Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu

Ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku [emoji1787][emoji1787] ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mradi wa kumwezesha magari madogo kutumia gesi badala ya petroli lakini mwaka wa kumi na ushee huu kituo Cha kuuzia gesi Ni kimoja TUUH na magari yaliyofungwa hayafiki mia
India magari ya daladala yanatumia gesi asilia zaidi ya miaka 30.Misri gesi imefungwa hadi nyumbani kwa meter (LUKU)
Mimi nakumbuka baadhi ya magari ya 504 ile mitumba enzi zile ikija Bongo ndani ya buti kulikuwa kuna mtungi wa gesi yaani ilikuwa inaweza kutumia gesi kama nishati mbadala.
Nadhani matumizi ya gesi kwenye magari kwetu hayana wateja wengi kwa kuwa kwanza conversion ya kufunga kifaa hicho ni bei kubwa kwetu,pili serikali na TPDC wameshindwa kutoa elimu yenye mashiko.
Tatu yawezekana kuna vita baridi ya ku discourage matumizi ya gesi asilia.
 
Mama hamisha ziwa Victoria kwa kuiwekea mikondo ya kuja hadi dar. Si walisema ziwa vic lipu juu, hapa hatuhitaji machine, ni kutandaza tu bomba maji yanavuja yenyewe
 
Mbona sioni tatizo kwenye kauli ya Rais? Tatizo hilo la kukauka kwa mito liliwahi kutokea kule bonde la Ihefu Mbeya, wasukuma na wamang'ati walipoqchwa wasambae ndani ya bonde zima. Mto Ruaha mkuu ulikauka kabisa.

Walipoondoshwa tu, baada kama ya miezi 6, mto ukaanza kutiririsha maji. Hakuna watu wanaoharibu maxingira kama wafugaji wanaoachia ng'ombe kuzurura kwenye mapori. Ndiyo maana, mikoa kama Shinyanga, Tabora, Simiyu na Mwanza, halibya mazingira ni hovyo sana.
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Sababu za uongo hizo, hata maji ya mradi wa ziwa Victoria nayo hayatoki. Sijui ziwa nalo limekauka
Tatizo ni umeme. Mashine za kusukumia maji haziwezi kufanya kazi bila umeme.
 
Mbona haongelei ziwa victoria lenye maji ya kutosha lkn Mwanza hakuna maji?
Tafakari kidogo, jifikirishe, utajua kwa nini Mwanza inakosa maji wakati ziwa lina maji. Umeukiza swali lisilo na mantiki. Umeuliza bila ya kufikiria.
 
Kwa dar suluhiso ni moja tuu...
Lijengwe bwawa dogo mto ruvu kwaajili ya kuvuna maji kwa ajili ya matumizi ya Nyumbani tuu(DAWASCO)... hakuna haja ya kulalamika wakti hatuvuni maji yote ya mto ruvu kwani bado kuna kiasi kikuwa cha maji yanapita.
 
Waziri Mkuu jana amewatangazia wawekezaji waje, umeme upo hadi unamwagika, wasiwe na wasiwasi kabisa na hiyo nishati
[emoji1787][emoji23][emoji28][emoji23][emoji1787] Ndio tujue kuna uhuni tu unafanyika.. Hili suala halitofautiani na wafanya biashara wa Sukari ... Wanapoamuaga kuficha sukari Yao .... Na hivi nisemavyo sio muda mrefu utasikia tena kuna MGAWO WA SUKARI TANZANIA [emoji350]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
MTU alipaswa kuwa jikoni anampikia mumewe ajabu watu wanataka atatue matatizo ya nchi ... wanaume wooote,wanawake,watoto wooote... Wanawake hawakuumbwa kufanya hayo lkn zaidi afrika hatujafikia kuwa na mwanamke wa kufanya hayo (kuongoza usimamizi wa hayo).
Alafu tuwe timamu prezoo anapaswa kujua mambo mengi kwakuyashiriki!! Sasa huyu;
  • amewahi kufuga?
  • amewahi kulima?
  • amewahi kufanya business kubwa?
  • amewahi kuvua?
  • amewahi miliki kakiwanda?
Atajuaje namna ya kuboresha mambo hayo yanayoajiri wabara wengi?
MTU anachojua ni kuwaambia wazungu watupe hela!!!
Kufupisha maneno HUYU HATOSHI!! TUTAFELI VIBAYA NAKUPIGA "MAKITAIMU".
 
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku
1.Mito na maziwa yetu na vyanzo vingine vta maji ya kunywa uifadhi kwa ujumla wake maji kiasi gani kwa mwaka?

2. Tanzania tuna ng'ombe kiasi gani mpaka sasa?

3. Kwa idadi hiyo ya ng'ombe iliyopatikana kwenye jibu la swali no. 2 hapo juu, je ng'ombe wote Tanzania kwa mwaka wanakunywa maji kiasi gani iwapo ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku?

4. Linganisha jibu la swali namba 1 na namba 3 na utueleze, je ng'ombe wanamaliza maji yote ama la?
 
Huu ukaidi unatoka umeanza kuonekana ndani ya miezi 8 bila magufuli sasa mbona hatukuona ukaidi

MAGUFULI MWENYEWE alikuwa mtu
 
Kivuli cha MAGUFULI KINAMTESA
HUYU BIBI HAJUI CHAKUFANYA HAJUI KINACHOTOKEA
MAKAMBA ALISEMA REPAIR SASA DAAAA HII NCHI IMEKAMATWA NA WAHUNI WANATAFUTA MAISHA

HAKUNA KINYAGO KIZURI ALICHOCHONGA KIKWETE

HUYU MWAMBA ANATUTESA SANA

MAGUFULI ALIKATAA KUDANGANYA WATU LIVE

KIASI HIKO TUELEWE KIPI MAMA KASENA UKAIDI WA WATU MAKAMBA KASEMA REPAIR YA SCHEDULE NA MATENGENEZO


BADO KUNA MUVI KIBAO ZINAKUJA

KINACHOMTESA SAMIA NI DHAMBI YA WAMACHINGA , SAMIA KAWAFUKUZA WAMACHINGA MUNGU AKAZUIA MVUA ILI AJIFUNZE


WAMACHINGA LAZIMA WATAMGHARIMU SAMIA MUNGU NI WAWOTE

AIBU ANAYOENDA KUIPATA NI KUBWA MUULIZA MBOWE ALIPOAMUA KUMTUKANA MAGUFULI WAKATI WATANZANIA WANAMLILIA LEO YUKO JERA

MUNGU HAKOSEI ITACHUKUWA MUDA KUMWELEWA MAGUFULI , YESU ALIPOENDA MBINGUNI NDIYO WANAFUNZI WAKE WAKAMWELEWA


YESU ALIPOINGIA HEKALUNI ALIFUKUZA WEZI WOTE NA MATENDO YA UOVU MAGUFULI ALIPOINGIA TU WEZI WOTE WALIONDOKA

VIONGOZI WA WAYAHUDI HAWAKUMWELEWA YESU , ILA WANAZENGO WALIMUELEWA VIZURI SANA ,VIONGOZI BAADHI NA MAYAJIRI HAWAKUMWELEWA MAGUFULI ILA WANANZENGO WALIMUELEWA


DUNIANI MATAJIRI NA WASOMI MUNGU HUWA HAWAMJALI SANA HATA KIDOGO MASKINI NDIO HUWA NA MULILIA MUNGU
MAGUFULI ALIKUWA MJOLI WA MUNGU KAZI YA ILIONEKANA TUNASUBIRI , UBABAISHAJI ULIOPO TUONE


MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Uongozi na usimamiz n mbovu icho ndo chanzo kikubwa, yaan baada ya kupiga hatua kwenda mbele sasa nchi imeanza kupiga hatua kurud nyuma tena kwakasi kubwa, saizi tatizo la mgao wa maji mzee ashalimaliza kwazaidi ya 90%, baada ya mda mfupi tu tayari tumerudi kweny 10%,
 
Mlilia uhuru mkapewa sasa nchi zinawashinda kuziendesha. Kanchi kadogo kama Israel ambacho kiko jangwani hakina shida ya maji, Tanzania kuna maziwa, mito na bahari lakini bado kuna uhaba wa maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…