Unamaanisha wa kule kongwa alikosa hii kitu ya kuwa kama mzazi?Kiongozi inatakiwa asiwe na roho nyepesi awe kama mzazi
Kongwa alishashiba alitafuta pa kufia.Msamiati wa kujiuzulu kwa mswahili mwenye njaa haupo.Alichoka KaziUnamaanisha wa kule kongwa alikosa hii kitu ya kuwa kama mzazi?
umeanza kum-mind mama yak mwenyeweHuenda Mama ndie Amiri jeshi mwenye jicho la hatare
Nina clip ya kwny Taarab weekend hii akiwa Znz…ni hatare sana…First Gent namuonea donge
umeanza kum-mind mama yak mwenyewe
Unachukia kuambiwa ukweliYeye ndiye anaiharibu ccm kwa kusema ccm inawenyewe! Je sisi wengine ni mifugo?
Mzee vipi tena aisee....unazinguaHuenda Mama ndie Amiri jeshi mwenye jicho la hatare
Nina clip ya kwny Taarab weekend hii akiwa Znz…ni hatare sana…First Gent namuonea donge
wa kishetani ulioumbwa na shetani, hakuna Mungu hapo!Mhe Rais alitamka maneno haya hivi Karibuni Nimeona niulete hapa huu usemi ili Wanafasihi na Wataalamu wa Lugha ya Kiswahili Watumbie Mama hasa alikusudia nini kwa maneno haya "MOYO WANGU SI WA GILASI NI WA NYAMA ILIYOUMBWA NA MUNGU" lakini alitoa usemi huu kukiwa na vuguvugu la Spika aliyekuwa kuhusu kauli aliyoitoa ya mama kwenda kukoa 1.3tril.
Kwenu wadau wengine tunakiswahili kile cha burundi kenya na malawi hatuwezi ona ndani hapa.
Natangulisha shukurani.