Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kumbe wewe kitengo😂😂😂 Naweza kuja kuwa mimi, ila hapa karibu sana! kwani haiwezakani asitokee jeshini nikatokea ofisini tu Shadow7
Hata urais wenyewe kiuhalisia ni jukumu la mwanaume basi tu hizi mambo za 50/50 zinajaribu kupingana na uhalisiaUkuu wa Majeshi ni kazi yenye 'nature' ya jinsia ya kiume,
Sijawah kusikia mwanajeshi mwanamke kauwawa vitani,Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Huyu mama huyu naona sasa anataka kuhatarisha usalama wa nchi kwa sababu ya kupenda vijisifa vya ajabu ajabu.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
🤣 🤣 🤣She is hastening her own demise
Hiyo nafasi siyo ya maonyesho ya mopitindo msije kutuharibia nchiRais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Ili Mr slim wa North West atufanye kama DRCAfanye Gender balance ili wanajeshi nao wawe asilimia 50 wanaume na asilimia 50 wanawake! 😛 😛 😛 😛
kwa kauli hiyo anautaka urais hadi 2030Ana uhakika 2025 atatoboa huyu mama.
Kuna mmoja alikuwa polisi aliua majambazi pale Magomeni sijui aliishia wapiSijawah kusikia mwanajeshi mwanamke kauwawa vitani,
Wote ambao nawaona na kuwasikia ni wanaume tu
Hivi wanawake huwa hawaendagi huko kupigana ??
Kabisa kama yupo afaaye sawa kazi kazi tuKwanini mkuu wangu? Maana very soon tutakuwa na IGP mwanamke mi ndivyo ndoto zangu zinaniambia kabisa uhakika
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Naona sasa akina mama wanataka kuvuka mstari. Kinachoonekana kutafutwa kwa sasa ni wao kutaka kukaa juu ya wanaume na kuwatawala.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
na vitani wapelekwee si wanataka haki sawa.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Umewahi kumsikia Rear Admiral mjamaica ambae ndio mkuu wa majeshi ya Jamaica? Na ndio mwanamke wa kwanza duniani kushika wadhifa huo?Huyu mama sio kabisa, kakosea sana kuzungumza hivi. CDF Mwanamke HAPANA