#COVID19 Rais Samia: Miji mikubwa ya Tanzania tayari imekumbwa na wimbi la tatu la Covid-19

#COVID19 Rais Samia: Miji mikubwa ya Tanzania tayari imekumbwa na wimbi la tatu la Covid-19

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Rais Samia akiwa katika ziara yake mkoa wa Morogoro maeneo ya Kibaigwa amewataka wananchi wote kuchukua tahadhari juu janga la Covid-19.

Katika kufafanua jambo hili Rais Samia amesisitiza kuwa wimbi la tatu la ugonjwa huu limeshaanza kutikisa katika miji mikubwa ya taifa la Tanzania.

Aidha, Rais Samia amesema "Wimbi la tatu la Covid-19 tayari lipo nchini na hatua cha kuficha, tuna wagonjwa mkoa wa Kagera, Arusha, Mwanza, Dar es Salaam na Dodoma.

“Chukueni tahadhari hili wimbi la tatu ambalo linapukutisha wenzetu lisije kupukutisha hapa kwetu, gonjwa hili likianza kutuangusha halina kusimama linapukutisha tu”

===

Zaidi soma
Tanzania’s major cities are worst hit by a third wave of the Covid-19 pandemic, President Samia Suluhu said, while urging citizens to take precautions to protect themselves.

Speaking at Kibaigwa, Morogoro in central Tanzania, on her way from the capital Dodoma on Wednesday, President Suluhu expressed her shock when she saw hundreds of people without masks.

“This third wave is already in the country and there is nothing to hide. We have patients in Kagera, Arusha, Mwanza, Dar es Salaam and even Dodoma,” she said.

“I have seen here that just a few people are wearing masks and doing so incorrectly with only their mouths covered leaving open their noses. Therefore, I call upon everybody to take precautionary measures against Covid-19 as directed by health experts,” she said.

The President said in Dodoma, while the number of patients is small, the cases should sound a warning to citizens to be more alert in order to prevent deaths as reported in other countries.

Ms Sululu urged wearing masks whenever in public gatherings.

Source: The Citizen
 
The number of deaths per day is starting to up again but to my surprise the government is still not reporting new Covid-19 cases per day and number of deaths.
And this is the major problem with tz,if we cant have the right and correct data, then how can we control this corona? in my opinion this covid will leave hundrends if not thousands dead, mark my works, you see hata kwa dala dala no masks, its like there is no covid, and hosipitals are running out of oxygen, God give our people wisdom.
 
Sasa kwa nini Rais Samia anakusanya watu kwenye hizo ziara zake na kuwahutubia???

Ndo maana nasema hayuko serious kabisa.

Anafuata mkumbo tu!

Hii ni jana/ juzi alipokuwa Morogoro.


Mama mwenyewe hayuko serious na ugonjwa huu. Anatafuta namna tu ya kuipiga hela ya wazungu inayotolewa kama msaada kwa ajili ya Covid-19
 
Nimeteseka na hii kitu asiyeamini wacha asiamini tu Ila omba Mungu immunity yako iwe vizuri otherwise watu watapukutika na wazee wajiongeze tu.

Ni mateso asiwaambie mtu
 
Nimeteseka na hii kitu asiyeamini wacha asiamini tu Ila omba Mungu immunity yako iwe vizuri otherwise watu watapukutika na wazee wajiongeze tu .

Ni mateso asiwaambie mtu
Kama unaishi nje ya Tanzania unaugua. Lkn kama upo ndani ya ardhi ya mwalimu Nyerere nakuhakikishia hakuna korona.
BTW, ugonjwa huu hauwaui Sana watu weusi, ndiyo maana Afrika siyo issue sana.

Hata SA wanaokufa ni wazungu siyo wazulu wa Kwazulu Natal

Hivi mnaona mataifa mengine wanavyokufa jamani?
 
Kama unaishi nje ya Tanzania unaugua. Lkn kama upo ndani ya ardhi ya mwalimu Nyerere nakuhakikishia hakuna korona.
BTW, ugonjwa huu hauwaui Sana watu weusi, ndiyo maana Afrika siyo issue Sana.

Hata SA wanaokufa ni wazungu siyo wazulu wa Kwazulu Natal

Hivi mnaona mataifa mengine wanavyokufa jamani?
Nipo Dar es salaam, kimsingi ukisoma nilichoandika ni kwamba kilichosaidia ni immunity Ila maambukizi na early stage ilikuwepo but hali haikufika ya kuweka mitungi ya gesi lakini believe me ugonjwa upo sijui una Imani gani lakini unaongea na mtu aliyekutwa na maambukizi na akatibiwa na kupona mapema.

Kumbuka Mwanza wanahitaji mitungi 500 endeleeni kupiga domo za ramli . It's not about politics hapa naongea jambo ninalojua na nimeexperience.
 
Mnatengenezea watu woga Kwa faida ya Nini?
 
Back
Top Bottom