Rais Samia: Morogoro Kuwa Jiji bado

Kuwa na heshima kwa Iringa
Iringa ni Kijiji tena kimepauka hakina hata mzunguko wa hela wa maana,watu wachache nk.

Mkitaka Iringa Ichangamke kiuchumi hakikisheni yafuatayo;

1.Ongezeni Ukubwa wa Mji Kwa kuchukua maeneo ya Wilaya Jirani,

2.Hamasisheni jamii zinazozaliana sana kama Wasukuma wahamie,

3.Barabara ya kwenda Moro imetoboka kwa lami

4..Barabara ya Kwenda Ruaha NP Ina lami na

5.Mwisho Barabara Mpya ya kuunganisha na Mpanda kama inavyoonekana kwenye hii ramani hapa chini 👇👇
 
Kahama hama mji pale? Mji umejaa mashimo ya vyoo kila kona hata sawage system hakuna halafu unataka uwe jiji? Kweli?
Naunga mkono hoja.Wanaotaka Kahama iwe Jiji ukiwaukiza kwa kipi hasa hakuna anaekuja na jawabu 😆😆
 
Kwa kuzingatia vigezo vya kimataifa vya kuainisha mji kuwa jiji, nchini Tanzania hakuna hata mji mmoja ambao umekidhi vigezo hivyo vya kuweza kuitwa jiji. Hakuna kabisa.
 
Kwa kuzingatia vigezo vya kimataifa vya kuainisha mji kuwa jiji, nchini Tanzania hakuna hata mji mmoja ambao umekidhi vigezo hivyo vya kuweza kuitwa jiji. Hakuna kabisa.
Acha uongo,kwamba hata Dar sio Jiji? By the way Kila Nchi Ina vigezo vyake Kwa sababu zake.
 
Acha uongo,kwamba hata Dar sio Jiji? By the way Kila Nchi Ina vigezo vyake Kwa sababu zake.
Ndiyo, hata Dsm pia haijakidhi vigezo vya kimataifa vya kuweza kuwa Jiji.
Yaani haijakidhi kabisa.

Kwa Mfano, Ukichukua kigezo kimoja tu Cha kupangilika kwa mji, pamoja na kupangilika kwa miundombinu yake ya Makazi, usafiri na usafirishaji, n.k, tayari mji huo unakuwa ume-disqualify kwa takribani asilimia 90 ya kuweza kuwa Jiji, achilia mbali na vigezo vingine vingi ambavyo sijavigusia hapa.
 
Sasa hivyo sio vigezo vya msingi saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…