Rais Samia: Mifumo imeanza kuchezewa na kuonesha makasha yamelipiwa na kuruhusiwa kutolewa Bandarini

Rais Samia: Mifumo imeanza kuchezewa na kuonesha makasha yamelipiwa na kuruhusiwa kutolewa Bandarini

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!
 
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!
Mutu ya Polini huoni kama hatua zimechukuliwa, kuyatamka tu yasiyopendeza ni ujasiri, vipi kama ingesemwa tunaenda vizuri na kila kitu Kiko sawa ilhali iwe ni kinyume chake🤔.
 
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!
Upigaji haukuwahi kuisha. Ulibadilishwa style wahusika wakawa creative
 
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!

Ccm ni ile ile
 
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!
Ajabu sana Rais analalamika kama sisi watu wa kawaida badala atueleze kuwa wanaofanya hivyo ameshawatumbua na hela haziibiwi tena. Naamini kuwa Magufuli alizungukwa na wanafiq wengi sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Manispaa/halmashauri huku ndio balaa tupu, ushuru wote wajanja wanaweka matumboni...kumbe watanzania mifumo inaliwa kama paka na maziwa!
Kama kasi ya wizi itaendelea hivi na huko wafanyabishara wakaendelea kukwepa kodi hivi basi hatutakuwa na dawa hospitalini ndani ya mwaka mmoja ujao, ndio maana tumeambiwa ELIMU BURE IMEISHA!
 
Hawa si waliwaondoa makampuni binafsi kuwa mawakala wa meli na wakaanza kufanya clearing agency wenyewe na kukagua mizigi wenyewe (tallying) kupitia TASAC? kama kila kitu anafanya wenyewe, analalamika anaibiwa nini? Walifikiri wanaoiba ni makampuni binafsi ndio maana wakayaondoa, matokeo yake wameifanya bandari imekuwa very expensive wenye meli zao wanashindwa kuleta meli, tunaiua bandari kimya kimya bila kujua in long run tutakuja kulia.

Biashara sasa ni soko huria, hawezi kulazimisha mtu awe handled na government agency tu, badilisheni sheria zenu za kibabe kwanza zilizowaondoa kampuni binafsi, hao ndio wanaotafuta biashara na kuzileta, msidhani hizo meli zinajileta zenyewe
 
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!
Makini sana rais mzugaji huyu,JPM angepindua meza bila ajizi
 
"...ninazo taarifa za hivi karibuni wafanyakazi wasio waaminifu wamechezea mifumo na kuonyesha mizigo imelipiwa Bandarini na kuruhusiwa kuondolewa ilhali malipo hayajafanyika." Amesema Rais Samia.

My take;

Je, ni rasmi upigaji umerejea kwa kasi namna ile?!

Je, wenye dhamana za uongozi katika taasisi husika hawapaswi kuwajibishwa kwalo?!

Watendaji walio chini ya mkurugenzi wa Bandari wanachezea mifumo na yeye yupo ofisini wa kazi gani?!

Kamishina wa TRA bado yupo ofisini kwa sifa zipi kama ubadhirifu wa kuchezewa mifumo namna ile unafanywa na vijana wake?

Rais analalamikia ilhali yeye ndiye mwenye uwezo wa kuchukua hatua je mimi mlima pareto huku polini nifanyeje?

Inafikirisha!
Tutamkumbuka kankokoo
 
Narudia tena Kakonko aliiweza bandari, hadi leo najiuliza ilikuwaje Mh. Rais alimfuta kazi yule mzee…

Ila ngoja tuone mambo yatakavyokuwa, huko bandari naskia upigaji umerudi kwa kasi sana…
 
Tutamkumbuka kankokoo
By the way, shauri lake Ex. DG wa PTA Eng. Kakoko na TAKUKURU laendeleaje? Ni uchunguzi waendelea mpaka leo, ashapelekwa kwa pilato ili kama kuna makosa alifanya awe na la kujibu.

Naona ni kama kuna ukimya!
 
Back
Top Bottom