BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Rais Samia akiwa katika ziara yake mkoa wa Morogoro maeneo ya Kibaigwa amewataka wananchi wote kuchukua tahadhari juu janga la Covid-19.
Katika kufafanua jambo hili Rais Samia amesisitiza kuwa wimbi la tatu la ugonjwa huu limeshaanza kutikisa katika miji mikubwa ya taifa la Tanzania.
Aidha, Rais Samia amesema "Wimbi la tatu la Covid-19 tayari lipo nchini na hatua cha kuficha, tuna wagonjwa mkoa wa Kagera, Arusha, Mwanza, Dar es Salaam na Dodoma.
“Chukueni tahadhari hili wimbi la tatu ambalo linapukutisha wenzetu lisije kupukutisha hapa kwetu, gonjwa hili likianza kutuangusha halina kusimama linapukutisha tu”
===
Zaidi soma
Tanzania’s major cities are worst hit by a third wave of the Covid-19 pandemic, President Samia Suluhu said, while urging citizens to take precautions to protect themselves.
Speaking at Kibaigwa, Morogoro in central Tanzania, on her way from the capital Dodoma on Wednesday, President Suluhu expressed her shock when she saw hundreds of people without masks.
“This third wave is already in the country and there is nothing to hide. We have patients in Kagera, Arusha, Mwanza, Dar es Salaam and even Dodoma,” she said.
“I have seen here that just a few people are wearing masks and doing so incorrectly with only their mouths covered leaving open their noses. Therefore, I call upon everybody to take precautionary measures against Covid-19 as directed by health experts,” she said.
The President said in Dodoma, while the number of patients is small, the cases should sound a warning to citizens to be more alert in order to prevent deaths as reported in other countries.
Ms Sululu urged wearing masks whenever in public gatherings.
Source: The Citizen
Katika kufafanua jambo hili Rais Samia amesisitiza kuwa wimbi la tatu la ugonjwa huu limeshaanza kutikisa katika miji mikubwa ya taifa la Tanzania.
Aidha, Rais Samia amesema "Wimbi la tatu la Covid-19 tayari lipo nchini na hatua cha kuficha, tuna wagonjwa mkoa wa Kagera, Arusha, Mwanza, Dar es Salaam na Dodoma.
“Chukueni tahadhari hili wimbi la tatu ambalo linapukutisha wenzetu lisije kupukutisha hapa kwetu, gonjwa hili likianza kutuangusha halina kusimama linapukutisha tu”
===
Zaidi soma
Tanzania’s major cities are worst hit by a third wave of the Covid-19 pandemic, President Samia Suluhu said, while urging citizens to take precautions to protect themselves.
Speaking at Kibaigwa, Morogoro in central Tanzania, on her way from the capital Dodoma on Wednesday, President Suluhu expressed her shock when she saw hundreds of people without masks.
“This third wave is already in the country and there is nothing to hide. We have patients in Kagera, Arusha, Mwanza, Dar es Salaam and even Dodoma,” she said.
“I have seen here that just a few people are wearing masks and doing so incorrectly with only their mouths covered leaving open their noses. Therefore, I call upon everybody to take precautionary measures against Covid-19 as directed by health experts,” she said.
The President said in Dodoma, while the number of patients is small, the cases should sound a warning to citizens to be more alert in order to prevent deaths as reported in other countries.
Ms Sululu urged wearing masks whenever in public gatherings.
Source: The Citizen