Rais Samia mjue adui yako, hao wenye ndoto za urais watakukwamisha tu

Rais Samia mjue adui yako, hao wenye ndoto za urais watakukwamisha tu

Mkuu Mzalendo Uchwara , thanks kwa mawazo yako but I'd like to differ, hatutaki tena rais wa JMT by default au marais wa ku beep!, tunataka rais mwenye ambition ya kuwa rais wa JMT, hivyo anakuwa na vision ya Tanzania anayoitaka hivyo anakuwa na a mission to accomplish.

Angalia Obama alikoanzia, sisi pia tuna Obama wetu!, he is in the right direction, kesha onyesha ability and capability, sasa ni usawa wa anga za kimataifa to refine him.
P
Mzalendo Uchwara ana maoni mazuri Sana. Mazingira ya Obama na siasa za hapa kwetu ni tofauti. Je, kati ya hao aliowataja kuanzia kwa Mwinyi hadi kwa JPM nani hakuwa na vision?
 
Mkuu Mzalendo Uchwara , thanks kwa mawazo yako but I'd like to differ, hatutaki tena rais wa JMT by default au marais wa ku beep!, tunataka rais mwenye ambition ya kuwa rais wa JMT, hivyo anakuwa na vision ya Tanzania anayoitaka hivyo anakuwa na a mission to accomplish.

Angalia Obama alikoanzia, sisi pia tuna Obama wetu!, he is in the right direction, kesha onyesha ability and capability, sasa ni usawa wa anga za kimataifa to refine him.
P
Obama hakuwa Rais bora wa Marekani. Aliharibu mambo mengi. Viongozi wengi wenye kuutaka uongozi uwa hawafanyi vizuri tofauti na wale Mungu anaamuwa wawepo hapo.

Obama alikuwa anatumiwa, hakuwa na sauti. Alipokea maagizo yote. Tunajua watu baadhi mnachuki binafsi na JPM. Kwa sababu watanzania baadhi wakizibiwa vyanzo vya mapato yao ambayo si ya uhalali na wale wasiopewa vyeo basi umchukia mhusika.
Kila binadamu anaudhaifu wake. Lakini tunajaribu angalia ni mangapi mazuri mtu ufanya kwa Taifa lake.

Musa alikuwa na madhaifu mengi tu, lakini Mungu alimtumia. Ukisoma maandiko utaona jinsi Mungu alivyokuwa akitumia watu ambao hawakudhaniwa. Lakini Mungu aliangalia mioyo yao! Katika Mungu aliowatumia japo walikuwa na mapungufu lakini Mungu hakutumia mafisadi.

Angalia mitume wote hakuna alie kuwa fisadi, tamaa ya mali, mwenye majivuno na kujipenda yeye mwenyewe, kibri, asiye jali wengine, Mungu hakuwatumia watu wa namna hii.

Natamka mbele ya Mungu wangu anae ishi. January Makamba hatokaa awe Rais wa hii nchi. Wenye jicho la tatu wanajua nini nachokisema. Hatutaki ushabiki! Tunataka watu walio na maono kwa nchi na walio wazalendo. Hata kama kapewa wizara ya nje January Makamba asahau hatokuwa Rais wa hii nchi. Mungu wangu anasikia.

Rais wa hii nchi yupo na anaandaliwa na Mungu. Atakuja! Lakini siyo Makamba. Someni hapa na mtakumbuka haya maneno.
Wenye mawazo kama yako mtashangaa siku hiyo itapowadia. Mungu ananguvu zake, na hutenda! Unaweza ukautaka urais na Mungu akawa hataki uwe na hutakuwa.

Samia Mungu aliamua atakuwa Rais. Akawa! Ila naye kajisahau anajidumbukiza katika kusikiliza kundi ambalo alitakii mema nchi hii. Hii imemgharimu na itamgharimu kama asipo badilika.

Naruadia January Makamba hatokaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mnaochukia mchukie! Nyie machawa wake semeni vyovyote vile lakini kwa January hata atumie fedha, akadhani baba yake atamtetea, au akadhani Kikwete yupo atamkingia kifua. Ha ha ha! Mungu ni Mungu. Uongea anapotaka, na ufanya kwa njia tofauti na binadamu awazavyo!

Mungu ibariki Tanzania! Mungu ilinde Tanzania!
 
Moja ya mabadiliko ya muhimu aliyofanya Mh.Rais kuliko kote ni Wizara ya Nishati

Mh. Waziri alipambana kwa hali na mali afanikiwe pale Wizarani ili atumie mafanikio yale kama kete yake ya kisiasa mbele ya safari

Mwandamizi nae akawa anatumia kila namna kumkwamisha Mwandamizi mwenzie ili asipate kiki ya kisasa

Rais kagundua Huduma ya nishati ya Umeme imegeuzwa kete ya Kisiasa…kaamua amalize ugomvi kwa maslahi ya Nchi

Hongera Rais
Ni kweli, katika michuano yao ya kisiasa wanamharibia SSH kazi.
 
Sio dhambi wala jinai kuwa na ambitions za kuusaka uongozi wa juu wa nchi, lakini wengi wanakuwa consumed na ndoto hizo, wako distracted, wanafanya siasa zaidi kuliko kazi waliyopewa, wanahangaika kukusanya fedha na kusuka mitandao yao. Watu hao sio wazuri kwako.

Moja ya mambo yaliyomfanya Hayati Magufuli kuwa waziri bora kipindi kile ni kwamba hakuwa anapoteza muda kufukuzia ndoto ya Urais. Alikuwa bize kutekeleza majukumu yake, umpende au umchukie ukweli ni kwamba he was reliable. Rais alikuwa anapumzika na kupumua akiwa na uhakika kuwa kwenye wizara yupo mtu ambaye focus yake 100% ni kuifanya kazi aliyopewa.

Pamoja na mabadiliko iliyoyafanya, lakini bado umeendelea kuwakumbatia hao watu ukiamini wanaushawishi mkubwa na watakusaidia kisiasa 2025. Lakini ukweli ni kwamba utendaji kazi wa hao watu ni wa hovyo kwakua akili yao haipo kwenye kazi waliyopewa.

Na lingine la muhimu zaidi ni kwamba hao watu watafanya juu chini kukwamisha mchakato wa katiba mpya, nani hataki ufalme, nguvu na utukufu wa kiti cha urais wa JMT kama zilivyo sasa??

Kama kweli unayo nia ya kusonga mbele na kutuachia katiba mpya, basi jitahidi uwe na watu kama akina Doto, Mbarawa na wengine wa aina hiyo. Wanaweza kuwa na mapungufu madogo madogo lakini akili zao zipo kazini.

Mzee Mwinyi, Ben Mkapa, JPM na hata wewe mwenyewe hamkuwahi kuusaka urais kama hao watu wanavyofanya. Mwalimu wao na kiongozi wa genge lao unamjua. Watakuharibia.
Mbarawa anafanya nini hapo
 
Obama hakuwa Rais bora wa Marekani. Aliharibu mambo mengi. Viongozi wengi wenye kuutaka uongozi uwa hawafanyi vizuri tofauti na wale Mungu anaamuwa wawepo hapo.

Obama alikuwa anatumiwa, hakuwa na sauti. Alipokea maagizo yote. Tunajua watu baadhi mnachuki binafsi na JPM. Kwa sababu watanzania baadhi wakizibiwa vyanzo vya mapato yao ambayo si ya uhalali na wale wasiopewa vyeo basi umchukia mhusika.
Kila binadamu anaudhaifu wake. Lakini tunajaribu angalia ni mangapi mazuri mtu ufanya kwa Taifa lake.

Musa alikuwa na madhaifu mengi tu, lakini Mungu alimtumia. Ukisoma maandiko utaona jinsi Mungu alivyokuwa akitumia watu ambao hawakudhaniwa. Lakini Mungu aliangalia mioyo yao! Katika Mungu aliowatumia japo walikuwa na mapungufu lakini Mungu hakutumia mafisadi.

Angalia mitume wote hakuna alie kuwa fisadi, tamaa ya mali, mwenye majivuno na kujipenda yeye mwenyewe, kibri, asiye jali wengine, Mungu hakuwatumia watu wa namna hii.

Natamka mbele ya Mungu wangu anae ishi. January Makamba hatokaa awe Rais wa hii nchi. Wenye jicho la tatu wanajua nini nachokisema. Hatutaki ushabiki! Tunataka watu walio na maono kwa nchi na walio wazalendo. Hata kama kapewa wizara ya nje January Makamba asahau hatokuwa Rais wa hii nchi. Mungu wangu anasikia.

Rais wa hii nchi yupo na anaandaliwa na Mungu. Atakuja! Lakini siyo Makamba. Someni hapa na mtakumbuka haya maneno.
Wenye mawazo kama yako mtashangaa siku hiyo itapowadia. Mungu ananguvu zake, na hutenda! Unaweza ukautaka urais na Mungu akawa hataki uwe na hutakuwa.

Samia Mungu aliamua atakuwa Rais. Akawa! Ila naye kajisahau anajidumbukiza katika kusikiliza kundi ambalo alitakii mema nchi hii. Hii imemgharimu na itamgharimu kama asipo badilika.

Naruadia January Makamba hatokaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mnaochukia mchukie! Nyie machawa wake semeni vyovyote vile lakini kwa January hata atumie fedha, akadhani baba yake atamtetea, au akadhani Kikwete yupo atamkingia kifua. Ha ha ha! Mungu ni Mungu. Uongea anapotaka, na ufanya kwa njia tofauti na binadamu awazavyo!

Mungu ibariki Tanzania! Mungu ilinde Tanzania!
🙏🙌🤙💪✊🤟🤝💯👍
 
Natamka mbele ya Mungu wangu anae ishi. January Makamba hatokaa awe Rais wa hii nchi. Wenye jicho la tatu wanajua nini nachokisema. Hatutaki ushabiki! Tunataka watu walio na maono kwa nchi na walio wazalendo. Hata kama kapewa wizara ya nje January Makamba asahau hatokuwa Rais wa hii nchi. Mungu wangu anasikia.
Maneno makali sana haya!, maadam rais hupangwa na Mungu, kwani wewe ni Mungu?, au Mungu amekuambia amempangia nani?.
Rais wa hii nchi yupo na anaandaliwa na Mungu.
Nakubaliana na wewe
Atakuja! Lakini siyo Makamba.
Why?
Someni hapa na mtakumbuka haya maneno.
Wenye mawazo kama yako mtashangaa siku hiyo itapowadia.
Tunasubiri kushangaa, usije kushangaa wewe!.
Mungu ananguvu zake, na hutenda! Unaweza ukautaka urais na Mungu akawa hataki uwe na hutakuwa.
Nakubaliana na wewe
Naruadia January Makamba hatokaa awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Why?
P
 
Maneno makali sana haya!, maadam rais hupangwa na Mungu, kwani wewe ni Mungu?, au Mungu amekuambia amempangia nani?.

Nakubaliana na wewe

Why?

Tunasubiri kushangaa, usije kushangaa wewe!.

Nakubaliana na wewe

Why?
P
Mimi si Mungu, ila Mungu uongea kupitia wanadamu. Wanadamu wasipomsikiliza unyanyua hata jiwe. Kumbuka Mungu alimtumia punda kuongea.

Why? Jibu ni kwamba Makamba hana tunuku ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mimi sintoshangaa kwani naujua ukweli kuwa Rais atakuwa mwingine na si Makamba.

Niseme tu Makamba si mpakwa mafuta kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata atumie nguvu gani. Hato weza katu.

Mwaka 2007. Kuna baadhi ya watu niliwambia, Rais ajae baada ya Kikwete atakuwa Magufuli. 2010 Nikawakumbushia. Wengi walinicheka sana na kuniona sifai. Wengi walitabiri Edward Lowasa. Kwakua alikubalika na alikuwa mwana mikakati.

Nilisema Lowasa hawezi kuwa Rais wa hii nchi hata siku moja. Hajatunukiwa hilo. Ubishi wa wengi waliona kilichotokea.
Mungu akisema hapana au ndiyo hutumia njia nyingi kudhihirisha nguvu yake. Mungu uruhusu hata machafuko na mifarakano ili kutimiza agano lake au kusudi la kimungu.
Mnara wa Baberi ulianguka baada ya Mungu kuwachanganya watu wasisikilizane. Kwa sababu Mungu hakutaka huo mnara ujengwe.

Pascal Mayalla; Ni moja ya vichwa navyo vikubali na kuheshimu sana humu JF. Napenda uandishi wako na fikra zako. Ila tu niseme katika hii dunia uwa tunahitaji jicho la tatu kuona mbali. Sina chuki na Makamba. Lakini kila nikitazama simuoni. Makamba hayumo katika mpakwa mafuta.

Kuna matukio hutokea watu wakadhani ni binadamu ndo kafanya. Maandiko yanasema Mungu akafanya moyo wa Farao kuwa mgumu akawakatalia wana wa Israel wasiondoke. Wakati huyo huyo Mungu ndo anamtuma Musa awaondoe wana wa Israel lakini bado anafanya moyo wa Farao kuwa mgumu asiwaruhusu waisrael.

Mungu hutenda kwa njia tofauti. Kifo cha Magufuli nilianza kukiona miaka mitatu nyuma. Sikupenda lkn nikaoneshwa utawala wa mwanamke.
Kuna mambo mengi yanaonwa kwa jocho la tatu, lakini ni ngumu hata kuandika humu, JF si ile ya zamani, imekuwa sehemu ya upendeleo, kusifia na kutukana. Mada nzuri hufutwa haraka sana. Inafanya watu tusiandike mengi.

Jiulize kuna mtu alie kuwa na nguvu kama Lowasa hata kumtetemesha Rais wa nchi. Kwanini hakuwa Rais?
Kuna mzee Malecela huyu alijiandaa kila kitu alijua atakuwa Rais. Lakini wapi?

Nimejikita kiroho saana. Mambo mengi hapa duniani yanaenda kiroho. Japo wengi wetu tunapenda kuishi katika mwili na kuenenda katika mwili. Iwapo tutaruhusu jicho la tatu la kiroho ndipo tutakapo kuwa na utambuzi wa nini kinaendelea katika maisha yetu.
 
Back
Top Bottom