Rais Samia mgeni rasmi "KiziMkazi Day" Festival Visiwani Zanzibar Jumamosi Agosti 28

Rais Samia mgeni rasmi "KiziMkazi Day" Festival Visiwani Zanzibar Jumamosi Agosti 28

Watawala wa kiafrica wote wanafanana tofauti jinsia tu
 
Usichanganye mchele na pumba, Dikteta Magufuli alikuwa anajenga Chato kwa kupora fedha za umma bila utaratibu wakati Samia bado hajafanya hivyo!
Mali ya umma gani unaourejerea? Vyovyote vile na tafsi yako lakini chcote alichokifa JPM kinaonekana mpaka leo sio kukopa, kuomba na kutoza bila kuleta athari chanya kwa wananchi wanaotozwa. Juhudi nyingi zimehamishiwa Dar Es Salaam wakati makao makuu yakisuasua hiyo sio sawa
 
05 September 2022
Unguja, Zanzibar

Mh. Rais Samia Hassan apanda boti ya Azam Marine - Kilimanjaro IV toka Unguja kuelekea Dar es Salaam


Source : millard ayo.
 
Back
Top Bottom