ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rais wa JMT amekataa ombi la kuipandisha hadhi Manispaa ya Morogoro Kuwa Jiji kama ambavyo mamlaka zimekuwa zikiomba akisema Morogoro Bado sana kufikia hadhi hiyo na kuwataka watimize wajibu wao.
---
Mbunge wa viti maalum Christine Ishengoma amewasilisha ombi la kutaka Halmashauri ya mji wa Morogoro ibadilishwe na kuwa jiji kama ilivyo kwa majiji mengine ya Dar es salaam na Arusha hata hivyo Rais amesema kuwa maombi yote yamepokelewa na yatafanyiwa kazi isipokuwa hili la Morogoro kuwa jiji ambapo amewaambia wana Morogoro wafanye kazi kwanza kuipa Morogoro hadhi kisha serikali itatenda wajibu wake.
"Kwa vipimo tulivyoviweka suala la Morogoro kuwa jiji bado kwahiyo kazi iko kwenu. Kuna kazi ya kufanya waziri wa Tamisemi atatoa ufafanuzi nini cha kufanya ili Morogoro iweze kuwa jiji lakini kwa sasa bado kwahiyo timizeni wajibu wenu na serikali tuje tutimize wajibu wetu". Alisema Rais Samia
Mwanahalisi
My Take
Naunga mkono hoja:Hakuna kulipa Hadhi ya Jiji Manispaa Yeyote ambayo ina Mapato ya ndani Chini ya Bilioni 15.
Sifa ya Jiji wanatakiwa wajitosheleze Kwa mapato ya Ndani walau 40% ya Bajeti Yao.
Pia soma RC Malima: Kama Morogoro mnataka kuwa Jiji acheni uchafu na ongezeni makusanyo ya Nndani
---
Mbunge wa viti maalum Christine Ishengoma amewasilisha ombi la kutaka Halmashauri ya mji wa Morogoro ibadilishwe na kuwa jiji kama ilivyo kwa majiji mengine ya Dar es salaam na Arusha hata hivyo Rais amesema kuwa maombi yote yamepokelewa na yatafanyiwa kazi isipokuwa hili la Morogoro kuwa jiji ambapo amewaambia wana Morogoro wafanye kazi kwanza kuipa Morogoro hadhi kisha serikali itatenda wajibu wake.
"Kwa vipimo tulivyoviweka suala la Morogoro kuwa jiji bado kwahiyo kazi iko kwenu. Kuna kazi ya kufanya waziri wa Tamisemi atatoa ufafanuzi nini cha kufanya ili Morogoro iweze kuwa jiji lakini kwa sasa bado kwahiyo timizeni wajibu wenu na serikali tuje tutimize wajibu wetu". Alisema Rais Samia
Mwanahalisi
My Take
Naunga mkono hoja:Hakuna kulipa Hadhi ya Jiji Manispaa Yeyote ambayo ina Mapato ya ndani Chini ya Bilioni 15.
Sifa ya Jiji wanatakiwa wajitosheleze Kwa mapato ya Ndani walau 40% ya Bajeti Yao.
Pia soma RC Malima: Kama Morogoro mnataka kuwa Jiji acheni uchafu na ongezeni makusanyo ya Nndani