi na ukaidi wa wanadamu na Kudra za Mungu
Amefafanua, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"
"Nimefatana na viongozi wote hawa wa dini kwanza, kufuatana na viongozi wa dini wote hawa ni baraka kama kuna mapepo huko njiani yanapeperuka, pili nimeipa heshima Mwanza, tutaanza hapa dua za kuomba mvua zenye neema kwa Taifa letu"-Rais Samia.
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.
Tatu ni ukataji miti hovyo hali inayoharibu ikolojia ya nchi.
Nne ni tatizo la tabia nchi.
Hivyo mgao wa maji hauepukiki
Na kwahiyo naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu.
========
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea mgao wa maji na upungufu wa umeme
Amesema hiyo imetokana na mambo mawili makubwa ambayo ni Ubishi na ukaidi wa wanadamu na Kudra za Mungu
Amefafanua, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"
"Nimefatana na viongozi wote hawa wa dini kwanza, kufuatana na viongozi wa dini wote hawa ni baraka kama kuna mapepo huko njiani yanapeperuka, pili nimeipa heshima Mwanza, tutaanza hapa dua za kuomba mvua zenye neema kwa Taifa letu"-Rais Samia.
Hayo maombi mbona aliyakataa kwenye corona? Akataka sayansiHii ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kuwa mstari wa mbele kuliombea taifa. Ni vyema kuwa na maombi ya kitaifa ya kufunga na kuomba ili kuomba Rehema za Mungu dhidi la hili janga la ukosefu wa mvua na majanga mengine yanayotukabili kama taifa.
Mungu Ibariki Tanzania.
Amen
Hiyo ndiyo tofauti ya Uongozi wa magufuli na wapuumbavuuHivi solution ya haya mama aliyoelezea leo ni nini? Kwa sasa vyanzo vingi vya maji, sehemu mbalimbali nchini vimevamiwa na wakulima na wafugaji (nenda Morogoro na Nyanda za Juu kusini, n.k), watu wanalima hadi mabonde ya mito, miti inakatwa hovyo kuchoma mkaa na kupata maeneo ya kilimo, n.k.Kama nchi nachelea kusema tumekalia maneno bila vitendo huku tukijua wazi hatari iliyopo mbele yetu.
China kwa mfano, kupitia Shelterbelt Program ina mpango wa kuondoa jangwa kwa ekari milioni 87 ifikapo 2050 na hadi sasa wameshapanda miti kwa zaidi ya ekari 13 milioni.
Ni imani yangu tunaweza kuibadilisha sehemu kubwa ya nchi yetu ikawa ya kijani ndani ya miaka 10 ikiwa watu watahamasishwa na kuwa na mipango madhubuti. Ili hili litokee kuna haja ya:
1. Kila halmashauri, kata na kijiji kupewa lengo l miti ya kupanda kila mwaka na ukaguzi wa dhati wa kilichofanyika uwepo.
2. Shule zote zipewe lengo la idadi ya miti kupanda na kuikuza kila mwaka.
3. Kambi zote za jeshi zipewe pia malengo.
4. Maeneo yote public ikiwa ni pamoja na mbuga zipewe JKT na mashule kupanda miti.
5. Kila mtanzania mwenye eneo la shamba apewe idadi ya miti kupanda (mfano miti kumi kuzunguka shamba kwa kila ekari moja).
Nawasilisha.
Huyu ni MJAMBIANI ni kiongozi asiye na majibu yeye ni lile genge la mazuzu walio na maswali tu without answersMoja ya njia ya ku solve tatizo n kukubali tatizo lipo
mkuu hivi unauelewa vizuri kichwaniAisee wewe jamaa wa ajabu sana. Kwa hiyo ulitegemea Mama Samia awe amefikisha maji ya ziwa victoria Dar na maeneo mengine ndani ya kipindi kifupi alichoshika madaraka? Mbona walaumu bila kuwa na sababu za msingi?
Au ni chuki zako tu kwake? Au hujui pia mabadiliko ya tabia ya nchi yaweza kusababisha hata kina cha maji ya ziwa kupungua sana na kuicha mitambo ya kutape maji ikielea tu?
Kwani wewe ndiye SI unit ya uelewa.mkuu hivi unauelewa vizuri kichwani
Kuna mradi wa kumwezesha magari madogo kutumia gesi badala ya petroli lakini mwaka wa kumi na ushee huu kituo Cha kuuzia gesi Ni kimoja TUUH na magari yaliyofungwa hayafiki miaGesi asilia toka igunduliwe miaka ya sabini haijawahi kuwekwa kwenye mtungi,gesi inayotumika inatoka nje. Labda tuwaulize hao serikali kwanini imeshindikana au tuna ombwe la uongozi?
inamana kwani hata ziwa viktoria kina cha maji kimepungua kiasi cha wakazi wa maeneo lengwa kukosa maji?Janga gani na wewe? Yaani huoni haya mabadiliko ya tabia ya nchi? Joto kali sana na maeneo mengine kama Morogoro mvua haijanyesha kabisa, na hii ni November inaenda mwishoni. Yeye afanyeje kama maji yamepungua kutokana na sababu hizo? Kazi tu kukariri corus bila ya kufanya tafakari.