Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Ikumbukwe ya kuwa kiswahili kimefanikiwa kutambulika au kutambuliwa na UNESCO kuwa Lugha ya saba ya kimataifa,ikiwa na wazungumzaji zaidi ya Millioni 500 Duniani kwote.
Takwimu sahihi za lugha zenye wazungumzaji wengi duniani kiswahili hakimo hata katika 10 bora sasa sijui hizi takwimu mmeokoteza hapo Lumumba na wewe ukabebeshwa tu kuja kubandika hapa.

Siku hiyo na siku hizo za kongamano kutafanyika pia semina mbalimbali pamoja na uzinduzi wa kamusi ya kiswahili na kispaniola iliyoandaliwa na chuo kikuu cha Dar es salaam.
Kihispaniola ndio neno sahihi chawa sio kispaniola.
Mimi Mwashambwa Lucas Napongeza sana hatua hii ya Mheshimiwa Rais na juhudi zake za kukipeleka kiswahili kimataifa
Huyo mama yako amepelekaje kiswahili kimataifa wakati lugha yenyewe wakoloni wameikuta na alikuwa hajazaliwa?
Zingatia kanuni za uandishi unapomaliza sentensi kwa kuweka kituo kikubwa anza sentensi inayofuata kwa herufi kubwa sawa chawa ?
Sijuwi ndio kiswahili cha mama chawa?
Pia sisi kama Taifa tunatakiwa ndio viongozi wetu wawe mstari wa mbele katika kutumia lugha hii ya kiswahili katika hotuba zao hususani kunapokuwa na wageni wameingia Nchini mwetu.cha kufanya ni kutafuta wakalimani wa kufanya kazi hiyo ya kufasili
"Pia sisi kama taifa " sio "Pia sisi kama Taifa" nakurudisha leo elimu ya awali chawa wa Lumumba elfu saba.
. Ofisi zote za umma na matangazo yao nayo pia yawe yanatolewa kwa kiswahili.
Zingatia kanuni za uandishi.
 
P
umbaaaa
We bwege ningekua nakufahamu ningekupopoa hata na jiwe tu kiukweli sikupendi
 
Mwambie huyo mama wakati yuko huku na kule nje ya nchi huku watu wanapiga kama kawaida Ili kumpa CAG apate cha kuandika.
 
Kwenye hilo kongamano, mama atakapokuwa anaongea hatachanganya kiingereza na kiswahili?
Nauliza tu.
 
Kiswahili siyo Lugha ambayo mtu anaweza akajivunia, hata hapo nchini Uganda tu Watu wa huko wanatambua kwamba Kiswahili ni "lugha ya wezi."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…