#COVID19 Rais Samia: Miji mikubwa ya Tanzania tayari imekumbwa na wimbi la tatu la Covid-19

#COVID19 Rais Samia: Miji mikubwa ya Tanzania tayari imekumbwa na wimbi la tatu la Covid-19

Kajazana na watu kwenye mpira wa Simba na Yanga, watu wamejazana Sabasaba.

Does she even know what she is talking about?
Unakumbuka aliunda tume au sijui kamati ya Corona? Hivyo tume ndo ilishauri mambo kama hayo ya watu kujazana sehemu? She is not serious about it.

 
Inashangaza sana kusema kweli. Anatoa tahadhari watu wajikinge kwa kuepuka misongamano na kuvaa masks 😷 pia kunawa mikono halafu yeye ndiyo anasababisha misongamano!

Nahisi hisi kama wana lao jambo... pesa ya mabeberu inatafutwa...
Tuendelee Kujikinga Chukua Tahadhari

Anayedai corona imesambaa huyo huyo ana vijimikutano lukuki
Ni ajabu na kweli
 
Anajichanganya sana.

Unakumbuka aliunda tume au sijui kamati ya Corona? Hivyo tume ndo ilishauri mambo kama hayo ya watu kujazana sehemu? She is not serious about it.

 
Yule aliyeuwa watu kwa kuamini dawa za asili ni wakati sasa aombe msamehe.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mama mwenyewe hayuko serious na ugonjwa huu. Anatafuta namna tu ya kuipiga hela ya wazungu inayotolewa kama msaada kwa ajili ya Covid-19
Huo ndio ujanja, piga hela za wazungu, za ndani lipa vizuri watumishi, jenga barabara za vijijini. Sio unajifungia fungia kama mwari mpya huku wenye hela unawaita mabeberu.
 
Anazo takwimu?
Mwanza wangapi ?
Kagera wangapi?
Dodoma wangapi?
Nje na takwimu tusiongee kitu, ni umbeya tu, ukiamua mama nenda mazima, fanya Mass testing na kutoa takwimu.
Hii ni sawa na Mwanaume kujiaminisha hana Ukimwi kwa kuwa mke wake amepima kliniki
 
K
Kama unaishi nje ya Tanzania unaugua. Lkn kama upo ndani ya ardhi ya mwalimu Nyerere nakuhakikishia hakuna korona.
BTW, ugonjwa huu hauwaui Sana watu weusi, ndiyo maana Afrika siyo issue Sana.


Hata SA wanaokufa ni wazungu siyo wazulu wa Kwazulu Natal

Hivi mnaona mataifa mengine wanavyokufa jamani?
Jamani, Kenya na Uganda wanaokufa ni wazungu???, naomba tusikejeli haya mambo, na cha msingi tu kila mtu achukue tahadhari....
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hapa chini sina neno langu moja:

“Nimetazama hapa (Kibaigwa) ninaowaona Watu walioziba midomo na pua ni kidogo sana, nataka niwaambie tuchukue tahadhari zote dhidi ya maradhi ya Corona, wimbi la tatu lipo kwenye Nchi na hakuna la kuficha, tayari tuna wagonjwa kwenye Mikoa ya DSM, Arusha, Mwanza na mingine hata Dodoma kwa kiasi kidogo sana lakini wapo”

“Chukueni tahadhari hili wimbi la tatu ambalo linapukutisha wenzetu lisije kupukutisha hapa kwetu, gonjwa hili likianza kutuangusha halina kusimama linapukutisha tu”——-Rais Samia Kibaigwa leo
#MillardAyoUPDATES

---------
My take

Mbio za mwenge mwendo mdundo. Wale kina sisi wanaodai ni haja ya mikopo na misaada tu, nao hao. Ali mradi kila mtu na lake.

Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
Kuna unnecessary activities zinazoendeshwa na serikali zinazoruhusu na kuhusudu mikusanyiko zilipaswa kusitishwa kama tupo serious lakini
 
Kuna unnecessary activities zinazoendeshwa na serikali zinazoruhusu na kuhusudu mikusanyiko zilipaswa kusitishwa kama tupo serious lakini
... Rais anatoa tahadhari katikati ya kusanyiko la kufa mtu alilolianzisha yeye mwenyewe! Hivi alikuwa na sababu ya kusimama pale (kuwasalimia wananchi) kwa hali ilivyo? Hii nchi mambo mengine yanasikitisha sana.
 
Hatari sana.

Ngoja tusubiri.

Wengi wa wanaosemekana kupinga juhudi za tahadhari za Corona, pia ni wengi wa wale wanaopinga yale ya katiba mpya. Humo wamo makundi haya:

IMG_20210708_150328_418.jpg



 
Kwani anayetakiwa kuahirisha mbio za mwenge ni nani? Anayeweza kuongoza hatua zaidi kupambana na ugonjwa ni nani ? Hizo kelele za kovidi sio kwa ajili ya wananchi, ni kwa ajili ya wenye hela watupe mikopo.

Anaongelea wimbi la tatu lakini la pili liliwahi kutangazaa lini rasmi na serikali ? Inawezekana tupo hata wimbi la nne, na litapita kama yalivyopita mengine, bila hatua zozote madhubuti za kukabiliana nalo, watakaobaki poa, watakaoenda poa.
 
and this is the major problem with tz,if we cant have the right and correct data, then how can we control this corona? in my opinion this covid will leave hundrends if not thousands dead, mark my works, you see hata kwa dala dala no masks, its like there is no covid, and hosipitals are running out of oxygen, God give our people wisdom
I think you are parroting a lot here. I DO NOT KNOW how knowing that 100 people died of COVID 19 can help another 100 people from not getting COVID 19.
 
Back
Top Bottom