Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ni utopolo kuwa na taasisi inayoyumba akikosekana mtu mmoja tu, Tanzania ina maelfu ya watu wazalendo mahiri wanaoweza kuendesha bandari, huyo Kanko wako sio Alfa na Omega wa bandari.
Narudia tena Kakonko aliiweza bandari, hadi leo najiuliza ilikuwaje Mh. Rais alimfuta kazi yule mzee…
Ila ngoja tuone mambo yatakavyokuwa, huko bandari naskia upigaji umerudi kwa kasi sana…