Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Ndugu zangu Watanzania,



Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Si kwamba wengi hawapendi tu Maandiko yako marefu bali pia hawapendi Maandiko marefu yenye Pumba tupu na Upumbavu mwingi kama yako Wewe Mwanafunzi wangu uliyekuwa Dhaifu Darasani Kwangu Chuoni Ilala kati ya mwaka 2011 hadi 2012.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, Anatarajiwa kuwa mgeni R

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tumepigwa kingi !!!!!!!!!!
Kwishne!!!!
Mlisema anaenda Marekani - kumbe ilikuwa transit- China-Urusi - Cuba; akitoka hapo North Korea!!!!!!!!

Kwishaaaaaaaaaaa
 
Hakuna wazungumzaji wa kiswahili zaidi ya 150m hapa duniani. Hizi taarifa za kupika kapelekeeni wajinga huko vijijini wasiotambua.
Inawezekana wapo, maana wazungu kutoka Harvard wanasema wapo 200m


 
Ndege inaruka hadi Havana, rais akiambatana na watu mbalimbali, kuna posho, malazi na chakula bado machawa bila shaka wataongozana naye. Yote hayo kwa ajili ya kuzungumza kiswahili ambacho nje ya Afrika ya mashariki hakuna mwenye uhitaji nacho. Kweli Tz yeyote anaweza kuiongoza.
 
Anatumia vibaya sn kodi za watanzania yaani ni hovyo kupita kiasi
 
Anatumia vibaya sn kodi za watanzania yaani ni hovyo kupita kiasi
Ziara kama hiyo angeweza kutuma mwakilishi tu hata balozi aliyeko nchi husika. Nchi zilizo serious huwezi kukuta rais anasafiri safiri tu. Matumizi ya rais ni makubwa sana. Hayaendani kabisa na hali ya uchumi wa taifa.

Ziara za ndani tu zinatumia pesa nyingi sana. Watu wanalipa kodi ila matumizi yake ndio kama hayo.
 

Anza na bunge kwanza
 
Rais ambaye mshahara wake haukatwi kodi ni hatari sn hana uchungu wowote na fedha za umma
 
Huku kunawaka moto

#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…