Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Hapo kwenye urais kafeli anataka na kuharibu jeshini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama sio kabisa, kakosea sana kuzungumza hivi. CDF Mwanamke HAPANA
Kama raisi na spika wanawake huyo cdf mwanamke atafanya maajabu gani
CDFs are usually elite officers from the Generals' Staff who have atleast a cadet degree in military science.
The TPDF is not a VICOBA where every Aisha and Mwajuma can just go about and do what they do best, RUN THEIR MOUTHS.
This is sacrilege.
Na 2025 ndo mwisho wa kuwa na Rais mwanamke
nimeandika na kufuta. siandiki tena.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Rais ni mwanamke , ndio kamanda you n chief
Why not CDF ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahCDFs are usually elite officers from the Generals' Staff who have atleast a cadet degree in military science.
The TPDF is not a VICOBA where every Aisha and Mwajuma can just go about and do what they do best, RUN THEIR MOUTHS.
This is sacrilege.
Sio Brigedia, ni hadi major alikuwepo, Zawadi Madawili.Amri jesh mkuu asiyejua hata abcz za kijeshi, kwa kuanzia tu, je tu Luten Gen mwanamke??? Au katika historia tu, tushawah hata kuwa na head wa jkt mwanamke? Au tushawahi kuwa chief of staff mwanamke?? Au tushawahi kuwa na chief wa Millitary intelligence mwanamke?? Au tushawah hata kuwa na head of Airwing mwanamke? Tushawah kuwa hata na Brigedia general mwanamke??? Tumeshawa hata kuwa na commando mwanamke???
Sasa yeye atamtoa wapi huyu bi kidude?
Maana hizo ndio posts ambazo angalau unaweza kuzimulika kumpata cdf, na mpaka ufike kwenye hizo sensitive posts lazima uwe ume fuzu hasa?
🤣 🤣 🤣Kama raisi na spika wanawake huyo cdf mwanamke atafanya maajabu gani
Ndio Mkuu, mbona hushangai CIC kuwa mwanamke??? Ilhali ni Mkuu kuliko CDF??Hapo anaharibu, CDF mwanamke? No
Kisa nini? Hao wanaume walioongoza nchi kwa miaka 60 wamefanya kipi ambacho mwanamke hawezi? EmbicileHuyu mama sio kabisa, kakosea sana kuzungumza hivi. CDF Mwanamke HAPANA
What demise? Nchi ambayo zaid ya nusu ya raia ni wanawake kusema CDF mwanamke ndio anguko? No wonder tupo ulimwengu wa 3, such primitive minds.She is hastening her own demise
Kisa? CDF ni management nani kasema wanaenda front au lazima arushe mapanga?Hapo anaharibu, CDF mwanamke? No
Nani kakwambia jeshini ni front tu? Mbona wapo mapilot wa jeshi wanawake? By the way uongozi wa jeshi ni administrative and strategy sio frontline. Vita zimebadilika, hazipiganwi kwa mikono ila technology so women with bright minds have more to offer now than ever.Kama vitani tu hawapelekwi front, hiyo maana yake hawajakamilika kimajukumu ya kijeshi. Waishie huko huko kwenye bendera.
Ndio Mama Samia anataka kufuta hilo, jiandaeni kwa mabadiliko. Wanawake ndio wengi nchi hii wala sio tatizo wakipewa uongozi maana hawawezi kuwa worse than whatever men wametawala nchi hii kwa miaka 60 na bado imejaa ufisadi na umaskiniWanawake wenyewe jeshini wa kuhesabu, hawaendi kwenye uwanja wa mapambano wapo kwa ajiri ya molali tu
Mbowe: Nchi hii ina wanaume wa hovyo na WapambeNdio Mama Samia anataka kufuta hilo, jiandaeni kwa mabadiliko. Wanawake ndio wengi nchi hii wala sio tatizo wakipewa uongozi maana hawawezi kuwa worse than whatever men wametawala nchi hii kwa miaka 60 na bado imejaa ufisadi na umaskini