Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Takwimu zako ww umezitoa toka chanzo gani? Au hivihivi vyanzo vya wapika data?
Kwenye Tovuti kuu ya Kongamano hakuna jina la Samia kama mgeni rasmi hata kwenye ukurasa wa Polepole hakuna jina la Samia!
 
Angalia taarifa hiyo ya Balozi polepole ni ya lini.lakini lazima ufahamu kuwa kila kitu kinachofanyika nakufanywa na Balozi polepole kipo chini ya wizara ya mambo ya nje.kwa hiyo kaa kwa kutulia utaona Mama akitua hapo Cuba kikomandoo
Kikondoo au kikomandoo!? Labda kininja 🥷
 
Ulikuwa unamsema Maria kwamba kajuaje rais J5 atakuwa USA wakati na wewe unatuhabarisha kwamba mama kizimkazi atakua cuba nov 7 ,na wewe umepata wapi taarifa za siri?
 
Ulikuwa unamsema Maria kwamba kajuaje rais J5 atakuwa USA wakati na wewe unatuhabarisha kwamba mama kizimkazi atakua cuba nov 7 ,na wewe umepata wapi taarifa za siri?
Hili boflo linajichanganya sanalinajiona lina haki ya kipekee ya kujua taarifa za Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…