Pre GE2025 Rais Samia: Mnaotudai fidia kuweni na subira tumalize miradi ya maendeleo kwanza ndipo tuwalipe

Pre GE2025 Rais Samia: Mnaotudai fidia kuweni na subira tumalize miradi ya maendeleo kwanza ndipo tuwalipe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wao yao yawaendee, halafu sisi tulale nje..

Kuna sehemu kama taifa tulikosea haya ni matokeo yake.

Kwanza kwa miradi ipi, hii hii inayosua sua, mradi unaanza 2017 mpaka 2024 kukamilika bado inapigwa pigwa kalenda tu.

Hizi ni dharau kwa wadai.
Hili linaumiza wananchi wote,CCM na Akina Chadema. fidia!
 
Usilazimishe nifikirie kile unachofikiria wewe, lakini jitahidi kutoishi kwa mazoea na kufuata trending, jaribu kuwa mtu unayejipa muda kutafakari kabla ya kucomment na kushare.
Acha sindano ikuingie Vizuri dawa,Wewe nani kwangu mpaka unipangie Cha kuongea
 
Nimekutana na Clip ya Mheshimiwa Rais ikielekeza watanzania kutii na kuacha miradi ya serikali ipite kwenye maeneo yao na ikishakamilika ndo wadai fidia.

Nimejaribu kujiuliza hivi Rais amewaza nini kutoa agizo lile? Mradi umepita kwenye eneo langu, nyumbani kwangu nyumba inavunjwa mimi niondoke na familia bila fidia nikaishi wapi?

Kisa ni mradi kwa faida ya wananchi, nadhani pengine ingekuwa kwa faida yangu na familia yangu hapo ingekuwa sawa ningesema ngoja nivumilie nikisubiri (ROI0)

Lakini kwa faida ya watnzania alafu baadhi ya familia ndo zinaumia hii hapana hebu serikali iwe na huruma kidogo. Mtu pengine ni mstaafu nyumba inavunjwa na unatakiwa upishe mradi uishe, DUH

Pia soma > Wakili Madeleka: Huwezi kumvunjia mtu nyumba yake bila kumlipa fidia eti asubiri utamlipa baadae

---

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wanaoidai Serikali fidia baada ya kupitiwa na miradi, wasubiri miradi hiyo ikamilike kwanza, kisha utaratibu utafanyika kuhakikisha wanalipwa.

Kinachosababisha uamuzi huo, amesema ni umuhimu wa miradi hiyo kwa wananchi, hivyo Serikali inaona ianze kuitekeleza kwanza kwa manufaa ya wengi, ndipo ichakate utaratibu wa fidia.

Mkuu huyo wa nchi ameibua hoja hiyo baada ya malalamiko ya wananchi wa wilaya mbalimbali mkoani Morogoro kudai malipo ya fidia baada ya kupitiwa na mradi wa umeme wa Kihansi.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Agosti 5, 2024 alipohutubia wananchi wa Wilaya ya Ifakara mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya ratiba ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.
“Wale wanaotudai fidia zao kwa maendeleo yao wenyewe tunaomba muwe na subira. Tuacheni tumalize miradi ya maendeleo, wananchi wengi wafaidike halafu tutaangalia masuala ya fidia,” amesema.

Katika maelezo yake, amegusia uwepo wa baadhi ya watu wanaoweka vikwazo vya utekelezwaji wa miradi husika kwa sababu hawajalipwa fidia.

“Tuacheni tufanye miradi, mambo ya fidia mimi nawahakikishieni hatonyimwa mtu haki yake. Tukiwa tayari tutalipa fidia, kwa hiyo niwaombe sana wananchi achieni miradi ijengwe kwa manufaa yenu, fidia itakuja kulipwa,” amesema.

Chanzo: Mwananchi

-----
Na maeneo Yao msianze kuyajenga Hadi muwalipe fidia.
 
Nimekutana na Clip ya Mheshimiwa Rais ikielekeza watanzania kutii na kuacha miradi ya serikali ipite kwenye maeneo yao na ikishakamilika ndo wadai fidia.

Nimejaribu kujiuliza hivi Rais amewaza nini kutoa agizo lile? Mradi umepita kwenye eneo langu, nyumbani kwangu nyumba inavunjwa mimi niondoke na familia bila fidia nikaishi wapi?

Kisa ni mradi kwa faida ya wananchi, nadhani pengine ingekuwa kwa faida yangu na familia yangu hapo ingekuwa sawa ningesema ngoja nivumilie nikisubiri (ROI0)

Lakini kwa faida ya watnzania alafu baadhi ya familia ndo zinaumia hii hapana hebu serikali iwe na huruma kidogo. Mtu pengine ni mstaafu nyumba inavunjwa na unatakiwa upishe mradi uishe, DUH

Pia soma > Wakili Madeleka: Huwezi kumvunjia mtu nyumba yake bila kumlipa fidia eti asubiri utamlipa baadae

---

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wanaoidai Serikali fidia baada ya kupitiwa na miradi, wasubiri miradi hiyo ikamilike kwanza, kisha utaratibu utafanyika kuhakikisha wanalipwa.

Kinachosababisha uamuzi huo, amesema ni umuhimu wa miradi hiyo kwa wananchi, hivyo Serikali inaona ianze kuitekeleza kwanza kwa manufaa ya wengi, ndipo ichakate utaratibu wa fidia.

Mkuu huyo wa nchi ameibua hoja hiyo baada ya malalamiko ya wananchi wa wilaya mbalimbali mkoani Morogoro kudai malipo ya fidia baada ya kupitiwa na mradi wa umeme wa Kihansi.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Agosti 5, 2024 alipohutubia wananchi wa Wilaya ya Ifakara mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya ratiba ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.
“Wale wanaotudai fidia zao kwa maendeleo yao wenyewe tunaomba muwe na subira. Tuacheni tumalize miradi ya maendeleo, wananchi wengi wafaidike halafu tutaangalia masuala ya fidia,” amesema.

Katika maelezo yake, amegusia uwepo wa baadhi ya watu wanaoweka vikwazo vya utekelezwaji wa miradi husika kwa sababu hawajalipwa fidia.

“Tuacheni tufanye miradi, mambo ya fidia mimi nawahakikishieni hatonyimwa mtu haki yake. Tukiwa tayari tutalipa fidia, kwa hiyo niwaombe sana wananchi achieni miradi ijengwe kwa manufaa yenu, fidia itakuja kulipwa,” amesema.

Chanzo: Mwananchi

-----
AKIFA?

AKIPOTEZA DOCUMENT ZAKE?

UNAMVUNJIA NYUMBA ILI AKAISHI WAPI NA WATOTO WAKE?

Ila nampongeza ili kusudi watu wawe wengi wanaharakati wa kweli.Ikifika uchaguzi wafanye kweli
 
Nimekutana na Clip ya Mheshimiwa Rais ikielekeza watanzania kutii na kuacha miradi ya serikali ipite kwenye maeneo yao na ikishakamilika ndo wadai fidia.

Nimejaribu kujiuliza hivi Rais amewaza nini kutoa agizo lile? Mradi umepita kwenye eneo langu, nyumbani kwangu nyumba inavunjwa mimi niondoke na familia bila fidia nikaishi wapi?

Kisa ni mradi kwa faida ya wananchi, nadhani pengine ingekuwa kwa faida yangu na familia yangu hapo ingekuwa sawa ningesema ngoja nivumilie nikisubiri (ROI0)

Lakini kwa faida ya watnzania alafu baadhi ya familia ndo zinaumia hii hapana hebu serikali iwe na huruma kidogo. Mtu pengine ni mstaafu nyumba inavunjwa na unatakiwa upishe mradi uishe, DUH

Pia soma > Wakili Madeleka: Huwezi kumvunjia mtu nyumba yake bila kumlipa fidia eti asubiri utamlipa baadae

---

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wanaoidai Serikali fidia baada ya kupitiwa na miradi, wasubiri miradi hiyo ikamilike kwanza, kisha utaratibu utafanyika kuhakikisha wanalipwa.

Kinachosababisha uamuzi huo, amesema ni umuhimu wa miradi hiyo kwa wananchi, hivyo Serikali inaona ianze kuitekeleza kwanza kwa manufaa ya wengi, ndipo ichakate utaratibu wa fidia.

Mkuu huyo wa nchi ameibua hoja hiyo baada ya malalamiko ya wananchi wa wilaya mbalimbali mkoani Morogoro kudai malipo ya fidia baada ya kupitiwa na mradi wa umeme wa Kihansi.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Agosti 5, 2024 alipohutubia wananchi wa Wilaya ya Ifakara mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya ratiba ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.
“Wale wanaotudai fidia zao kwa maendeleo yao wenyewe tunaomba muwe na subira. Tuacheni tumalize miradi ya maendeleo, wananchi wengi wafaidike halafu tutaangalia masuala ya fidia,” amesema.

Katika maelezo yake, amegusia uwepo wa baadhi ya watu wanaoweka vikwazo vya utekelezwaji wa miradi husika kwa sababu hawajalipwa fidia.

“Tuacheni tufanye miradi, mambo ya fidia mimi nawahakikishieni hatonyimwa mtu haki yake. Tukiwa tayari tutalipa fidia, kwa hiyo niwaombe sana wananchi achieni miradi ijengwe kwa manufaa yenu, fidia itakuja kulipwa,” amesema.

Chanzo: Mwananchi

-----
Utahakikishaje mtu hadhulumiwi huku ukiwa tayari ni mstaafu?🤣
 
Nimekutana na Clip ya Mheshimiwa Rais ikielekeza watanzania kutii na kuacha miradi ya serikali ipite kwenye maeneo yao na ikishakamilika ndo wadai fidia.

Nimejaribu kujiuliza hivi Rais amewaza nini kutoa agizo lile? Mradi umepita kwenye eneo langu, nyumbani kwangu nyumba inavunjwa mimi niondoke na familia bila fidia nikaishi wapi?

Kisa ni mradi kwa faida ya wananchi, nadhani pengine ingekuwa kwa faida yangu na familia yangu hapo ingekuwa sawa ningesema ngoja nivumilie nikisubiri (ROI0)

Lakini kwa faida ya watnzania alafu baadhi ya familia ndo zinaumia hii hapana hebu serikali iwe na huruma kidogo. Mtu pengine ni mstaafu nyumba inavunjwa na unatakiwa upishe mradi uishe, DUH

Pia soma > Wakili Madeleka: Huwezi kumvunjia mtu nyumba yake bila kumlipa fidia eti asubiri utamlipa baadae

---

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wanaoidai Serikali fidia baada ya kupitiwa na miradi, wasubiri miradi hiyo ikamilike kwanza, kisha utaratibu utafanyika kuhakikisha wanalipwa.

Kinachosababisha uamuzi huo, amesema ni umuhimu wa miradi hiyo kwa wananchi, hivyo Serikali inaona ianze kuitekeleza kwanza kwa manufaa ya wengi, ndipo ichakate utaratibu wa fidia.

Mkuu huyo wa nchi ameibua hoja hiyo baada ya malalamiko ya wananchi wa wilaya mbalimbali mkoani Morogoro kudai malipo ya fidia baada ya kupitiwa na mradi wa umeme wa Kihansi.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Agosti 5, 2024 alipohutubia wananchi wa Wilaya ya Ifakara mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya ratiba ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.
“Wale wanaotudai fidia zao kwa maendeleo yao wenyewe tunaomba muwe na subira. Tuacheni tumalize miradi ya maendeleo, wananchi wengi wafaidike halafu tutaangalia masuala ya fidia,” amesema.

Katika maelezo yake, amegusia uwepo wa baadhi ya watu wanaoweka vikwazo vya utekelezwaji wa miradi husika kwa sababu hawajalipwa fidia.

“Tuacheni tufanye miradi, mambo ya fidia mimi nawahakikishieni hatonyimwa mtu haki yake. Tukiwa tayari tutalipa fidia, kwa hiyo niwaombe sana wananchi achieni miradi ijengwe kwa manufaa yenu, fidia itakuja kulipwa,” amesema.

Chanzo: Mwananchi

-----
Nafuu Samia anatambua kuwa kuna stahiki za wanaobomolewa na Serikali inapaswa kulipa.

Yule mnayemwita shujaa wenu wa Chato alibomoa nyumba za wakazi wa Kimara- Kibamba bila kulipa na bila kuogopa zuio la Mahakama.
 
Nimekutana na Clip ya Mheshimiwa Rais ikielekeza watanzania kutii na kuacha miradi ya serikali ipite kwenye maeneo yao na ikishakamilika ndo wadai fidia.

Nimejaribu kujiuliza hivi Rais amewaza nini kutoa agizo lile? Mradi umepita kwenye eneo langu, nyumbani kwangu nyumba inavunjwa mimi niondoke na familia bila fidia nikaishi wapi?

Kisa ni mradi kwa faida ya wananchi, nadhani pengine ingekuwa kwa faida yangu na familia yangu hapo ingekuwa sawa ningesema ngoja nivumilie nikisubiri (ROI0)

Lakini kwa faida ya watnzania alafu baadhi ya familia ndo zinaumia hii hapana hebu serikali iwe na huruma kidogo. Mtu pengine ni mstaafu nyumba inavunjwa na unatakiwa upishe mradi uishe, DUH

Pia soma > Wakili Madeleka: Huwezi kumvunjia mtu nyumba yake bila kumlipa fidia eti asubiri utamlipa baadae

---

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wanaoidai Serikali fidia baada ya kupitiwa na miradi, wasubiri miradi hiyo ikamilike kwanza, kisha utaratibu utafanyika kuhakikisha wanalipwa.

Kinachosababisha uamuzi huo, amesema ni umuhimu wa miradi hiyo kwa wananchi, hivyo Serikali inaona ianze kuitekeleza kwanza kwa manufaa ya wengi, ndipo ichakate utaratibu wa fidia.

Mkuu huyo wa nchi ameibua hoja hiyo baada ya malalamiko ya wananchi wa wilaya mbalimbali mkoani Morogoro kudai malipo ya fidia baada ya kupitiwa na mradi wa umeme wa Kihansi.

Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Agosti 5, 2024 alipohutubia wananchi wa Wilaya ya Ifakara mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya ratiba ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.
“Wale wanaotudai fidia zao kwa maendeleo yao wenyewe tunaomba muwe na subira. Tuacheni tumalize miradi ya maendeleo, wananchi wengi wafaidike halafu tutaangalia masuala ya fidia,” amesema.

Katika maelezo yake, amegusia uwepo wa baadhi ya watu wanaoweka vikwazo vya utekelezwaji wa miradi husika kwa sababu hawajalipwa fidia.

“Tuacheni tufanye miradi, mambo ya fidia mimi nawahakikishieni hatonyimwa mtu haki yake. Tukiwa tayari tutalipa fidia, kwa hiyo niwaombe sana wananchi achieni miradi ijengwe kwa manufaa yenu, fidia itakuja kulipwa,” amesema.

Chanzo: Mwananchi

-----
Huu ni unyama mkubwa! Tumeichoka CCM.
 
Nafuu Samia anatambua kuwa kuna stahiki za wanaobomolewa na Serikali inapaswa kulipa.

Yule mnayemwita shujaa wenu wa Chato alibomoa nyumba za wakazi wa Kimara- Kibamba bila kulipa na bila kuogopa zuio la Mahakama.
Ukiwa na akili timamu unatakiwa uelewe approach ni tofauti tu ila dhamira ni ile ile. Yule aliongea dhahiri kuwa halipi sababu waliokuwepo walishalipwaga kitu ambacho ni ukweli. Huyu wa sasa kaamua kuwapooza tu raia ila uhalisia ni kwamba mtadai fidia zenu hadi muote mvi🤣
 
Ukiwa na akili timamu unatakiwa uelewe approach ni tofauti tu ila dhamira ni ile ile. Yule aliongea dhahiri kuwa halipi sababu waliokuwepo walishalipwaga kitu ambacho ni ukweli. Huyu wa sasa kaamua kuwapooza tu raia ila uhalisia ni kwamba mtadai fidia zenu hadi muote mvi🤣
Siku wakilipwa ukumbuke kuja kuthibitisha nani ana akili timamu kati ya mimi na wewe
 
Back
Top Bottom