Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Agosti 21, 2023

Imeisha kitu gani?

Mamako mwenyewe hapo hajiamini, anajua anaweza kuondoka hapo, nyuma jamaa wanatoa tamko lao na kupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Usichokijua, hii issue ya kuhudhuria inakuwa imeshapangwa muda mrefu, kwa hiyo kinachotokea hapo hakikutarajia kama hali ya kisiasa itakuwa kama ilivyo kwa sasa nchini, na hakiwezi kubadilisha msimamo wa KKKT juu ya kile walichopanga kuongea kuhusu ule mkataba wa hovyo.
Lazima itapigwa nyundo moja
 
Hongera mama Samia, nenda tu, hata TEC wakikualika mkutano wao wa kilio chao cha bandari kupewa Waislam wewe nenda tu.

Wacha wabwabwaje na wahororoje weeee, wewe kaa kimya tu, utawajibu kwa vitendo, "Action speaks louder than words".
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Miaka 60 Ya Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yatakayofanyika Jumatatu tarehe 21 Agosti 2023 katika Chuo cha Tumaini Makumira mkoani Arusha.

Mwenyeji wa Rais Samia anatarajiwa kuwa Mkuu wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo

View attachment 2722805
Ampige spana hapo hapo
 
Siwaamini sana KKKT. Ubovu wa KKKT hawapo imara kama taasisi ukilinganisha na Katoliki. KKKT wanaingilika kirahisi sana.

KKKT juzi tu wameyumbishwa na yule mchungaji wao wa Kijitonyama, Eliason Kimaro, na wameshindwa kumhamisha. KKKT mchungaji ni rahisi sana kuwa mkubwa kuliko kanisa, mfano huyo Eliason na yule wa Kimara anayeitwa Matsai. Kanisa Katoliki, hata padre awe na ushawishi kiasi gani, lakini kamwe hatakua mkubwa kuliko kanisa, yaani hata atembee kwenye maji kama Yesu.
Unamjua Father Nkwera!!??
 
si alilipwa kwa kazi hiyo na Wana Mtandao ?
Kikwete alibebwa na maaskofu 2005 kuelekea magigoni. Nilikua miongoni mwa wanamtandao ninajua fika jinsi kanisa katoliki lilivyoshiriki mchakato ule mpaka kupelekeq Askofu Kilaini kubaki na doa....

Hakuna mkatoliki mwenye shida na uislamu wa rais Samia bali huyo mtu ni dhaifu na ni hatari sana kwa ustawi wa nchi.
 
Kikwete alibebwa na maaskofu 2005 kuelekea magigoni. Nilikua miongoni mwa wanamtandao ninajua fika jinsi kanisa katoliki lilivyoshiriki mchakato ule mpaka kupelekeq Askofu Kilaini kubaki na doa....

Hakuna mkatoliki mwenye shida na uislamu wa rais Samia bali huyo mtu ni dhaifu na ni hatari sana kwa ustawi wa nchi.
Kikwete aliitwa chaguo la Mungu na kanisa, Si ndiyo?

Mama Samia ni chaguo kweli la Mungu, bila kuitwa na yeyote.
 
Kikwete aliitwa chaguo la Mungu na kanisa, Si ndiyo?

Mama Samia ni chaguo kweli la Mungu, bila kuitwa na yeyote.
Umemsikia Askofu Shoo juu ya mchango wa Kanisa katika kupambana kufutiwa madeni kwa nchi? Umesikia kuhusu serikali kuyapa makanisa ruzuku?
 
Sasa mzee huyu nae asiseme kijinga. Anasema eti serikali iendelee kuwape pesa kwa kuwa wao walifanya kampeni Tanzania ikafutwa madeni.

Sasa kanisa linangoja thawabu kutoka serikalini?


Hapana, sasa hivi hamtowi huduma bure na wala hazihitajiki tena.

PPP eti wameanzisha KkKT. Huyu zmee kachanganyikiwa. Asome "investopedia" atapa history ya PPP ilianzia wapi. Akamsome mtu anaitwa Tajudin Ahmad ataona alipewa na nani hilo wazo akalianzosha nchini mwake kabla ya yeyote.

Hivi hawa watu wa Kaskazini mbona waongo waongo sana?
 
Hivi unajua Ilboru ilikua mali ya kanisa la Lutheran
Hilo siyo jipya, makanisa yalihodhi elimu yote, ndivyo maana ya kurusedi iliyoletwa na wazungu.

Upo forodhani unauliza baharini wapi?

Unanchekesha.
 
Kuna watu may be umri wao mdogo, ama wajinga au wapo kwny Propaganda

Makanisa mara zote huwa wanatoa matamko makali sana ma Rais wa Nchi wanapokuwa sio watu wa dini yao baada ya muda maisha yanaendelea kama kawaida

kwa waliopevuka kiakili baada ya uchaguzi wa 2010 may be naweza kuwajulisha kuwa Kanisa lilitembea bega kwa bega na Katibu wao wa zamani Wilbroad Slaa kuhakikisha wanamuangusha Rais Jakaya Kikwete

Walitoa Waraka nyakati za Kampeni kutaka Wakristo wote wachague Mgombea Mchamungu ( Dr Slaa) lakini kama ilivyo kawaida yetu Raia wa kawaida…tunawasikiliza Viongozi wetu wachochezi, tunawashangilia lakini ikifika wakati wa Maamuzi huwa tunaamua kwa Maslahi ya Nchi yetu

Waraka umesomwa utajadiliwa na utakuwa talk of the town kwa wiki kadhaa baada ya hapo Maisha yataendelea kama kawaida.

kama kuna Mtu ana rekodi ingependeza sana angetuwekea ma nyaraka kadhaa yanayotolewa na kanisa yaliwahi kumtisha Rais gani wa Nchi hii?

Tena kile ki Mzee Mwinyi ndio Hatare kabisa …anawasikiliza mnavyomtukana vyema sana na hata ikibidi anaweza akawaomba radhi lakini akitoka hapo anaendelea na mambo yake kama kawaida

Alimfanyia hivyo Nyerere kwny kufuta Azimio la Arusha na kuruhusu Uhuru wa watu kujieleza …kanisa nalo likamsakama sana lakini aliwaheshimu sana lakini hakuruhusu wachezee Mamlaka yake ya ki dola, the same to Mwana kijiji mwenzangu wa Msoga …tena mnakutana kwny Vikao mnampangia mikakati, kabla ya kutoa press release ya Waraka tayari yeye ana nakala kupitia Wandani wake waliopo Kanisani

Dola inazijua sana Taasisi za kidini pamoja na mapungufu yake, hayati JPM alipoanzisha heka heka ya vyeti feki na kukagua Fedha za Serikal kila eneo ikiwemo zinazokwenda kwny Taasisi za Kidini alikutana na Madudu mengi sana hadi Yule Sister Mkuu wa Idara ya Fedha na Bajeti wa pale Bugando alijirusha kutoka ghorofani na kufariki papo hapo

Wadanganyeni usafi wenu Waumini ila dola inawajua vizuri sana
Sio kwa hili..limekaa tenge sana. Labda kama ni ajenda ya kueneza dini flani.
Sasa mzee huyu nae asiseme kijinga. Anasema eti serikali iendelee kuwape pesa kwa kuwa wao walifanya kampeni Tanzania ikafutwa madeni.

Sasa kanisa linangoja thawabu kutoka serikalini?


Hapana, sasa hivi hamtowi huduma bure na wala hazihitajiki tena.

PPP eti wameanzisha KkKT. Huyu zmee kachanganyikiwa. Asome "investopedia" atapa history ya PPP ilianzia wapi. Akamsome mtu anaitwa Tajudin Ahmad ataona alipewa na nani hilo wazo akalianzosha nchini mwake kabla ya yeyote.

Hivi hawa watu wa Kaskazini mbona waongo waongo sana?
Kaskazini tena
 
sisi waislamu mnatuchangaya sasa, hatujui tufanye nini.

tuwajibu kwanza wakatoliki kupitia ule walaka wao au tuvute subira kusubiri tamko la KKKT then tutoe kauli za jumla jumla?.
Mkataba hamkuandikiwa waislamu, wameandikiwa Serikali.
 
Back
Top Bottom