Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,362
- 2,373
Rais Samia amehawakikishia watanzania kuwa miradi yote aliyoacha Hayati Rais Magufuli lazima itekelezwe na kumalizwa kwa sababu ni urithi wa watanzania na tukiitelekeza tutaambulia laana kutoka kwa Mungu na kutoka kwa aliyeanzisha hiyo miradi.
Rais Samia - Rais Dkt. John Magufuli ametuachia urithi, ametuachia miradi mikubwa miwili, na mwingine wa mkakati ipo, ule ni urithi, na wanasema ukifanya mchezo kwenye urithi Mungu anakulaani au yule aliyekuachia urithi hana radhi na wewe na Mungu hatukuwa na wewe
Bwawa la Nyerere, SGR ,Uwanja wa Msalato, daraja la Kigongo Busisi lazima ikamilike.
---
Rais Samia - Rais Dkt. John Magufuli ametuachia urithi, ametuachia miradi mikubwa miwili, na mwingine wa mkakati ipo, ule ni urithi, na wanasema ukifanya mchezo kwenye urithi Mungu anakulaani au yule aliyekuachia urithi hana radhi na wewe na Mungu hatukuwa na wewe
Bwawa la Nyerere, SGR ,Uwanja wa Msalato, daraja la Kigongo Busisi lazima ikamilike.
---